Kwanini Kituo cha mafuta 'Rupeez Oil' kimejengwa kwenye hifadhi ya barabara Kimara Stop Over?

 
Wapige na highway mall kabisa maana kwa tunakoelekea hata mi naweza kwenda kukodi reserve ya road nikajenga highway pub
 
Hii ishu ya Tanroad kuweza kuwapangisha wengine na wengine kuwapa masharti magumu kwenye hii biashara ya ushindani pana kitu hakipo sawa hapo ila wacha tuendelee na utaratibu wao...
 
Januari makamba hicho chawa wa mama
 
Pale pale kinapojengwa kile kituo palikua na nyumba ya mtu, ILIBOMOLEWA na serikali hii hii sikifu ya CCM. Leo hii serikali hii hii inampa mtu wake wa ndani kabisa leseni pale pale afanye biashara.
Malipo Ni hapa hapa.
 
Pale pale kinapojengwa kile kituo palikua na nyumba ya mtu, ILIBOMOLEWA na serikali hii hii sikifu ya CCM. Leo hii serikali hii hii inampa mtu wake wa ndani kabisa leseni pale pale afanye biashara.
Malipo Ni hapa hapa.
Kinachosikitisha pale kulikuwa na nyumba moja kati ya zile zilizobomolewa islsikuwa ni ya Mzee mmoja hivi . Yule mzee mwenye nyumba alikuwa mzee wa umri mkubwa. Magu alizibomoa akapalalaizi then akafa. Nilikuwa napita na kukaa sana yale maeneo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…