Kwanini kuna juhudi kubwa za kuhakikisha kuwa Mbowe haendelei kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Kwanini kuna juhudi kubwa za kuhakikisha kuwa Mbowe haendelei kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

1. Shida ya demokrasi ni kuwa haiko perfect. Kama 2/3 ya wajumbe hawana ubavu wa kupingana na Mwenyekiti huwezi kumlaumu Mwenyekiti. Kila kiongozi anapenda kuwa na watu anaoweza kufanya kazi nae. Ni wajibu wa wapiga kura kuchagua watu ambao ni Independence.
Nakuelewa, unasimama kwa M/Kiti kwa kivuli cha majority! Sijui kama walipiga kura au la.
Ninachoelewa katika mambo ya utawala tathmini hufanywa kwa Quality na Quantity

Nyerere alishauri vyama vingi licha ya 80/20 ya Watanzania kukataa. Suala la vyama vingi lilihitaji hekima na si idadi.

Mwl Nyerere alipoita Kamati kuu kujadili mgomo wa Wanafunzi wa UDSM, majority walimwambia awafukuze! ikiwezekana washtakiwe. Mwl akawaambia, Wanafunzi wametoa hoja zao, zipingine! Wajumbe hawakuweza !
Mwl akawambia mawazo hayapigwi rungu. Maaa yake, Mwl alijali quality kuliko quantity

Mzee Warioba anasema Tume ya ya Katiba alimtaka kila mmoja azungumze, si kupiga kura.
Maana yake, alizingatia quality kuliko quantity

Je, FAM alisikiliza manguli waliopishana naye au alikimbilia kura ?
Tazama Kamati kuu ya CDM halafu uniambie 2/3 ya Wajumbe wanaweza kusema nini against FAM.
Unadhani Ndugai angetishika? Hasa baada ya kupewa immunity? Mtu aliyemtoa mtu rumande halafu akamuapisha. Aidha, pamoja na Kigogo kuelezea mchoro wote wengi hatukuamini kuwa Halima Mdee anaweza kufanya alivyofanya.
Nilishaeleza, kulikuwa na taarifa za uhakika kwamba Ndugai ameongea na COVID-19, mratibu alikuwa KM CCM.
Mbowe angetoka na kusema '' CDM haitapeleka Wabunge na atakayekwenda Bungeni si wa CDM''
Ndugai, KM CCM na System wasingeweza kwasababu habari ingevuja kabla. FAM alikaa kimya
Kwa sababu " Join the Chain exercise" lilijulikana na kila mtu CAG ana haki ya kuulizia makusanyo yake. Ingawa ingekuwa vyema kama wangeziweka wazi.
CAG anakagua hesabu zilizopo. Ikiwa fedha za join the chain hazikuingia katika System ya CDM, CAG atakagua vipi?
Kwanini watu hawatoki na kueleza join the chain pesa ziko wapi ili kumaliza hii hoja once and for all
Rose Mayemba alikosea kumuunga mkono Msigwa. Nadhani alifanya hivyo kutokana na misplaced loyalty. Alitakiwa ajirekebishe baada ya ukweli kujulikana. Tusisahau kuwa CDM imesalitiwa sana na wale ambao iliwaamini sana. Baada ya wakina Halima kila mmoja ataangaliwa kwa jicho la pili. Ndio maana hawa vijana wanaojitokeza kuunga mkono upande mmoja au mwingine wanachukua risk kubwa.
Rose Mayemba ni CDM kindaki ndaki! alitangaza kumuunga mkono Msigwa hadharani (Tweet).
Kigaila amekwenda mara 2 akiruhusu uhuni ili uchaguzi urudiwe. Rose amekata rufaa, Kigaila ameikalia kimya
Kamati kuu inakaa kila mara, suala la Rose Mayemba limewekwa kapuni na Sekretariati ya JJ Mnyika na Kigaila.
Mbowe sio muongeaji. Nimesema ana say kubwa katika KK lakini sidhani kama yuko tayari kusema kuwa watendaji wake ni corrupt. Ni wajibu wa wagombea kuweka pressure ili pawe na Uchaguzi huru kwa kutoa proposal. Anachofanya Lissu sio sawa maana inaonekana kama anatayarisha grounds za kukataa matokeo hata kama atashindwa kihalali.
Mwenyekiti Mbowe yupo kimya licha ya wewe kusema ana ''say kubwa'' hili ni suala linalojenga hisia mbaya, linatakiwa kushughilikiwa. FAM na Sekretariati yake akiwatumia akina Kigaila wanataka kulifinyanga.
Nani ana imani tena na system iliyopo ya uchaguzi?
Hawa waheshimiwa siwajui kwa hiyo siwezi kusema kama ni corrupt au la.
Hili nimeshauri sana na ndilo litaisaidia CDM! Kigaila na Wenzake hawana hata sifa ya kushika karatasi ya kura
Ni corrupt, compromised na wahuni.

Amandla...
 

From the archive, 14 April 1992: Neil Kinnock resigns as Labour leader​

This article is more than 9 years old
“My sorrow is that millions, particularly those who do not have the strength to defend themselves, will suffer because of the election of another Conservative government”

1da7e93f-a1e7-4c8f-ab0b-c440a6b11109-2060x1236.jpeg

Neil Kinnock, with his wife Glenys, giving a speech to Labour Party workers at their Walworth Road HQ after losing the 1992 general election. Photograph: Sean Smith/taken from picture library

The following is the text of yesterday’s statement by Neil Kinnock:

In the wake of the election defeat I am taking action which, in my judgment as leader, will serve the best interests of the Labour Party.


I trust that members and supporters will readily come to understand and support the course I am going to follow.

The decisions which I have made will require rapid change. Those decisions have not, however been taken hastily. They result from rational consideration which I have given over a period of time to the future of the Labour Party.

I will not be seeking re-election as leader of the Labour Party. In order to ensure that the new leadership elections can be completed without delay, I will be proposing to the special National Executive Committee meeting tomorrow [Tuesday] that the elections be held as quickly as proper organisation allows. The elections will therefore take place in the second half of June.

My resignation from the position of leader of the Labour Party will take effect on the date of the elections. The deputy leader Roy Hattersley shares my view of the course which must be followed and will be acting accordingly.

This timetable will make it possible for the Parliamentary Labour Party to elect a new shadow Cabinet well before the summer recess. In providing for these developments, I am seeking to ensure that the Labour Party can get on with its work with maximum speed and effectiveness.

This will prove to be particularly important when the Government has a small majority and faces the continuing and very deep economic difficulties that it has caused for the country. In these circumstances, I am certain that it would not be right for the Labour Party to wait for the six months until October before establishing the leadership team and the political course which must be followed.

As the election process opens, I have only one piece of advice for the labour movement at every level: do not feed and do not believe the press and broadcasting media in their reporting of these events. The Labour Party must conduct its own democratic election and do it in a way that brings credit and strength to the party. That was done in 1983. I am sure that it will be done again.

I am taking the opportunity of this statement to notify the Labour Party of my intention to seek election to the constituency section of the National Executive Committee at this year’s annual conference. My purpose in doing that is to try to continue to play an active and supportive part in sustaining the advances in democracy and policy which I believe to be vital to the future success of the party.

I want to record my heartfelt thanks to Roy Hattersley, the rest of the shadow Cabinet, and the National Executive Committee for their loyalty and for their hard work...

I also want to express my admiration for members of the Labour Party, old and new... I want them and the many others who have sent countless numbers of moving messages of support to Glenys and myself in the last three days to know that I deeply appreciate their great kindness.

I assure them very firmly that the action that I am taking is an essential act of leadership. It is not to do with any personal sensitivity - it arises entirely from my desire to see that the Labour Party will gain further strength and be better able to serve the people of Britain and the wider world community...

There will be many opportunities to consider the causes and consequences of last Thursday’s election result. I will not dwell on them here.

I will content myself, for the moment, with drawing attention to the words of the former treasurer of the Conservative Party, Lord McAlpine, in yesterday’s Sunday Telegraph:

“The heroes of this campaign,” said Lord McAlpine, “were Sir David English, Sir Nicholas Lloyd, Kelvin McKenzie and the other editors of the grander Tory press. Never in the past nine elections have they come out so strongly in favour of the Conservatives. Never has their attack on the Labour Party been so comprehensive... This was how the election was won, and if the politicians, elated in their hour of victory, are tempted to believe otherwise, they are in real trouble next time.”

