Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Uko sahihi kwa asilimia 100! Naweka mkazo pale unaposema Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa kwani Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi. Tumeona barua aliyoandika mwanasheria wa Lissu akimuonya JPM kwa maneno makali kama vile anamuonya mtoto wake. Umetoa mifano ya Venezuela na Bolivia ambazo zilikuwa zikijitutumua kulinda uchumi wao. Vivyo hivyo hata kwa Iraq na Libya. Tukaambiwa viongozi wao ni madikteta. Tunajionea wenyewe 'demokrasia' iliyofuatia kuuawa kwa Saddam Hussein na Moamar Gaddafi. Watanzania tujifunze kutokana na historia hiyo.
Mbona Rais wa Misri Sisi ni dikteta na muuaji mkubwa lakini mpaka leo anapewa misaada na heshima zote na Marekani.
Hawa Marekani ni wahuni wakubwa
 
Wazungu kwa ujumla wao hawampendi kiongozi mweusi mdadisi na mwenye kujiamini kwamba yeye ni tajiri na anayo haki ya maisha mazuri.

Mungu hawezi kukupa rasilimali alizotupa halafu tuendelee kuishi kwa kujikomba kwa mataifa mengine.
Upo sahihi japo pia si wazungu wote.
Tatizo ni sisi viongozi weusi tukipata madaraka akili zetu huehuka na kujiona miungu.
Mtu anapost kibonzo cha happy birthday - anaswekwa ndani.
Mtu akikosoa jambo- jela
Mkosoaji anawindwa kuliko jambazi. Watu wanaishi kwa hofu nchini mwao.

Kweli tulinde mali zetu lakini tusinyanyasane.
Tuheshimu katiba na sheria zetu.

(Hapo ukute hata majibu haya tu tayari naanza kuwindwa)
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Kama yupi kwa mfano
 
#ZEC mnaulizwa hawa Wapiga Kura yenu ya Mapema hapo tarehe 27/10/2020 mmewatoa wapi katika mitaa na vijiji vya #Zanzibar? Maana Raha ya #Zanzibar tunajuana kila mtaa na kijiji. Mliwaandikisha lini? Kama mmeamua kuuharibu huu Uchaguzi nyiye ndiyo mtakaowajibika kwa matokeo ya matendo yenu.

View attachment 1610078
Vipi unakichinjio cha ZEC?? Kama huna unawashwa nini sasa!
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Hana Cha uzalendo wowote,
Utaki wapinzani wafsnye kampeni,unawaksmsta,unawapiga msbomu,Kama ni mzalendo uoga wa nini,ruhusu demokrasia tuone Umaarufu wako.
Huyu ni mwizi Kama wengine,mtoto wa dada yupo hazina,shemeji kapewa Tenda ya airport,
Mtoto wake ananunua plot kwa 6billioni.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.

Huyo wa kwanza upande wa kushoto unamjua ni waziri wa serikali ya inchi gani?
 

Attachments

  • images.jpeg.jpg
    images.jpeg.jpg
    41.4 KB · Views: 1
They coded name as spam hapo wanamtafutia tu Lisu kura ya huruma.
 
Upo sahihi japo pia si wazungu wote.
Tatizo ni sisi viongozi weusi tukipata madaraka akili zetu huehuka na kujiona miungu.
Mtu anapost kibonzo cha happy birthday - anaswekwa ndani.
Mtu akikosoa jambo- jela
Mkosoaji anawindwa kuliko jambazi. Watu wanaishi kwa hofu nchini mwao.

Kweli tulinde mali zetu lakini tusinyanyasane.
Tuheshimu katiba na sheria zetu.

(Hapo ukute hata majibu haya tu tayari naanza kuwindwa)
Hakuna kiumbe kisichokuwa na kasoro na uhakika baada ya uchaguzi mkuu mheshimiwa Rais Magufuli ataangalia hayo makosa. But still Rais Magufuli anafaa kuendelea kuongoza kwa miaka mingine 5
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Kuangalia maslahi ya nchi ni hadi uue raia wa nchi yako na kunywa damu yao?

Marais wote wajinga ndo huwa wanakimbilia kudai wanalinda maslahi ya nchi zao... inajulikana wazi vichaa kama hawa wakiachwa bila kudhibitwa wanaweza kufika mahali wakaanza kuua watu kwa halaiki, Sasa waachwe tu waue?
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Umeleta uzi wenye afya, ndiyo maana wenye akili tumetulia tu na kumuacha kibaraka ajitape maneno yote
 
Watu wapoteze maisha, wengine wapigwe risasi, wengine wapotee wasijulikane walipo, halafu wewe unaleta habari ya rasilimali.

Mbona hizo rasilimali mzungu amekuwa akichukua miaka yote kwa mikataba mibovu mliyosaini nao, amka usingizini, wachawi ni nyie wenyewe.
 
Katika vitu wanavyo kosea Mabeberu na vibaraka wao ni kujaribu ku mtisha kwa namna yoyote JPM. Kumtishia JPM ni kupiga rangi upepo,JPM ni chuma Cha pua.
Unamaanisha JPM huyu huyu ambae serikali yake ilikurupuka Jumapili na kutoa Press Conference kumkana Bashite aliyeanza kupambana na ushoga Dar es salaam, au unamzungumzia JPM yupi hasa?!

Au hapa napo inabidi ukumbushwe Serikali ya JPM ilifikia hatua hiyo ya kuufyata na kuwaacha mashoga waendelee kula raha zao baada ya hao hao Mabeberu kutoa tamko dhidi ya kampeni hiyo ya Bashite?!

Paul.png

Yaani Wafuasi wa Jiwe na Lumumba ni kama watoto ndani ya nyumba wanaodhani Baba yao ni Superman flani hivi anayeweza kupambana na yeyote na kumshinda!!!
 
Huna akili pumbavu wewe,upo Chadema na shule hujaenda,pumbavu kabisa,utakuwa shoga wewe.
Hujui kifungu 154(1)(c) kinazuia ushoga. Alafu serikali itoe tangazo kama hilo?
Pumbavu kama wewe hutakiwi Chadema.
Dadangu mbona unaibuka from nowhere na kuanza kumtusi mtu ambae hata kukufahamu hakufahamu?!

Ni kwamba huyo niliyemjibu ni mume wako kwahiyo imekuuma kuona mumeo anapewa dozi, au una stress za kuachika na kwahiyo unaamua kudandia kila mwanaume anayepita mbele yako?!

Stop it bitch, you're not and you'll never be my type kwahiyo acha shobo, kima wewe!!!
 
..Mabeberu wanapenda nchi zenye amani na viongozi walarushwa ili wazinyonye vizuri.

..Tanzania na Magufuli wanavyo vigezo nilivyovitaja hapo juu.

..Amani ikikosekana hapa Tanzania, makampuni ya madini kama Barrick hayataweza kuchimba madini.

..Pia kukiwa hakuna kiongozi fisadi kama Jiwe, Tanzania haitanunua midege tusiyoihitaji toka kwa mabeberu.

..Kwa hiyo Mabeberu kama Marekani wanapenda Tanzania iwe na amani, na zaidi iwe na kiongozi fisadi anayewapelekea mapesa ya bure kama Jiwe na miradi yake ya ununuzi wa midege[dreamliners] tusiyoihitaji.

cc Chige
Huna lolote Ulijaa chuki tu Na Kamwe Chukizenu hazita fanikiwa
Mungu kamwe hashindwi na Mijitu yenye Chuki na Husda
Magufuli Yupo mpaka 2025 na Tanzania ipo salama Chini yake
 
Hakuna kiumbe kisichokuwa na kasoro na uhakika baada ya uchaguzi mkuu mheshimiwa Rais Magufuli ataangalia hayo makosa. But still Rais Magufuli anafaa kuendelea kuongoza kwa miaka mingine 5
Kama kweli ataweza kuyarekebisha hayo atakuwa ni best President.
Japo alitakiwa aanze kwenye mchakato huu wa uchaguzi, hawa wateule wake wanavurunda sana mchakato wa uchaguzi na yeye ndiye rais , nadhani anaweza fanya jambo kutuliza munkali wa maofisa wa tume ya uchaguzi.
Pamoja tuistawishe amani ya nchi yetu.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Marekani apatani na madikteta nchi zote hizo ni za kidikteta.Madikteta uleta Vita duniani,Vita uzalishaji wakimbizi,na kuipa dunia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi ikiwemo USA.
Mzee wa visasi ni uncivilized and uneducated thus utumia nguvu badala ya akili hata kwenye reasoning issues.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Marekani apatani na madikteta nchi zote hizo ni za kidikteta.Madikteta uleta Vita duniani,Vita uzalishaji wakimbizi,na kuipa dunia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi ikiwemo USA.

Mzee wa visasi ni uncivilized and uneducated thus utumia nguvu badala ya akili hata kwenye reasoning issues.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Marekani apatani na madikteta nchi zote hizo ni za kidikteta.Madikteta uleta Vita duniani,Vita uzalishaji wakimbizi,na kuipa dunia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi ikiwemo USA.

Mzee wa visasi ni uncivilized and uneducated thus utumia nguvu badala ya akili hata kwenye reasoning issues.
 
Marekani apatani na madikteta nchi zote hizo ni za kidikteta.Madikteta uleta Vita duniani,Vita uzalishaji wakimbizi,na kuipa dunia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi ikiwemo USA.
Mzee wa visasi ni uncivilized and uneducated thus utumia nguvu badala ya akili hata kwenye reasoning issues.
Hujui hata Rais Donald Trump wa Marekani ni Dictator pia.
 
Back
Top Bottom