Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Define Nyota.Hata hao freemasons, waganga majini wanataka mtu mwenye nyota yake
Sio nyota yako ya kinyesi hupati pesa ng'oo
Hivyo kama utapeli, ufreemason, majini ni rahisi waende na wao tuwaone.
Hata huko Kwenue akina Prighozhin na wenzake Lukeshenko ni majambazi wa miaka mingi wakishirikiani na kina Putin.Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca
Inaonekana wewe ni mwizi na ukisemwa una nuna.Hayo maneno tazama mara nyingi huwekwa akilini na jamii ya watu wavivu ni sawa na mtu anayeishi Kwa kuamini chama fulani kikitawala atapata pesa na maisha mazuri wakati yeye kakaa tu jibu ni uvivu
Ni tajie waliotoboa Tz bila kushirikiana na wezi wa ccmMifumo ya nchi yetu ni migumu sana kutobowa ndio maana ukifanikiwa kutobowa mapema lazima jamii iamini mwenzetu una booster.
Kwa mfano mwaka fulani nilitaka nichukuwe damu kwenye machinjio Nairobi kule hawana issue nayo niilete Tanzania kutengeza chakula cha hayo masharti yake ya kuingiza hiyo damu nilipita sijui TFDA nikaambiea nenda wizara ya mifugo na kilimo kufika wizara ya mifugo mwenyewe nilikoma masharti yake na nikaachana na hiyo biashara.
Aya juzi kati nimepata tender ya kusupply dagaa wa Bukoba ulaya kwenda EMS wanakwambia upate kibali kutoka kwa walewale wizara ya mifugo ni upuuzi mtupu.
Naweza kuwa nje ya mada ila najaribu kuonesha Bongo hakuna opportunity zaidi ya kukwamishana, ndio maana ukiupata mfumo wa kutobowa lazima watu washangae.
Halafu kingine mbongo hawezi kukuonesha njia aliyopita kihalali kupata mafanikio atakupiga porojo tu, kwahiyo utajiri wao kuhusishwa na darkness ways ni sahihi kabisa.
Kama unadhani kutoboa ni kwa maneno si nawewe ungekuwa umetoboa?Underlying reason ni CHUKI
Mimi naonaga huruma Sana kama Kwenye ule Uzi wa Marehemu Sauli jamaa kasemwa sana. Eti utajiri wa punje mara mkataba wa kuzimu umekata. Sijui jogoo alifanyaje
Shida sio ewe mtu mzima. Shida ni kwa watoto wadogo wanaowasikiliza wapumbavu kaka zao, baba zao, wajomba zao, rafiki zao, nk
Kijiji kwetu kuna tajiri mmoja anaitwa Hemedi mpka leo yupo, wakat tunakua kuna stori kuwa jamaa akiwa anakimbiza gari basi jua kabeba kichwa cha mtu anapeleka kuzindika. Mpka leo nikiona gar yake nakumbuka huo upuuzi
Mkuu kama unadhani kutoboa ni Rahisi wewe umetoboa? Kama sivyo ni kwanini?Ndio njia yetu masikini ku justify umaskini wetu. Tupuuze tu.
Watu ni wabishi. Unajua kuna watu wanajifanyaga wanaujua utajiri.Kuna kufanya kazi kwa bidii,kufanya kazi kwa akili nyingi,kufanya kazi kwa malengo.haya yoye hayana guarantee ya mtu kuwa tajiri au kufanikiwa kwa asilimia hata 3%.
ni ngumu sana kuelewa hili kama sio mtu wa kujaribu fulsa zozote unazohisi zinaweza kukuvusha sehemu flani,ila tu uwe na mnufaika au mtu wa karibu wa mtu mwenye mahela mjini hapa.
Watu wanataka mbinu za kupiga hatua hamsemi.matokeo yake ni kusimangana kama hivi na kuja kutuchamba kama akima chief godlove.
Utajiri ni jambo zito,bahati mbaya wenye nao huwa wanapenda na wanataka tuamini ni akili na nguvu zao zimewafikisha walipo,tukigoma kabisa kama wasivyotaka wanatuchamba.Mkuu kama unadhani kutoboa ni Rahisi wewe umetoboa? Kama sivyo ni kwanini?
Tuseme basi wewe bado unajitafuta je Baba yako naye bado anajitafuta? Je alitoboa?
Mabilionea wote hapa Tz Enzi za Magufuli walikubwa na Kashfa za Wizi, uporaji, utapeli, ufisadi.
Sasa katika mazingira kama haya unawasemaje wanatuhumu matajiri?
Imefika mahali huwezi kuwa tajiri kama hushirikiani na mafisadi.
Hapa Tz tu uwadindie ccm kwa mambo yao ya giza uone kama utatoboa.
Kwa hiyo maoni ya jamii kwa jamii yetu ni ya msingi.
Wewe kabwela ndio unapinga wakati huo utajiri huna na huenda ukafa hujaufikia.
Mkuu mbona kuna wengine wametoboa BILA hayo mamboKwa mazîngira Magumu ya huku Afrika kuwa tajiri NI ngumu Sana. Ili uwe tajiri yakupasa úwe na Moja ya Sifa tajwa Hapo juu;
1. Muuza Unga,
2. Fisadi
3. Nyonyaji na mdhulumaji WA fedha za Wengine. (utapeli)
4. Urithi
5. Mambo ya kichawi na ushirikina Kwa vile hayathibitiki siwezi kuyaweka.
Kukuta tajiri aliyetoboa kwa Haki NI ngumu Sana Kwa mazîngira ya Afrika.
Atakayepinga hizi Nondo ajiandae kufa maskini tu.Kwa mazîngira Magumu ya huku Afrika kuwa tajiri NI ngumu Sana. Ili uwe tajiri yakupasa úwe na Moja ya Sifa tajwa Hapo juu;
1. Muuza Unga,
2. Fisadi
3. Nyonyaji na mdhulumaji WA fedha za Wengine. (utapeli)
4. Urithi
5. Mambo ya kichawi na ushirikina Kwa vile hayathibitiki siwezi kuyaweka.
Kukuta tajiri aliyetoboa kwa Haki NI ngumu Sana Kwa mazîngira ya Afrika.
Wewe umeshatoboa kwa hizo njia halali?Kwasababu watu wamelewa umasikini kupindukia hawaamini kama kuna njia halali ya kupambana na umasikini
NdiyoWewe umeshatoboa kwa hizo njia halali?
Mara nyingine uelewa finyu hasa ma3neo ys vijijini,ila pia yapo yake mafanikio ya mwendokasi yani mla kwa urefu wa kamba ka kwapua anaenda kuzifichia kwenye mafanikio ya kuzuka,hupewa tafsiri isiyo sahihi.Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca