Kwanini Kila anayefanikiwa lazima aitwe Mwizi, atoa Kafara, Free mason, Tapeli

Kwanini Kila anayefanikiwa lazima aitwe Mwizi, atoa Kafara, Free mason, Tapeli

Mkuu mbona kuna wengine wametoboa BILA hayo mambo
Mfano Bakhressa au mzee mengi
Britanicca

Ndîo mmoja Kwa Mia Moja Mkûu.

NI Sawa Ile kauli isemayo Hakuna binadamu mkamilifu lakini haimaanishi binadamu wakamilifu hawapo. Ila nadra kuwapata.

Ni Sawa Umwone Mpare Mrefu alafu uje kusema Wapare NI warefu.

Kwa Afrika ukubali au ukatae Huwezi kuwa tajiri Bila dhulma.

Unakuta NI Dokta, uibe vifaa cha hospital na madawa uuze au upeleke kwèñye hospitali yako.

Binafsi tangu kuzaliwa sijawahi kuona Kwa macho yàngu tajiri asiye na sîfa Kati ya moja ulizozitaja
 
Ni roho za kimasikini tu

Hauwezi kukuta hata siku moja tajiri anamsema tajiri mwenzake ana pesa zake za kishirikina

Uliwahi sikia muuza madawa akamtaja muuza madawa Mwenziwe?

Haya kûna ishu ya Malalamiko ya wafanyakazi wa viwandani kulipwa Mishahara ya kitumwa. Uliwahi sikia Wamiliki WA viwanda wakilizungumzia Jambo Hilo?
 
Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini

Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia

1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli

Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?

Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!

Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!

Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza

Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,

Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??

Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?

Britanicca
1.UJINGA
2.CHUKI
3.WIVU
4.USHIRIKINA....kutoamini utajiri hutoka kwa Mungu
 
Tunazungumzia utajiri wa kishirikina

Hawawezi kusemana Kwa sababu Lao Moja.

Huwezi msema Maskini mwenzako Kwa uzembe wa kuwa Maskini Wakati hata wewe NI Maskini.
Halikadhalika Huwezi msema tajiri mwenzako kuwa utajiri wake ni wadhulma Wakati na wéwe unamambo yako ya dhulma. Hutokuwa tayari yaanikwe
 
Hawawezi kusemana Kwa sababu Lao Moja.

Huwezi msema Maskini mwenzako Kwa uzembe wa kuwa Maskini Wakati hata wewe NI Maskini.
Halikadhalika Huwezi msema tajiri mwenzako kuwa utajiri wake ni wadhulma Wakati na wéwe unamambo yako ya dhulma. Hutokuwa tayari yaanikwe
Tuendelee kutafuta hela mkuu. Hizo ni kauli za mtu mwenye njaa
 
Hizo ni mbinu za shetani za kutaka atukuzwe yeye tu,vitu vyote vinavyopatikana kihalali vina mkono wa Mungu,lakini kwa ujanja wa shetani anataka hata kile ulichopewa na Mungu kionekane kuwa kimetokana na shetani kwa njia ya wizi,kafara,dhuruma n.k.
 
Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini

Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia

1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli

Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?

Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!

Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!

Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza

Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,

Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??

Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?

Britanicca
Ujinga umetamalaki. Uwezo mdogo wa kufikiri. Ujinga wa njia za kukusanya mali(Wealth Accumulation).
 
Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini

Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia

1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli

Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?

Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!

Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!

Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza

Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,

Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??

Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?

Britanicca
wivu akili za kimaskini na kukosa kazi, na kujitetea kwakua hakuna juhudu zimefanyika....... tukiacha hizi mambo za kufuatilia watu tutaenjoy maisha
 
Hawawezi kusemana Kwa sababu Lao Moja.

Huwezi msema Maskini mwenzako Kwa uzembe wa kuwa Maskini Wakati hata wewe NI Maskini.
Halikadhalika Huwezi msema tajiri mwenzako kuwa utajiri wake ni wadhulma Wakati na wéwe unamambo yako ya dhulma. Hutokuwa tayari yaanikwe
Umasikini mbaya sana mzee tafuta sana hela🤣
 
Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini

Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia

1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli

Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?

Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!

Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!

Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza

Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,

Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??

Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?

Britanicca
Ni kwa sababu mazingira ya kibiashara hapa Afrika yanafanya mtu awe mwizi, mchuna ngozi wenziwe, mtoa makafara, muua kina Haji Manara (maalbino), Free mason na tapeli.
 
Back
Top Bottom