Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

SIPENDI SIASA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
791
Reaction score
1,199
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICA.

~ SIPENDI SIASA ~
 
Mungu awabariki sana wale watu aisee. Mzungu hata mbegu yake hakunyimi. Blacks wamezaa sana na wazungu. Sasa nenda Saudi Arabia au China uone kama utapata mke huko..
mbona watu wamezaa na wachina na hao waarabu??? wewe kweli unataka mke au demu wa kugongaga? kama demu kweli kwa wazungu utapata ila hao wachina na waarabu bado wana mtazamo wa kinyakyusa, kugongana hovyo kwa mwanamke kwao ni umalaya, hawagawi hovyo
 
mbona watu wamezaa na wachina na hao waarabu??? wewe kweli unataka mke au demu wa kugongaga? kama demu kweli kwa wazungu utapata ila hao wachina na waarabu bado wana mtazamo wa kinyakyusa, kugongana hovyo kwa mwanamke kwao ni umalaya, hawagawi hovyo
Taja waziri mweusi huko China au Middle East??..
 
mbona watu wamezaa na wachina na hao waarabu??? wewe kweli unataka mke au demu wa kugongaga? kama demu kweli kwa wazungu utapata ila hao wachina na waarabu bado wana mtazamo wa kinyakyusa, kugongana hovyo kwa mwanamke kwao ni umalaya, hawagawi hovyo
Hawagawi kwa mweusi ila wenyewe kwa wenyewe wanapeana..
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICAN.

~ SIPENDI SIASA ~
Halafu wa kisha wa Asili wanawabdilisha na jinsia kabisa wanaume wanakuwa wanawake.

Hakuna Taifa Duniani ambalo limechukua watu weusi, likawafanyia asimmiliation na kutengeneza jamii ya watu weusi Wenye hela zaidi kuliko Waarabu.

Oman na Saudia kuna Watu weusi ambao hawana njaa wala hawahitaji kuwa adopted ili wawe relevant.

Ni Arabuni pekee utakuta viongozi weusi Wanaongoza bila kuwa mafisadi na kuongeza nchi zenye matrilioni ya utajiri.
 
Halafu wa kisha wa Asili wanawabdilisha na jinsia kabisa wanaume wanakuwa wanawake.

Hakuna Taifa Duniani ambalo limechukua watu weusi, likawafanyia asimmiliation na kutengeneza jamii ya watu weusi Wenye hela zaidi kuliko Waarabu.

Oman na Saudia kuna Watu weusi ambao hawana njaa wala hawahitaji kuwa adopted ili wawe relevant.

Ni Arabuni pekee utakuta viongozi weusi Wanaongoza bila kuwa mafisadi na kuongeza nchi zenye matrilioni ya utajiri.
Kiongozi gani ni mweusi huko middle east na china mkuu??
 
Back
Top Bottom