Kwanini Magufuli anachukiwa na CCM, Chadema, ACT, CUF na wasomi wengi ila anapendwa na wanyonge?

Sisi Wakristo kwenye Amri 10 za Mungu kuna Amri inasema WAHESHIMU BABA YAKO NA MAMA YAKO UPATE MIAKA MINGI NA KHERI DUNIANI.

 
Acha ashambuliwe tu! What goes around comes around.

Nayeye alifanya hivyo hivyo
 

Nyie bwana. Mtatunga maneno mengi Sana kudiscredit upinzani lakini mtashindwa.
 
Unawazungumzia watanzania gani mkuu, hawa ambao ni mtaji wa CCM, ahahaha hawa ambao hata sembe iuzwe elfu kumi watakufa na njaa, hao lazima wamuelewe magu mzee wa propaganda, alifanikiwa kuchota akili zao mkuu.

Lakini waliojitambua walijua magu hamna kitu.
 
Jiwe ni mpunbavu mwenzao hao wanyonge,na nyie wanyonge mnajiuzia kesi za MAREHEMU na Hali yenu nani atawakumbuka Ili awabadilishiie maisha hayo ya kinyonge jamaa yenu Ali;-
UWA WATU NA KUWATUPA,
NYANG'ANYA HELA ,MACHAWA YAKE MAKONDA SABAYA POLEPOLE BASHIRU WABUNGE WALIOTOKEA UTUMISHI WA UMMA KAMA DC DED RC UNYAMA NA WIZI WALIOFANYA WE MNYONGE UNGEACHA TU KUMTETEA JIWE
 
Kwani unazani lile rafa linaloshikishwa ukuta kule ubeleji halitaonja mauti? Litakufa halafu linatupwa kwenda kuzimu.
🤣🤣🤣 Aisee nyie watu mna hasira, mtaishia kupigwa ban bure
Ila ule mungu wenu keshafukiwa futi 6 chini na hatakaa arudi
 
Alikuwa anajua kula na kipofu, akina Makondakta mbona hakuwashughulikia
 
Sema unampenda ww mbona Mimi simpendi! Puaaaaa kabisa
 
🤣🤣🤣 Aisee nyie watu mna hasira, mtaishia kupigwa ban bure
Ila ule mungu wenu keshafukiwa futi 6 chini na hatakaa arudi
Hili ni jukwaa la chadema, kwa hiyo kupigwa ban sisi tusioimba pambio za kuisifu chadema ni kawaida, tumezoea.
Kwani wewe unadhani huyo rafa wenu atadumu milele? Kufa atakufa, na atazikwa pia, tena bila mikunjo!
 
JPM anavuna alichokipanda, hata kama yeye ni mfu, bado mfumo aliouasisi unapinduliwa kibabe na wasaidizi wake wa karibu. Hiyo ina maana ya kuwa hakuungwa mkono kwa dhati na kutoka moyoni mwa wasaidizi wake wa karibu, ilikuwa ni geresha na unafiki tu.

Kwa wakati kutokana na utisho wake,
walijifanya wanakubaliana maamuzi yake, lakini kumbe walikuwa hawaafikiani naye kabisa. Ushahidi ni kwamba wale aliowatumbua na kuwafukuza kazi kwa dharau kubwa, sasa ndio mabosi ndani ya chama na serikali aliyowahi kuiongoza.
 
Samia amefanya mapinduzi baridi,samia na kundi lake woote wanahusika na mauaji ya kipenzi chetu,
 
Jiwe alikuwa Msanii sana, alikuwa anawalaghai watu wasiojielewa, kuwachonganisha Maskini na Matajiri, aliwaaminisha Maskini kuwa Matajiri ndio Chanzo Cha Umaskini wao, na alifanikiwa sana katika hili.
Lakini Nyuma ya Pazia alitengeneza Circle yake ya Upigaji huku akifokea wenzake.

Na Bahati Mbaya sana Wapiga Kura wengi ni watu wasiojitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…