philantrhopist
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 415
- 706
We me au kePapuchi ni Papuchi tu, ya mzungu, Muhindi, muafrika, zote sawa tu… Radha ni ileile…na kipenda roho hula Nyama mbichi… haijalishi…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We me au kePapuchi ni Papuchi tu, ya mzungu, Muhindi, muafrika, zote sawa tu… Radha ni ileile…na kipenda roho hula Nyama mbichi… haijalishi…
CC MwalimuDonga:
Kumbe una majibu:
"Uzalendo ni kuipenda asili yako na kutokuwa tiyari kuisaliti kwa manufaa yoyote yale yatakayoweza kuhatarisha asilia hiyo"
Mobutu, Zuma, Mugabe na Madikteta wengi Africa wamekua na uzalendo upi Hasa? Hivyo kumbe unaweza kuoa mke Mwafrica na ukaweza kuisaliti nchi yako....Kama alivyofanya Mobutu na Mugabe kunaifanya hoja kuwa obsolete! Haina Mshiko......! Unajua Kwame Nkuruma alioa Mwarabu......alikosa uzalendo? Wako kina Teodora Obiang Nguema na mke wake......walafi wakubwa....Mtoto wake ni mtu wa matanuzi makubwa......Utasemeje....Utasemaje kuhusu utajiri wa Mama Ngina Kenyatta!
Mama Ngina, in Africa billionaires list:
Nearing her ninth decade Ngina Kenyatta is a billionaire with a portfolio which includes investments, banking, media and the dairy industry. “Mama Kenyatta” has a 24.91% share in the Commercial Bank of Africa (CBA) – she also owns shares in Media Max, a media company that owns K24 TV, Kameme Radio, and The People newspaper.
Hawa mafisadi Tanzania au dhana tu kuwa fisadi Tanzania imeletwa kwa kuoa Wazungu? Huna hoja kabisa jamaa yangu.
Hata Mondlane aliichukua Parcel iliyomuua ofisini, na ilitumwa kwa njia ya posta.....Huwezi kusema ni mkewe ndiye aliyemuua.....ingweza kumuulia popote alipofungulia parcel hiyo!
Hiyo ni colonial mentality hasa assimilation policy ya Mkoloni mfaransa.Wanaglorify white supremacy ili nao wafanane na wazungu.Kwa nyakati mbalimbali nimekuwa nikiona masekeseke mengi nchi za umoja wa ECOWAS ila kinachonichanganya kwanini? Ma-first lady wengi wa kizungu
Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa
Juzi tena wakati IVORY COST wanatwaa ubingwa pale jukwaani nikaona rais akiwavisha medali wachezaji pia firstlady alikuwa ni mzungu
Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu
Na hii vipi kwenye usalama wa nchi hasa zile sensitive information
Nikijibu itasaidia nini? We jua tu papuchi ni papuchi tu na zina ladha mfanano…We me au ke
Vipi kuhusu OMBI LANGU, au mpaka niwe na ukwasi wa kutosha ndio utanielewa?Achana nao hao,we pambana na mnyakyusa wako huyo mkuu
Assimilation policy effectsKwa nyakati mbalimbali nimekuwa nikiona masekeseke mengi nchi za umoja wa ECOWAS ila kinachonichanganya kwanini? Ma-first lady wengi wa kizungu
Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa
Juzi tena wakati IVORY COST wanatwaa ubingwa pale jukwaani nikaona rais akiwavisha medali wachezaji pia firstlady alikuwa ni mzungu
Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu
Na hii vipi kwenye usalama wa nchi hasa zile sensitive information
Ni kweli mkuu😒Vipi kuhusu OMBI LANGU, au mpaka niwe na ukwasi wa kutosha ndio utanielewa?
Kumbuka hata mtu wa mbuyu ulianza kama mchicha
Walikuwa blackmailed ili wawaoe hao wazungu ambao ni maspy wa nchi hizo za Ulaya magharibi...kwa ajili ya kumonitor nyendo za Marais ama viongozi wa nchi hizo lengo wasije kuhathiri interests za nchi za Ulaya Magharibi.Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu
Mama Salma Kikwee na mama Janeth Magufuli, walimu wa mwandiko darasa la 3 shule ya msingi Mbuyuni wana exposure ya kimataifa?sasa unapokuwa raisi unahitaji mke msomi mwenye exposure ya kimataifa
1. Umesema ''marais wengi wa Afrika Magharibi'' wakati umetoa mfano wa marais wawili tu.Kwa nyakati mbalimbali nimekuwa nikiona masekeseke mengi nchi za umoja wa ECOWAS ila kinachonichanganya kwanini? Ma-first lady wengi wa kizungu
Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa
Juzi tena wakati IVORY COST wanatwaa ubingwa pale jukwaani nikaona rais akiwavisha medali wachezaji pia firstlady alikuwa ni mzungu
Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu
Na hii vipi kwenye usalama wa nchi hasa zile sensitive information
Swali muhimu.Kwa sababu Rais wa sasa wa Ivory Coast Quattara alimuoa mkewe Dominique akiwa gavana sio Rais wa Nchi hiyo.Wanaoa kabla au baada ya kupata urais, ni muhimu tukajua
Kuna senegal na taifa jingine nimesahau1. Umesema ''marais wengi wa Afrika Magharibi'' wakati umetoa mfano wa marais wawili tu.
2. Kuoa mwanamke wa kigeni siyo kukosa uzalendo na hii inaonyesha hujui maana ya uzalendo.
Hili jibu linaweza kuwa ndio jibu bora kabisaWalikuwa blackmailed ili wawaoe hao wazungu ambao ni maspy wa nchi hizo za Ulaya magharibi...kwa ajili ya kumonitor nyendo za Marais ama viongozi wa nchi hizo lengo wasije kuhathiri interests za nchi za Ulaya Magharibi.
Safi sana👊👊👏👏 ngoja nikaisome hii asimilation policyAssimilation policy effects
Kaka uko vizuri we ni ticha wa historynn?Hiyo ni colonial mentality hasa assimilation policy ya Mkoloni mfaransa.Wanaglorify white supremacy ili nao wafanane na wazungu.
Hata km bado ila kwenye siasa hakuna cha bahati mbaya kila tukio asilimia kubwa ni plannedWanaoa kabla au baada ya kupata urais, ni muhimu tukajua
Ali Bongo wa Gabon naye wife mzunguKwa nyakati mbalimbali nimekuwa nikiona masekeseke mengi nchi za umoja wa ECOWAS ila kinachonichanganya kwanini? Ma-first lady wengi wa kizungu
Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa
Juzi tena wakati IVORY COST wanatwaa ubingwa pale jukwaani nikaona rais akiwavisha medali wachezaji pia firstlady alikuwa ni mzungu
Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu
Na hii vipi kwenye usalama wa nchi hasa zile sensitive information
Hata senegal marais wake km watatu hivi walioa wazunguAli Bongo wa Gabon naye wife mzungu