mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
mkuu hakuna race bora, kila moja ina mazuri na mabayarace zote, wazungu ndio race bora halafu ndo zinafuata race nyengine
usijibague mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hakuna race bora, kila moja ina mazuri na mabayarace zote, wazungu ndio race bora halafu ndo zinafuata race nyengine
Hii ndio ile ngozi isiyoona kundule. Taja Waziri mmoja Mchina hapa Africa?Taja waziri mweusi huko China au Middle East??..
Chines na Arabs wana jema gani kwa masikini mweusi??mkuu hakuna race bora, kila moja ina mazuri na mabaya
usijibague mkuu
China anasaidia sana nchi zinazoendelea kupitia the belt and road initiativeChines na Arabs wana jema gani kwa masikini mweusi??
Wachina wabaguzi tofauti na wazungu.Hii ndio ile ngozi isiyoona kundule. Taja Waziri mmoja Mchina hapa Africa?
easy ukitaka kupima ubora wa race angalia vitu vichache tu!.mkuu hakuna race bora, kila moja ina mazuri na mabaya
usijibague mkuu
Those are loans mkuu na kuna siku zitalipwa tu mkuu. Mbona hata USA na EU wanasaidia sana blacks..China anasaidia sana nchi zinazoendelea kupitia the belt and road initiative
Well saideasy ukitaka kupima ubora wa race angalia vitu vichache tu!.
Uchumi
akili
uongozi
utamaduni/mila (life style).
Ndio wanaweza kama sera za nchi zao zitawapa fursa ya kufanya hivyo kwa maana wanatuona sisi ni manyani..Je, matajiri wa kiafrika wanaweza kuwaasili watoto wa kichina na kiarabu!!?
Ni msiba mkuu😁😁Jenga picha mkuu, bila wazungu kuanzisha ile mahakama ya ICC kule The Hague, viongozi wa Africa leo wangetufanyaje sisi watu wao wanaotuongoza??
Nawaomba waumini yani wanaoamini tu😇unamuomba nani huo uthibitisho..?
Hatari sana..Ni msiba mkuu😁😁
Hao machoko wa Zenji nao walibadilishwa jinsia na nani!? Punguza chuki Ustaadhi.Halafu wa kisha wa Asili wanawabdilisha na jinsia kabisa wanaume wanakuwa wanawake.
Hakuna Taifa Duniani ambalo limechukua watu weusi, likawafanyia asimmiliation na kutengeneza jamii ya watu weusi Wenye hela zaidi kuliko Waarabu.
Oman na Saudia kuna Watu weusi ambao hawana njaa wala hawahitaji kuwa adopted ili wawe relevant.
Ni Arabuni pekee utakuta viongozi weusi Wanaongoza bila kuwa mafisadi na kuongeza nchi zenye matrilioni ya utajiri.
Inawezekana brooo🤣🤣🤣Hivi kuasiliwa ina age limit? Mtu hawezi nichukua sahivi mimi?
Nipo serious bro, mtu anaweza kunichukua 😁?Inawezekana brooo🤣🤣🤣
Nakuchukua mimi mimi bro😊Nipo serious bro, mtu anaweza kunichukua 😁?
Ili nikupikie machalali? Hapana bana mi nataka mutu ya mbele huko mzunguNakuchukua mimi mimi bro😊