Kwanini kila wanapokwenda viongozi wakuu wa nchi Rostam anatangulia kufika?

Wafanyabiashara wepi hao wengine

Maana wengine ni hao wauza juicy

Ova
 
Wengine hawataki Mali zao kuhesabiwa, rostam ndiye mtanzania wa kwanza kufikia Dola bilioni moja mwaka 2013,Leo atakua na ngapi?!
Ukifuatilia sakata la Gold Mafia unasikia habari za Rostam kufanya biashara na makampuni ya migodi ya dhabu ya mitambo ya machimbo n.k. unapata majibu ya maswali mengi sana juu ya utajiri wake na kwanini yupo karibu na viongozi wetu wakubwa toka awamu ya Mkapa.
 
Rostam hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya kuwa jizi na tapeli wa Mali za Tz. Pumbavu wewe
Wabongo tunajuana

hata ukiwa na Mademu wengi utapondwa kwa umalaya na ukijitunza utaitwa Shoga


ukiwa tajiri unakuwa mwizi na ukiwa maskini unaambiwa hujiongezi

Wewe baki na misemo yako na ndio itayogawanywa kama mirathi kwa kizazi chako, acha wenzio wapambane kuacha legacy hadi kwa Wajukuu zao
 
Rostam hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya kuwa jizi na tapeli wa Mali za Tz. Pumbavu wewe
Acha wivu wewe, utakufa kwa kijiba cha roho. Kama Rostam siyo mfanyabiashara, anawezaje kuwekeza hadi Mauritius, South Sudan, Kenya na South Africa?
 
10% na biashara ikulu na ushirika kuelekea utrillionare baada ya kustaafu utumishi wa ikulu. Mwenye kujivua gamba kageuka lulu ya ikulu
 
wengine wanasema ni msimamizi wa maslai ya USA kwa baadhi ya nchi za africa. magu alichungulia file lake akawa mpole. Rostam akatoa mil 500 zanzibar mil 500 tanganyika kipindi cha corona.
Iko hivi, kwenye deal ya Boeing, Magufuli alimtuma mtu wake kwenda kuchukua 10% Sandton South Africa. Huyo jamaa alipoingia ofisi ya Boeing Africa mtu aliyekutana naye na kumkabidhi ile 10% ni Rostam Aziz.

Ndipo aliporudi huku na kumjulisha JPM kuwa mzigo nimepewa na RA. Basi JPM akaona hatakuwa salama kama RA ataendelea kuwa nje ya nchi huku yeye akijinadi kuwa ni mzalendo wakati RA anajuwa kapokea rushwa kiasi gani kutoka Boeing. Ndipo akasuka mpango wa kumkamata mdogo wa RA anayeitwa Akram na kumtengenezea mashtaka feki ya kukutwa na nyara za taifa na kutakatisha dola 8,000.

Kumbuka RA alikuwa amehamisha makazi kuanzia Lowassa alipohamia CDM na JPM kuwa mgombea wa CCM mwaka 2015
 
Wanaangalia maslahi ya kisiasa wenzio. Wanachojua ni kwamba ukiwa na urafiki na rostam aziz utakula mema ya nchi..

Ni rostam ndiye aliyemuwezesha JK kuwa rais wa nchi JK akitokea shimoni. Rostam alinunua hadi nyumba ya magazeti pendwa ya kipindi hiko ya habari corporation yakiwa na magazeti pendwa ya kipindi hiko kama Rai,dimba na Mtanzania ili kumtengenezea JK njia. Na mkurugenzi mkuu akiwa Bashe.

Ni Rostam ndiye aliyeitikisa CCM 2015 kupitia mafuriko ya Lowasa hadi CCM wakakimbiana.

Hata Magu aliijua nguvu ya Rostam.

Kwa yeyote anayetaka kupenya nafasi za juu za kiuongozi hata kama hukubaliki ni lazima umuweke karibu Rostam. Maana akisimamisha mtu wake ujue una kibarua kizito.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
KIZIMKAZI hana anacho kijua. Pia hao ndio walio mpigania wanajilipa kupitia Tanganyika. Tuamke kabla mambo sio mabaya sana.
 
Ni Rais kivuli
 
Rostam anaenda kulipeleka pabaya taifa mda ni mwalim
 
Na mdogo wake jangili akaachiwa huru licha ya ushahidi tosha ....Jpm aliufyata.....sembuse Mama
 
Acha wivu wewe, utakufa kwa Kiribati cha roho. Kama Rostam siyo mfanyabiashara, anawezaje kuwekeza hadi Mauritius, South Sudan, Kenya na South Africa?
Huna ujualo... Rostam kaiibia Nchi mpka huo ufanyabiashara wake ukawa hivyo ni ujambazi na wizi wa Mali za was Tz wajinga Kama wewe!!, Rostam n jambazi papa na anapaswa anyongwe hadharani!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…