Kwanini Magufuli aliwaogopa sana Nape na January Makamba?

Mkristo alisema ukweli kuwa atahakikisha by 2020 upinzani hamna na kweli Bungeni hakuna wapinzani sasa.RIP msema kweli.
 
Magufuli licha ya Makamba kumchora vikatuni bado alimteua
Na alimuacha hadi pale sauti za kumtukana zilipovuja, sio sababu ya utendaji
 
Kwa nini alikuwa akiua wapinzani kama alikuwa na huruma kweli?
 
Kunywa maji katekista wangu utulie! Una hali ngumu........sumu kutoka mwilini mwako inakutafuna vibaya. Neema za samia, makamba na nape zinatoka kwa Mungu ikiwa ni majibu dhidi ya chuki, fitna na wivu kama hivi!
 
Acha chuki. Magufuli hakuwa mtu wa kuogopa hao watu wako. Kama aliwaogopa mbona aliwatumbua na wasimfanye kitu? Magufuli asingeogopa watu wanaoishi kwa kutegemea majina ya baba zao. Kweli 'panya' akiondoka 'mapaka' hujitawala
 
Ushamba ni mzigo mkubwa sana, kwani ukitumia lugha 1 tu kutufikishia Hadhira ujumbe hutaeleweka?

Ujuaji mwingi mbele giza.
 
Acha chuki. Magufuli hakuwa mtu wa kuogopa hao watu wako. Kama aliwaogopa mbona aliwatumbua na wasimfanye kitu? Magufuli asingeogopa watu wanaoishi kwa kutegemea majina ya baba zao. Kweli 'panya' akiondoka 'mapaka' hujitawala
Sasa kumtoa mtu kwenye uwaziri kwani kuna shida gani? Walibaki kwenye chama na wakaendelea kuwa wabunge na sasa ni mawaziri
 
Ushamba ni mzigo mkubwa sana, kwani ukitumia lugha 1 tu kutufikishia Hadhira ujumbe hutaeleweka?

Ujuaji mwingi mbele giza.
Bila mimi mshamba kulima wewe wa mjini ungeweza kula?

Kwani lazima unisome na kunielewa?

Unataka kunipongia lugha ya kuandika na jinsi ya kuandika?

Kuna options hapo ya kunipeleka ignore list, kama hupendi ninavyoandika nipeleke ignore list hutaona tena ninachoandika.

Mimi nina watu wengi sana nawafanyia hivyo, kila wiki lazima nimpeleke mtu ignore list.

Fuckouttahere.
 
Sasa kumtoa mtu kwenye uwaziri kwani kuna shida gani? Walibaki kwenye chama na wakaendelea kuwa wabunge na sasa ni mawaziri
Kama angewaogopa wasingetemeshwa uwaziri. Wamerejeshwa kwa mlango wa nyuma baada ya Simba mwenyewe kuitwa kwao.
 
What if kama mtu akiwaza hivi:'

Kwanini huyo aliye mwema kwa mujibu wa Mgosi Yusufu aliwaogopa Salim Ahmed na Mark Mwandosya?
 
Povu jiiingi kama jinsi ile, kweli jiwe gizani [emoji1787]
 
Kama kuna ushahidi wa kutosha kwamba ali-hack kura za EL basi kuna haja gani ya kumjadili mwizi aliyehatarisha usalama wa taifa na anayestahili muda huu kuwa Ukonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…