britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca