Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liability ni nini?Mkuu unataka kusema expenses ni liabilities?....
Nyumba ni asset kwa maisha ya baadae, mfumo wetu umekaa kizushi sana in the sense kwamba ukisema urisk hela uweke kwenye biashara instead of asset inawezapotea na ukakosa vyote. Mtu anaona ni bora ajenge akae kwake kwanza halafu ndio atafute namna ya kufanya biashara. Somo la kuinvest and reinvest pamoja na ujasiriamali hatujafundishwa mashuleni toka tukiwa watoto. Sisi tumekuwa tukiwaona wazazi wakiajiriwa na wakijenga sasa sisi ni nani tusijenge tupanue biashara, leo nikizeeka na biashara ikadoda ntaenda kukaa kwa nani na kodi siwezi lipa tena- haya ndio maswali watu wengi wanakuwa wakijiuliza mtu unakuta anaona wacha ajenge halafu akishakaa kwakwe atatafuta kabiashara kakumsukuma mdogo mdogo mpaka azeeke.Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Nimekumisi kipenziNyumba ni asset pia na wengi wana ndoto za kuishi kwenye nyumba zao kuepuka usumbufu wa kodi masharti ya wenye nyumba zao
Nimekumisi kipenzi
Toka hapo kwenuUko na akili sana. Enzi za sifa kujenga zishaishaga kwa wazee wetu. Ukiwa na constant cash flows mbona nyumba unajenga mda mfupi sana.
Achana na hao motivation speakerau ku-loss na kuwa kaburini pia
Swali zuri sana.Mkuu unataka kusema expenses ni liabilities?....
Ungefika mbali au ungerudi mbali yote yanawezekana kwenye biashara mkuuMtoa mada upo sahihi sana, nikiri hata mimi nimezika pesa nyingi sana kwenye nyumba, pesa ambazo pengine ningewekeza kwenye biashara ningekua mbali sana
Kwani ukipanga hulipi maji na umemeNyumba ya kukaa wewe kwenye economics ni asset ila in real sense nyumba ya kukaa si aset, sababu in real sense anything that puts money in your pocket ndio asset kama it takes money out of your pocket sio asset... Frame za biashara nyumba za kupangisha ndio asset hizi za kukaa unalipa kodi ya jengo, ardhi, umeme na maji wakati yenyewe haizalish kitu hapa ni tatizo tu na lenyewe
Unalipa mkuu ila nyumba ya kuishi sio assetKwani ukipanga hulipi maji na umeme
Ni asset.Unalipa mkuu ila nyumba ya kuishi sio asset
Ahahaha hii statement ya mwisho "Sawa mzee wa ICT" its like you know me au labda umesoma sehemu ahahaha nimecheka sana ngoja nikubaliane na wewe lakin nifanye research pia... Haya bana...Ni asset.
Ngoja nielezee kwa nini?
Asset(Mali)
Ni kitu chochote kinachokuingizia faida(Cash inflow) au kinapunguza deni(Cash outflow)
Hivyo mtu aliyekuwa amepanga Nyumba halafu analipa rent ya 150,000/= kwa mwezi na umeme na maji tuassume 20,000/=
Akafanikiwa kujenga Nyumba yake hivyo rent halipi lakini umeme na maji(fixed overheads)
Hivyo kujikuta anaokoa 150,000 kwa mwezi mara mwaka itakuwa almost 1.8M
ambazo atazielekeza kwenye kwingine
Siku hizi property tax ni inclusive maana imeingizwa kwa Luku hivyo ukae Nyumba ya kupanga au kwako utalipa.
Utabakia na Kodi ya ardhi.
Hivyo kwa hapo Nyumba itakuwa imepunguza Cash outflow hivyo msikalili.
Lakini ipo namna ya kuielezea kwa kutumia statement of financial performance na position kuliko cash flow ikiwa sijaeleweka.
Sawa mzee wa ICT.
Kweli kabisa kwako ni kwako Tena ukiwa uwezo unajenga hata sita na ardhi haishuki thamniUkiwa na familia nyumba ni muhimu sana ni asset nzuri asikudanganye mtu ukiwa kwako unaweza hata kuuza chips kiepe nje kwako ukala na familia ya kufunga kuku ila nyumba za kupanga ni matatizo kweli.
Kuna biashara yoyote unayofanya? Na km unabiashara mpaka sahizi umefikia wapi? Je unakiwanja,umejenga? Je una gari? Ukinijibu hili nitakuja ku commentImekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu