Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mkuu mbona kuna wengine wametoboa BILA hayo mambo
Mfano Bakhressa au mzee mengi
Britanicca
Atakayepinga hizi Nondo ajiandae kufa maskini tu.
Ni roho za kimasikini tu
Hauwezi kukuta hata siku moja tajiri anamsema tajiri mwenzake ana pesa zake za kishirikina
Tunazungumzia utajiri wa kishirikinaUliwahi sikia muuza madawa akamtaja muuza madawa Mwenziwe?
Haya kûna ishu ya Malalamiko ya wafanyakazi wa viwandani kulipwa Mishahara ya kitumwa. Uliwahi sikia Wamiliki WA viwanda wakilizungumzia Jambo Hilo?
1.UJINGAMi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca
Tunazungumzia utajiri wa kishirikina
Tuendelee kutafuta hela mkuu. Hizo ni kauli za mtu mwenye njaaHawawezi kusemana Kwa sababu Lao Moja.
Huwezi msema Maskini mwenzako Kwa uzembe wa kuwa Maskini Wakati hata wewe NI Maskini.
Halikadhalika Huwezi msema tajiri mwenzako kuwa utajiri wake ni wadhulma Wakati na wéwe unamambo yako ya dhulma. Hutokuwa tayari yaanikwe
Ujinga umetamalaki. Uwezo mdogo wa kufikiri. Ujinga wa njia za kukusanya mali(Wealth Accumulation).Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca
Tuendelee kutafuta hela mkuu. Hizo ni kauli za mtu mwenye njaa
wivu akili za kimaskini na kukosa kazi, na kujitetea kwakua hakuna juhudu zimefanyika....... tukiacha hizi mambo za kufuatilia watu tutaenjoy maishaMi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca
Ndio kutafutwa kwenyewe huko. Tupambane mkuu tukaanze ujenzi kule MbweniHela haitafutwi. Pesa inategwa.
Ndio kutafutwa kwenyewe huko. Tupambane mkuu tukaanze ujenzi kule Mbweni
Hazipo.Lakini hizo pesa za ufreemason utapeli pia zipo tusikatae japo sio matajiri wote!
Pia hata ukiwa na pesa za njia hizo zilizotajwa kwenye uzi, inahitaji uendelee kujituma na sio uvivu
Umasikini mbaya sana mzee tafuta sana hela🤣Hawawezi kusemana Kwa sababu Lao Moja.
Huwezi msema Maskini mwenzako Kwa uzembe wa kuwa Maskini Wakati hata wewe NI Maskini.
Halikadhalika Huwezi msema tajiri mwenzako kuwa utajiri wake ni wadhulma Wakati na wéwe unamambo yako ya dhulma. Hutokuwa tayari yaanikwe
Ni kwa sababu mazingira ya kibiashara hapa Afrika yanafanya mtu awe mwizi, mchuna ngozi wenziwe, mtoa makafara, muua kina Haji Manara (maalbino), Free mason na tapeli.Mi mtu Mzima Kidogo ambaye nimeishi miongo kadhaa na kushuhudia uongozi wa awamu zote na nimekaa vijijini na mijini
Kwanini Kila mtaa au kijiji au mji mtu akionekana kupata maendeleo watu ukimbilia
1. Mwizi
2. Katoa Kafara
3. Free mason
4. Tapeli
Kwanini uwa wengi hawasujudu nguvu za kazi wanazofanya watu ?
Unakuta kijana mdogo tu anajitahidi analima kisasa zaidi mazao anayataftia soko na kuweza kuuza kwa gredi ya Juu sana! Ila kwasababu ameuza zaidi ya wengine ataambiwa ni Freemason, au anatumia madawa!
Au mtu anafanya biashara yake, amefanya utafiti wa kutosha, amejitosa kwenye ulimwengu wa biashara kwa mtaji huo mdogo au muda Mwingine mikopo ya mabenki, halali usiku kucha lakin ukisikia akianza kufanikiwa kwenye familia wanaangalia Kama kuza zezeta wanasema katolewa Kafara, au ni Tapeli au Mwizi usiku anatumia bunduki kukaba watu!
Tokea Nimezaliwa nimekua nimezaa nimekuza
Kila Tajiri hata mwenye mafanikio ya kawaida tu vijijini unapoishi, watasema ni mwizi , ni Ana chuma ulete, ametoa Kafara, wakati Wengine wamepata Mali tukiwa tunawaona kwa macho yetu kutokana na juhudi zao,
Je hii ni kutokana na uelewa finyu? Ni wivu au ni ujinga??
Nipe maoni yako, na kabla hujatoa maoni chunguza matajiri watano tu kijijini kwenu alafu jaribu kuvuta kumbukumbu uwa wanapewa sifa zipi?
Britanicca
Umasikini mbaya sana mzee tafuta sana hela🤣