Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Ukiangalia beret za Commandos wa Navy zina ufanano na beret za Commandos wa Infantry. Sijajuwa kwanini?Mkuu Commando huwa naona beret zao ni maroon hao wenye beret nyeusi ni special forces wa Navy, halafu kwenye kamandi tano za jeshi hakuna Commando hawa wanaweza kuwa kwenye kamandi yoyote ile ni kama ma MP ambao wao beret zao ni nyekundu, pia umesahau kamandi ya Makao Makuu ambao nao beret na uniform zao zinafanana rangi na kamandi ya Land (Infantry)
Mwanajeshi ni chakula cha risasi, hana sababu ya kuweka mshahara benki.Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
hapa kati kuingia bima. Ndio maana watu binafsi wameamua kuwekeza eneo hilo. Kama ujenzi uliofanyika makokaHapo mwisho najua umeishi eneo hilo,nini kinaendelea hapo?
uchumi wa fremu kaka mkubwa ndio wa kustahili pongezi? hiyo ni taasisi kubwa hiyo ilipaswa kuleta mageuzi kwenye macroeconomics.Wamewekeza kwenye sekta nyingi nyingi tu mpaka usafi, afya, ujenzi ulinzi nk kupitia kitengo chao cha SUMA JKT
Fremu hizo pia zimejengwa Kigamboni ferry
Wanastahili pongezi kwa mafanikio haya na kuongeza ajira kwa vijana na wataalamu wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
kuanza kutumia maeneo ya jeshi kama maeneo ya biashara na maeneo ya kustaarehe kujitafutia vipato hovyo vya kodi ni umasikini mkubwa kwa jeshiWakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Jkt. Lakini Jkt ni kamandi ya Jwtz, hivyo hajakosea kuihusisha Suma na Jwtz.Hivi Suma JKT ipo chini ya JWTZ au JKT?
Kila nikipita pale najiuliza hili swali, ngoja subiri tuoneLugalo naona wanasafisha upande wa pili, sijui ni nini wanaweka pale
Hivi Suma JKT ipo chini ya JWTZ au JKT?
Nafikiri hao wenye beret nyeusi watakuwa ni other special forces kwenye kamandi nyinginezo, lakini special forces wenyewe wale commando wenye insignia ya bawa, beret zao ni za maroon na wengi wao wako kule 92 KJ Ngerengere Air Force BaseUkiangalia beret za Commandos wa Navy zina ufanano na beret za Commandos wa Infantry. Sijajuwa kwanini?
Nafikiri hao wenye beret nyeusi watakuwa ni other special forces kwenye kamandi nyinginezo, lakini special forces wenyewe wale commando wenye insignia ya bawa, beret zao ni za maroon na wengi wao wako kule 92 KJ Ngerengere Air Force Base
Tuseme tu ukweli rain ndo tumewafuata jeshi.baada ya population ya watu kuwa kubwa. Wakati jeshi wanachukua hayo maeneo dar.hakuna aliyejua kungekuja kuwa hivi.Jeshi linatakiwa liondoke maeneo ya mjini yabaki kujengwa majengo ya kiraia. Kama upo umuhimu, basi mjini yabaki maeneo machache na madogo tu kwa ajili yao. Nashangaa jiji kama Dar wamejaza mi-kambi mi-kukubwa ya jeshi. Ya kazi gani?
Nadhan ni ngumu SanaJeshi linatakiwa liondoke maeneo ya mjini yabaki kujengwa majengo ya kiraia. Kama upo umuhimu, basi mjini yabaki maeneo machache na madogo tu kwa ajili yao. Nashangaa jiji kama Dar wamejaza mi-kambi mi-kukubwa ya jeshi. Ya kazi gani?
Mkuu wapi mimi nimemwongelea Makonda?Duuh mjomba kwamba hadi leo humfahamu CDF wa jeshi la nchi yako nani, hajamuongelea Makonda amemuongelea Jacob Mkunda ambaye ni CDF wa JWTZ, halafu yeye kaandika kaka wewe hiyo baba sijui umeitoa wapi
Kwa wasio na hela waende wapi kureflesh mind
Oohh samahani mkuu sikujua kama bashite ni jina la baba yakoMkuu wapi mimi nimemwongelea Makonda?
Unaelewa maana yake?πΌKampuni ya simu Halotel inamilikiwa na jeshi la wananchi wa Vietnam
Duuuh ndo najua hili.Yes, Viettel (Halotel Tanzania) inamilikiwa na Wizara ya Ulinzi ya Vietnam lakini mwanzo wake haikuanzishwa na serikali yao au jeshi lao bali ilirithishwa tu kwa wizara ya ulinzi...
Tambua pia uwekezaji wa kwenye sekta ya mawasiliano si sawa na kujenga fremu na bar...
Duuuh ndo najua hili.
Viettel, hili neno lilisoma badala ya halotel kwa week nzima, hadi nilichachawa, line angu imekuajee? Niliogopaa.
Kumbe ndo wenye mtandao wao, ahsante kwa somo.