Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
- Thread starter
- #81
1. Shida ya demokrasi ni kuwa haiko perfect. Kama 2/3 ya wajumbe hawana ubavu wa kupingana na Mwenyekiti huwezi kumlaumu Mwenyekiti. Kila kiongozi anapenda kuwa na watu anaoweza kufanya kazi nae. Ni wajibu wa wapiga kura kuchagua watu ambao ni Independence.
Amandla...
Unadhani Ndugai angetishika? Hasa baada ya kupewa immunity? Mtu aliyemtoa mtu rumande halafu akamuapisha. Aidha, pamoja na Kigogo kuelezea mchoro wote wengi hatukuamini kuwa Halima Mdee anaweza kufanya alivyofanya.Nakuelewa, unasimama kwa M/Kiti kwa kivuli cha majority! Sijui kama walipiga kura au la.
Ninachoelewa katika mambo ya utawala tathmini hufanywa kwa Quality na Quantity
Nyerere alishauri vyama vingi licha ya 80/20 ya Watanzania kukataa. Suala la vyama vingi lilihitaji hekima na si idadi.
Mwl Nyerere alipoita Kamati kuu kujadili mgomo wa Wanafunzi wa UDSM, majority walimwambia awafukuze! ikiwezekana washtakiwe. Mwl akawaambia, Wanafunzi wametoa hoja zao, zipingine! Wajumbe hawakuweza !
Mwl akawambia mawazo hayapigwi rungu. Maaa yake, Mwl alijali quality kuliko quantity
Mzee Warioba anasema Tume ya ya Katiba alimtaka kila mmoja azungumze, si kupiga kura.
Maana yake, alizingatia quality kuliko quantity
Je, FAM alisikiliza manguli waliopishana naye au alikimbilia kura ?
Tazama Kamati kuu ya CDM halafu uniambie 2/3 ya Wajumbe wanaweza kusema nini against FAM.
Kwa sababu " Join the Chain exercise" lilijulikana na kila mtu CAG ana haki ya kuulizia makusanyo yake. Ingawa ingekuwa vyema kama wangeziweka wazi.Nilishaeleza, kulikuwa na taarifa za uhakika kwamba Ndugai ameongea na COVID-19, mratibu alikuwa KM CCM.
Mbowe angetoka na kusema '' CDM haitapeleka Wabunge na atakayekwenda Bungeni si wa CDM''
Ndugai, KM CCM na System wasingeweza kwasababu habari ingevuja kabla. FAM alikaa kimya
Rose Mayemba alikosea kumuunga mkono Msigwa. Nadhani alifanya hivyo kutokana na misplaced loyalty. Alitakiwa ajirekebishe baada ya ukweli kujulikana. Tusisahau kuwa CDM imesalitiwa sana na wale ambao iliwaamini sana. Baada ya wakina Halima kila mmoja ataangaliwa kwa jicho la pili. Ndio maana hawa vijana wanaojitokeza kuunga mkono upande mmoja au mwingine wanachukua risk kubwa.CAG anakagua hesabu zilizopo. Ikiwa fedha za join the chain hazikuingia katika System ya CDM, CAG atakagua vipi?
Kwanini watu hawatoki na kueleza join the chain pesa ziko wapi ili kumaliza hii hoja once and for all
Mbowe sio muongeaji. Nimesema ana say kubwa katika KK lakini sidhani kama yuko tayari kusema kuwa watendaji wake ni corrupt. Ni wajibu wa wagombea kuweka pressure ili pawe na Uchaguzi huru kwa kutoa proposal. Anachofanya Lissu sio sawa maana inaonekana kama anatayarisha grounds za kukataa matokeo hata kama atashindwa kihalali.Rose Mayemba ni CDM kindaki ndaki! alitangaza kumuunga mkono Msigwa hadharani (Tweet).
Kigaila amekwenda mara 2 akiruhusu uhuni ili uchaguzi urudiwe. Rose amekata rufaa, Kigaila ameikalia kimya
Kamati kuu inakaa kila mara, suala la Rose Mayemba limewekwa kapuni na Sekretariati ya JJ Mnyika na Kigaila.
Hawa waheshimiwa siwajui kwa hiyo siwezi kusema kama ni corrupt au la.Mwenyekiti Mbowe yupo kimya licha ya wewe kusema ana ''say kubwa'' hili ni suala linalojenga hisia mbaya, linatakiwa kushughilikiwa. FAM na Sekretariati yake akiwatumia akina Kigaila wanataka kulifinyanga.
Nani ana imani tena na system iliyopo ya uchaguzi?
Hili nimeshauri sana na ndilo litaisaidia CDM! Kigaila na Wenzake hawana hata sifa ya kushika karatasi ya kura
Ni corrupt, compromised na wahuni.
Amandla...