Lord McAlpine could not be expected to acknowledge the degree of misinformation and disinformation employed in the attacks on the Labour Party, but in all other respects his assessment is correct.

The government elected on 9 April 1992 does not have and will not develop the policies necessary to strengthen the British economy and will not try to address the injustices in British society.

My great regret is that I failed to ensure that enough people understood that and the implications which it has for the future. My sorrow is that millions, particularly those who do not have the strength to defend themselves, will suffer because of the election of another Conservative government.

I make and I seek no excuses, and I express no bitterness when I say that the Conservative-supporting press has enabled the Tory Party to win yet again when the Conservative Party could not have secured victory for itself on the basis of its record, its programme or its character.

The relationship between the Conservative Party and those newspapers which Lord McAlpine describes as being edited by “heroes” is a fact of British political life. I did think that it would be possible this time to succeed in achieving change in spite of that. Clearly it wasn’t. Success will therefore have to wait. But it will come, and I will work for it.
Unarudia makosa yale yale. Mazingira ya UK sio ya Bongo. Tuzungumzie CCM na CDM.

Amandla...
 
Unarudia makosa yale yale. Mazingira ya UK sio ya Bongo. Tuzungumzie CCM na CDM.

Amandla...
Kwanza ulianza kusema namlinganisha mpinzani Mbowe si rais.

Nimekuletea mpinzani Neil Kinnock alivyong'atuka, unahamisha goli tusijilinganishe na Uingereza.

Sasa tunataka demokrasia halafu unataka tujilinganishe na wapi? North Korea?
 
Kitu cha kwanza kabisa sijamlinganisha Mbowe kama rais wa Tanzania, hata David Cameron hakuwa rais wa Uingereza wala head of state wa Uingereza. Nimelinganisha kiongozi wa kitaifa anavyoweza kufuata kanuni za kidemokrasia za kuona kashindwa kazi na kung'atuka kwa heshima kabla hajang'atuliwa kwa aibu.

Haya, ukisema David Cameron ni kiongozi wa serikali, Mbowe hakuongoza serikali, Uingereza Neil Kinnock, kiongozi wa Labor, baada ya kushindwa mara kadhaa, alikubali kwamba anajiuzulu kupisha wengine, Neil Kinnock hakuwa kiongozi wa serikali, alikuwa kiongozi wa opposition.

Soma hotuba ya Neil Kinnock alipoachia ngazi hapa Neil Kinnock resigns as Labour leader: from the archive, 14 April 1992

Pili, umefanya logical fallacy ya argument from dictionary. Suala ni kanuni ya kidemokrasia ya kupishana uongozi, bila kujali katiba inasema nini, katiba inaweza kuwa haina demokrasia ikabadilishwa, ndiyo maana kuna mabadiliko ya kikatiba, lakini, kanuni ni kwamba demokrasia inaendana na kuachiana madaraka. Hakukuwa na haja ya ku cite katiba, in fact ulivyo cite katiba umeonesha CCM wanafuata demokrasia ya kupishana kwenye uenyekiti bila hata ya kulazimishwa na katiba, kitu ambacho Mbowe kashindwa. Mbowe anataka kuwatoa CCM wakati kwenye suala la mwenyekiti kupisha wengine kwa hiyari CCM wamemshinda.

CCM wenyeviti hawalazimiki kung'atuka, lakini wanang'atuka, bila kushurutishwa na katiba. Katika hili wamemshinda Mbowe. Mbowe anakosa moral high ground kusema CCM wanang'ang'ania madarakani wakati yeye mwenyewe kakaa kwenye uenyekiti wa CHADEMA kupita mwenyekiti yeyote wa CCM.

Huelewi wapi?
Unaleta ubishi tu katika majadiliano. Unamlinganisha vipi Prime Minister na kiongozi wa chama cha upinzani?

