Synonyms MP
JF-Expert Member
- Jun 4, 2024
- 320
- 346
- Thread starter
-
- #41
Kakosea wapi?Miaka 30 unaijua?. Usipende kuropoka .
Hata kama ni 20 wewe unaona ni michache?, 🤣🤣🤣Miaka 30 unaijua?. Usipende kuropoka .
Sasa Mbowe kajenga nini?Naona mna wivu, mnataka kuchuma msipopanda.
Kujenga chama cha upinzani kikadumu siyo kazi nyepesi, kama unadhani ni rahisi, angalia vyama vingapi vimekuja na kupotea kirahisi huku CHADEMA ikipeta?.
Waambie hao wanaolalamika waanzishe vyama vyao tuone kama watatoboa.
Hao wote wanaolia lia wametolewa matopeni na CHADEMA wakawekwa nuruni, bila CHADEMA pengine tusingewajua milele.
Mungu ibariki CHADEMA isonge mbele zaidi ya hapo.
cc
Erythrocyte
Kajenga CHADEMA.Sasa Mbowe kajenga nini?
Sanaaaaa! Mpaka chama kiingie madarakani.Hata kama ni 20 wewe unaona ni michache?, 🤣🤣🤣
Mbowe anapendwa na wanachadema kama Putin anavyopendwa na Warusi! Ahahahahaha!!!Kingine ulichosahau kuuliza ni hiki, kwanini hawa unaowasema wakiondoka Chadema huko waendako wanapewa vyeo, na kuwapiku wanaccm wa miaka mingi wafia chama?
Ukiunganisha hoja hizi mbili tunaweza kupata jibu kirahisi sana
Haya tufanye 30 kasoro 10 au 30 -10.Hata kama ni 20 wewe unaona ni michache?, 🤣🤣🤣
Mimi huwa napenda kujadili hoja za mtu mkweli.Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,
Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,
Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao
1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"
2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'
3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"
4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "
5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"
6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"
7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"
8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"
9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka 30"
10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"
11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"
12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"
13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"
Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )
Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA.
Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.
Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.
Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?
TUTAFAKARI!!
Kuna ushahidi upi wa kuthibitisha hayo?Nadhani hoja ya msingi sasa ni kwa Mh Mbowe kukabidhi kijiti kwa mwanachama mwingine. Hili linapunguza sana credibility yake na dhana nzima ya demokrasia.
Kumbe ni kweli CHADEMA ni ya MboweKajenga CHADEMA.
Waambie na hao wengine wakaanzishe vyama vyao ili wawe wenyeviti kama alivyofanya Zitto.
Alianza na Uenyekiti wa BAVICHAMimi huwa napenda kujadili hoja za mtu mkweli.
Bob Makani na Lipumba walikuwa ni wenyeviti kwa wakati mmoja sasa Mbowe amekuwaje mwenyekiti kwa miaka 30?
Halafu hao wote kama wameondoka kwa ajili ya Mbowe maana yake Mbowe ni jabari, siyo sawa na Mbatia sliyeng'olewa uenyekiti Nccr na kufutwa uanachama.
Nadhani hapa lugha sahihi ni kwamba Mbowe ameshindikana ni mbuyu na ataandaa yeye succesor plan ya mwenyekiti wa kumrithi.
Huna akili, Bob Makani ameachia Uenyekiti mwaka gani?Kakosea wapi?
Unahitaji ushahidi gani?Kuna ushahidi upi wa kuthibitisha hayo?
Huna akili, Mbowe alikuwa katibu mkuu wa Chama,Aliza na Uenyekiti wa BAVICHA
Kumbe hujui historia ya CHADEMA wewe,Huna akili, Mbowe alikuwa katibu mkuu wa Chama,
Sahihi kabisa Chadema is not a political partyLazima wamtaje kwasababu ndo mmiliki wa CHADEMA baada ya kurithishwa na mkwe wake. Kama hutaki kufuata sheria za Mbowe ondoka CHADEMA. Hulazimishwi kuwepo kwenye chama cha familia.
Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,
Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,
Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao
1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"
2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'
3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"
4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "
5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"
6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"
7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"
8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"
9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka 30"
10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"
11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"
12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"
13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"
Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )
Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA.
Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.
Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.
Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?
TUTAFAKARI!!
Wala usipate taabu. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.Sahihi kabisa Chadema is not a political party