Sijaelewa nini unamaanisha?Kila mwanamke mweupe ni Mzungu?
Ok sawaAchana nao hao,we pambana mnyakyusa wako huyo mkuu
MI nawasiwasi wale ni moles pandikizi wanammonitor rais akianza kwenda kinyume na maslahi wanamsabotage raisNi kweli. West Africa na hasa nchi zilizotawaliwa na Mfaransa zina marais wanaopenda sana kuoa Wazungu. Senegal wamewahi kuwa na marais 4 na wawili kati yao walikuwa na wake wazungu. Inawezekana ni mitego ya Wafaransa ili kuwatawala zaidi hawa jamaa zetu wa Francophone
SIjajua lakini ndio iwe accidentally kwa nchi tofauti tofauti?Uzalendo hadi kwenye mapenzi?
Swali la kujiuliza wanawaoa wakiwa washakuwa marais?
Inaweza kuwa kweli but inamaana nchini hakuna wasomi au mabalozi, wakuu wa mashirika km WHO,FAO, UNICEF wenye exposure?Afrika ya Magharibi wengi wamefuata ile dini ya mnyaanzi ambayo mwanamke anatunzwa ndani no school sasa unapokuwa raisi unahitaji mke msomi mwenye exposure ya kimataifa
But muingereza ndio hatari alikotawala kote bado anamkono mpaka kwa super power bado hata middle east machafuko gaza ni mkono wa uingerezaMfaransa alifanikiwa Sana kwenye assimilation policy
Huyu ndiye Joka Kuu. Mbali ya yote, Muingereza au watu wa Ulaya ndio walioishika dunia, piga ua.But muingereza ndio hatari alikotawala kote bado anamkono mpaka kwa super power bado hata middle east machafuko gaza ni mkono wa uingereza