Neil Kinnock alijiuzuru kwa sababu ulizozitaja. Na bila shaka alilazimishwa na wanachama wenzake.

Ninachopingana na nyie ni ile kufanya Mbowe kutaka kugombea tena kuwa kosa la jinai wakati ni haki yake. Kama viongozi wenzake watakuwa wamemchoka watamtema. Na kama wanachama wenzake watakuwa wamemchoka basi watachagua watu watakaoweza kumtoa katika nafasi yake. Hilo jukumu ni lao na sio la watu ambao sio wanachama.

CCM inabadilisha Mwenyekiti kila baada ya miaka 10 kwa sababu tu marais wote mpaka sasa wanatokwa kwao. Hawataki kuwa na centre mbili ndio maana wakaweka huo utaratibu. Hoja yako itakuwa na mantik wakikaa katika upinzani.

Amandla...
 
Unaleta ubishi tu katika majadiliano. Unamlinganisha vipi Prime Minister na kiongozi wa chama cha upinzani?

Neil Kinnock alijiuzuru kwa sababu ulizozitaja. Na bila shaka alilazimishwa na wanachama wenzake.

Ninachopingana na nyie ni ile kufanya Mbowe kutaka kugombea tena kuwa kosa la jinai wakati ni haki yake. Kama viongozi wenzake watakuwa wamemchoka watamtema. Na kama wanachama wenzake watakuwa wamemchoka basi watachagua watu watakaoweza kumtoa katika nafasi yake. Hilo jukumu ni lao na sio la watu ambao sio wanachama.

CCM inabadilisha Mwenyekiti kila baada ya miaka 10 kwa sababu tu marais wote mpaka sasa wanatokwa kwao. Hawataki kuwa na centre mbili ndio maana wakaweka huo utaratibu. Hoja yako itakuwa na mantik wakikaa katika upinzani.

Amandla...
Wapi nimesema Mbowe kugombea uenyekiti ni kosa la jinai? Unajua kusoma kwa ufahamu?

CCM ikibadilisha wenyeviti kila baada ya miaka 10 kwa sababu yoyote itakuwa imemzidi Mbowe katika hilo.

Kwa sababu Mbowe hajaachia uenyekiti kwa miaka 20.
 
Kwanza ulianza kusema namlinganisha mpinzani Mbowe si rais.

Nimekuletea mpinzani Neil Kinnock alivyong'atuka, unahamisha goli tusijilinganishe na Uingereza.

Sasa tunataka demokrasia halafu unataka tujilinganishe na wapi? North Korea?
Nilisema usimlinganishe Mbowe ambae hajawahi kuwa Rais wa JMT na Rais wa JMT. Mlinganishe na Mwenyekiti wa CCM na sio Rais wa JMT.

UK mfumo wao wa utawala ni tofauti na wa kwetu. Prime Minister sio tu ni kiongozi wa serikali bali ni mbunge pia. PM akionekana ana vurunda anaadhibiwa mara moja kama tulivyoona Conservatives wakifanya. Aidha, vyayama vyao vimekuwa vikipokezana kijiti kwa muda mrefu na wana imani kubwa na mfumo wao wa uchaguzi.

Kwetu sisi watu wote tunajua figisu figisu zinazofanywa wakati wa uchaguzi kiasi kuwa kushindwa kwa chama cha upinzani sio ishara ya udhaifu wa uongozi wake.

Amandla...
 
Wapi nimesema Mbowe kugombea uenyekiti ni kosa la jinai? Unajua kusoma kwa ufahamu?

CCM ikibadilisha wenyeviti kila baada ya miaka 10 kwa sababu yoyote itakuwa imemzidi Mbowe katika hilo.

Kwa sababu Mbowe hajaachia uenyekiti kwa miaka 20.
Sawa.

Tukubali tu kutofautiana.

Amandla.
 
Nilisema usimlinganishe Mbowe ambae hajawahi kuwa Rais wa JMT na Rais wa JMT. Mlinganishe na Mwenyekiti wa CCM na sio Rais wa JMT.

