Kuna uwezekano mkubwa verse ya isaya ilikuwa inamuongelea Mfalme wa Babylon.
So far isaya anaongelea mwana wa nyota ya Asubuhi,si nyota ya Asubuhi. Yesu ndiye anajiita nyota ya Asubuhi wakati andiko la Isaya linaongelea Mwana wa Asubuhi.
Kwa mjibu wa biblia kupitia Neno(Yesu) vitu vyote viliumbwa include Satan As well.
Lakini kama nilivyotangulia kusema hapo juu wajuzi wanasema hiyo verse ilikuwa inamuongelea mfalme wa Babeli.
Kabla ya kujibu hilo la babeli.
Nimeweka hayo maandiko kukuonyesha kuwa Lucifer sio jina ni sifa. Maana yake ni nyota ya asubuhi. Kama Yesu anaitwa Nyota ya asubuhi, iweje na Shetani aitwe Lucifer Wakati maana ya Lucifer ni Nyota ya asubuhi?
Lucifer ni sifa sio jina ndio maana hata Yesu anaitwa Nyota y asubuhi ambayo ni Lucifer.
Kuhusu babel. Nitaweka kwa Kiingereza ili kuondoa utata, maana kuna maneno ya kiingereza yana maana tofauti lakini hayo hayo maneno kwa Kiswahili yana maana moja. Mfano shiny na bright (nitatumia Lucifer kama jina ndivyo ilivyotumiwa kwenye biblia)
Lucifer is a transliteration of the Hebrew word Helel which means Lucent, Shiny or sometimes Bright. (kiswahili cha shiny na bright ni ng'aa, haina tofauti)
The full name (prase) is Helel ben Shachar which means Shining one, Son of the Morning. So how do we get Lucifer from Helel?
Chanzo chake
Shahar (Shachar) and Shalim were two deities from the Urgarit (Canaanite religion) pantheon, one representing Dawn and the other representing Dusk.
In Greek mythology, they were known as Phosphorus (morning star) and Hesperus (evening star), and they were both a representation of the planet Venus rising and setting, both in the east at dawn and in the west at dusk. It's my guess that they're a early depiction of a day, and where it begins and ends.
The naming of phosphorus in Latin is Luciferus and Hesperus in Latin is Vesperus, which is how we get the word Lucifer (and Vesper) from Helel.
Did Lucifer serve as the King of Babylon?
Nabonidus, the Babylonian king during the fall of Babylon, as mentioned in the book of Isiah 14:12, was in charge of Babylon with his son Belshazzar. In 539 BCE, Babylon was conquered by the Persian King Cyrus the Great.
Cyrus found the presence of foreign exiles (prisoners and war captives) in Babylon such as the Jews distasteful and one of his first acts was to allow these exiles to return to their homelands and were made to take with them the images of their gods, their “sacred vessels” and much of their personal belongings.
And so ended the exile of the Jews in Babylon.
This passage pertains to the former Babylonian King Nabonidus...
Lucifer, son of the morning, how have you fallen from the heavens? You, the one who weakened nations, have been cut down to the ground!
The creation was meant to mock the previous Babylonian ruler, who was also a 'God King'. Therefore, it is absolutely true that 'Lucifer' was the king of Babylon.
Satan is famous for convincing people that he doesn't exist. He's also adept at concealing his true name and making them believe he's someone else.
I hope that helps, Digest well 🙏