Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Bongo ukiwa na nyumba na kigari watu wanakuona kana tajiri haha funnyNimefuatilia huu uzi nimebaki kushangaa , mtu anasema wapo makahaba matajiri afu anasema eti kuna kahaba kajenga nyumba anaishi vizuri
Nawasihi nendeni mkasome who is called a rich person
Kuwa na nyumba si utajiri huo maana kama huo ndiyo utajiri basi Tz si nchi maskini kabisa
Unamzungumziaje bobrisky, Uwoya ,Mobeto nk?Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
AiseePicha imemaliza kila kitu..View attachment 2511506
Uwoya na Mobeto watoe muweke Huddah MonroeU
Unamzungumziaje bobrisky, Uwoya ,Mobeto nk?
Waambie hawa.Nimefuatilia huu uzi nimebaki kushangaa , mtu anasema wapo makahaba matajiri afu anasema eti kuna kahaba kajenga nyumba anaishi vizuri
Nawasihi nendeni mkasome who is called a rich person
Kuwa na nyumba si utajiri huo maana kama huo ndiyo utajiri basi Tz si nchi maskini kabisa
Huddah's net worth as of 2020 is $3 million. Her successful career has led to everything that has happened. Monroe is a well-known Kenyan model and a well-known farmer with a 10-acre piece of land that she farmsUwoya na Mobeto watoe muweke Huddah Monroe
Hujui uongeacho.Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Ongea wewe Mr. Mnyakyusa nakusikilizaHujui uongeacho.
[emoji1787][emoji1787] yaani inachekesha sana , watu wanajadili utajiri humu wakati hawajui ili uitwe tajiri lazima uwe na vitu vingi kiasi gani na level zipiBongo ukiwa na nyumba na kigari watu wanakuona kana tajiri haha funny
Huwezi tajirika ukiwa gerezani lazima uwe huru ndipo utajirike, hao unaowasema wapo magerezani wanafanya yale Bwana gereza anataka, ukiuliza utashangaa hata wao hawapendi wala hawaitak ila watafanyaje ndio wako gerezani?Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Spiritual penitentiaryHuwezi tajirika ukiwa gerezani lazima uwe huru ndipo utajirike, hao unaowasema wapo magerezani wanafanya yale Bwana gereza anataka, ukiuliza utashangaa hata wao hawapendi wala hawaitak ila watafanyaje ndio wako gerezani?
Ulio wataja watafutaji pia, na wana fanya sio kwa ajili ya kujiuza au shida, bobu kapata Mali kwa kazi ya ung'ese tu na alishawai kusifia ung'ese umempa Mali yeye katokea kwenye shida na tabu.Dolce and Gabbana-Wanamitindo maarufu na tajiri duniani
Tim Cook- CEO wa Apple
Elton John - Mwanamuziki maarufu na tajiri duniani
Elen Degeneres - Tv Talk Show Host maarufu na tajiri duniani
Tuendelee ama tusiendeleeeeeeeee
Wanatumikia mapepoKusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Mleta mada kasema hakuna Mashoga wala Makahaba matajiri mmepewa list ndio hiyo,Ulio wataja watafutaji pia, na wana fanya sio kwa ajili ya kujiuza au shida, bobu kapata Mali kwa kazi ya ung'ese tu na alishawai kusifia ung'ese umempa Mali yeye katokea kwenye shida na tabu.
Ni tajiri?Kuna kahaba mmoja hapa mtaani kwangu nimeanza kumfahamu kama miaka 10 iliyopita
Mpaka sasa amejenga anausafiri, hachuji kila siku anaingiza wateja .... ile kitu haichakai kwa kutiwa sana
Na nyie waganga kumbe mnafahamu kwamba mapepo yanatumikisha na kutesa watuWanatumikia mapepo
Tutafika tu mkuu si unajua bongo tupo nyuma kwenye kila kitu,hadi kutofautisha tajiri na middle class hatujui [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] yaani inachekesha sana , watu wanajadili utajiri humu wakati hawajui ili uitwe tajiri lazima uwe na vitu vingi kiasi gani na level zipi
Umejenga nyumba ya vyumba vitatu tu unaitwa tajiri [emoji1787][emoji1787]
Bora huyu, kuna yule mmoja Unique Flower ni shidaKama kuna shindano la watu wanaoongoza kwa kuchapia hapa JF, wewe kombe mbona ni lako?
HaaKusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?