UK mfumo wao wa utawala ni tofauti na wa kwetu. Prime Minister sio tu ni kiongozi wa serikali bali ni mbunge pia. PM akionekana ana vurunda anaadhibiwa mara moja kama tulivyoona Conservatives wakifanya. Aidha, vyayama vyao vimekuwa vikipokezana kijiti kwa muda mrefu na wana imani kubwa na mfumo wao wa uchaguzi.

Kwetu sisi watu wote tunajua figisu figisu zinazofanywa wakati wa uchaguzi kiasi kuwa kushindwa kwa chama cha upinzani sio ishara ya udhaifu wa uongozi wake.

Amandla...
Neil Kinnock naye alivyojiuzulu alikuwa PM?

Ukishindwa hata kwa figisu miaka 20 ndiyo umeshindwa, achia wengine wajaribu kuzikabili figisu.

Sasa Mbowe leo atafanya kipi kipya ambacho hajafanya miaka 20 iliyopita? Maridhiano na Samia?
 
Sawa.

Tukubali tu kutofautiana.

Amandla.
Sawa nini?

Mimi sikubali kutofautiana. Nataka mpambano wa kimantiki wa fikra mpaka tujue hoja ipi imeshinda.

Mbowe ame ovestay kwenye uongozi, kachoka. Ni wakati sasa ang'atuke.

Hakuna hoja ya maana ya kulazimisha Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti.

Ukisikiliza press conference waliyofanya Mbowe na Lissu 2-3 weeks ago, kama unajua kuwasikiliza watu, utasikia Mbowe kaanza anakwenda kwa autopilot anabumbabumba tu.

Tundu Lissu alivyomfuatia Mbowe kusema unaona huyu mtu anajua kupanga hoja kimantiki. Unaona kuwa Tundu Lissu kusoma sheria kumemsaidia kupanga hoja kwa namna ambayo Mbowe hawezi.
 
We specialize in contradictions.

Mbowe anaongoza chama ambacho jina lake linasisitiza neno Demokrasia, lakini kashindwa kufuata kanuni za demokrasia za kupishana madarakani.
 
Hii ni ndefu kwa hiyo kwa wale ambao kusoma para zaidi ya moja ni mtihani wala wasianze kuisoma.

Kuna wanachama na wafuasi wa CHADEMA pamoja na wapinzani wengine wa chama tawala ambao wanaamini kwa dhati kuwa ni wakati muafaka wa kubadilisha approach ya kuleta mabadiliko kwa sababu inayotumika sasa hivi kwa kiasi kikubwa haijafanikiwa.

Wanaamini hii ni kwa sababu Mbowe hawezi kumudu tactics ambazo ni aggresive na confrontational za wakati huo. Na chachu ya tactics hizo itatokana nje ya taratibu za kawaida kama tulivyoona vijana wa nchi jirani walivyotumia tik tok n.k.

Mambo haya yote hayaendani na hulka ya Mbowe ambayo kwa kiasi fulani ni ya traditional politics. Hawa walihitaji kiongozi ambae hana uvumilivu kama wao. Kiongozi ambae yuko tayari kwenda "mano a mano" na serikali bila kujali consequences.

Kwa mtazamo wao Lissu ndio kiongozi anaewafaa. Kwa sababu walimwona Mbowe kama kizingiti kwao wakatumia tactics za kumuaibisha na kumbeza ili aone hahitaji hizo fedheha ajitoe. Bahati mbaya kwao walikuwa hawajamsoma Mbowe vizuri. Hawakujua tactics hizo ndio zitamfanya aone chama chake kinataka kuwa hijacked kihuni.

Kitu vingine ambacho hawakuzingatia ni kuwa watanzania wengi hawapendi confrontation na hivyo kuna uwezekano mdogo wa wao kujitokeza kwa wingi kujiunga nao. Kingine ni kuwa tactic kama hizi hazileti matokeo ya kudumu na mara nyingi zinakuwa hijacked na wana siasa na kufa kifo cha kimya kimya. Tumeona Kenya. Tumeona Malawi. Hata Tunisia na Misri.

Ubaya mwingine ni kuwa ni vigumu ku control ili vurugu zisitawale. Picha za vijana wakiwa wana warushia mawe hazina tija.

Amandla...
Mabwana wa Vibaraka wanafanya juhudi kubwa sana Ili kuweka mtu wao.

