dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
Hivi wale wa kuunga mkono juhudi waliishia wapi?Asante Bujibuji Simba Nyamaume kwa kukunitambua🥰🥰
Hivi si ninaweza kujiita Dr Chakorii halafu nikaendelea kuonyesha juhudi ili iwe kweli?🤓🤓
Kumbe hiyo winga ya kulia ndo yeye amejiorodhesha kwenye kikosi!Ule uzi wako wa wajenzi wanafiki wanaojenga nyumba za yule mwamba aliyeacha legacy kubwa uko wapi, mbona siioni? Halafu naona umejiorodhesha hiyo namba 7
Hata Sijui wamepotelea wapi😀Hivi wale wa kuunga mkono juhudi waliishia wapi?
Dogo kuwa na adabu Kwa Dada zako, profile ya Dr Lizzy hata mjikusanye ukoo mzima hamumfikii.Kuna dokta uchwara mwingine anaitwa lizy😅anapenda kula kuliko chochote
imefika hatua Uzi unasema weka sura yako yeye anaweka kiporo Cha wali maharage au makande.sasa najiuliza huyu sura yake ni chakula au?
**** wee.huyo chaurafi ana profile gani?Dogo kuwa na adabu Kwa Dada zako, profile ya Dr Lizzy hata mjikusanye ukoo mzima hamumfikii.
Fanculo.
Haahaha[emoji1][emoji2][emoji3]Mzee unatafuta dose ya ku sleep well[emoji16]
Nilikuonya heshimu wakubwa zako hukuwahi kunisikiliza Sasa mods wamesepa na wewe ban safi kabisa, ukirudi utakuwa na adabu.**** wee.huyo chaurafi ana profile gani?
Banned [emoji724][emoji724][emoji724] [emoji3083][emoji3083]**** wee.huyo chaurafi ana profile gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikuonya heshimu wakubwa zako hukuwahi kunisikiliza Sasa mods wamesepa na wewe ban safi kabisa, ukirudi utakuwa na adabu.
Moderator walikutia adabu Sasa utarudi na heshima na kuheshimu wakubwa zako, tukana tena utiwe discipline ya nguvu.**** wee.huyo chaurafi ana profile gani?