Chadema,Mbowe na Nchi isikubaki kuweka Taifa reheni Kwa maslahi ya kina Amsterdam

View: https://www.instagram.com/p/DEAXfvVIWoV/?igsh=bHNkdG1sb2xpYjFy
 
Hii ni ndefu kwa hiyo kwa wale ambao kusoma para zaidi ya moja ni mtihani wala wasianze kuisoma.

Kuna wanachama na wafuasi wa CHADEMA pamoja na wapinzani wengine wa chama tawala ambao wanaamini kwa dhati kuwa ni wakati muafaka wa kubadilisha approach ya kuleta mabadiliko kwa sababu inayotumika sasa hivi kwa kiasi kikubwa haijafanikiwa.

Wanaamini hii ni kwa sababu Mbowe hawezi kumudu tactics ambazo ni aggresive na confrontational za wakati huo. Na chachu ya tactics hizo itatokana nje ya taratibu za kawaida kama tulivyoona vijana wa nchi jirani walivyotumia tik tok n.k.

Mambo haya yote hayaendani na hulka ya Mbowe ambayo kwa kiasi fulani ni ya traditional politics. Hawa walihitaji kiongozi ambae hana uvumilivu kama wao. Kiongozi ambae yuko tayari kwenda "mano a mano" na serikali bila kujali consequences.

Kwa mtazamo wao Lissu ndio kiongozi anaewafaa. Kwa sababu walimwona Mbowe kama kizingiti kwao wakatumia tactics za kumuaibisha na kumbeza ili aone hahitaji hizo fedheha ajitoe. Bahati mbaya kwao walikuwa hawajamsoma Mbowe vizuri. Hawakujua tactics hizo ndio zitamfanya aone chama chake kinataka kuwa hijacked kihuni.

Kitu vingine ambacho hawakuzingatia ni kuwa watanzania wengi hawapendi confrontation na hivyo kuna uwezekano mdogo wa wao kujitokeza kwa wingi kujiunga nao. Kingine ni kuwa tactic kama hizi hazileti matokeo ya kudumu na mara nyingi zinakuwa hijacked na wana siasa na kufa kifo cha kimya kimya. Tumeona Kenya. Tumeona Malawi. Hata Tunisia na Misri.

Ubaya mwingine ni kuwa ni vigumu ku control ili vurugu zisitawale. Picha za vijana wakiwa wana warushia mawe hazina tija.

Amandla...
Jaribu kutafakari upya.

Mbowe anagombea kwa sera zipi? Kuna kipya gani anachikileta CHADEMA?
 
Yericko na wewe wote mnaishi kwa pesa haramu zinazokwapuliwa HAZINA.

Lazima mjitutumue kujitia aibu ili kumridhisha hangaya
Na wewe na Lisu mnaishi Kwa pesa haramu zinazoingizwa na Mabeberu Kupitia kibaraka wake Lisu Ili Kuharibu Nchi.
 
Na wewe na Lisu mnaishi Kwa pesa haramu zinazoingizwa na Mabeberu Kupitia kibaraka wake Lisu Ili Kuharibu Nchi.
Hii ndiyo kimbilio la majuha na wauaji mliojazana CCM

Mimi ninaiona hofu yenu ndo maana hamlali hafi muahakikishe mzoa vinyesi wenu aendelee kukamata madaraka ili awasaliti Watanzania
 
Hii ndiyo kimbilio la majuha na wauaji mliojazana CCM

Mimi ninaiona hofu yenu ndo maana hamlali hafi muahakikishe mzoa vinyesi wenu aendelee kukamata madaraka ili awasaliti Watanzania
Mbona wewe punguani unakimbilia kusingizia hela za Hazina?

Hopeless ,Tanzania hakuna nafasi ya vibaraka
 
Lazima iniume kuona Nchi inataka kufanywa shamba la bibi la Mabeberu Kupitia vibaraka kama wewe na Lisu
Ripoti za CAG hazijadiliki kwa sababu ukoo wote wa panya unahusika na sasa mnaishi kwa hofu.

Zinahesabika siku
 
Back
Top Bottom