Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Hata mama yako yumo?race zote, wazungu ndio race bora halafu ndo zinafuata race nyengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mama yako yumo?race zote, wazungu ndio race bora halafu ndo zinafuata race nyengine
Mbona Balotelli hajabadilishwa Jinsia??Halafu wa kisha wa Asili wanawabdilisha na jinsia kabisa wanaume wanakuwa wanawake.
Ubaguzi wa rangi(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.
(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.
(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??
Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICAN.
~ SIPENDI SIASA ~
😁😁😁 turbo ya mama nimekataa na turbo ya baba nimekataa pia ila naomba uthibitisho kamili wa uwepo wa Mungu tu 🤔sasa wewe itabidi tukae mbali nawewe haswa ukifungua turbo ya upande wa mama utatufanya tuwe akina kasongo!..🤣
Nenda Marekani ukawaone akina Serena na Venus Williams ndio uje uandike tena huu upuuzi wako..Hakuna Taifa Duniani ambalo limechukua watu weusi, likawafanyia asimmiliation na kutengeneza jamii ya watu weusi Wenye hela zaidi kuliko Waarabu.
Kwa nini watu weusi tunajiona races nyingine zina wajibu wa kutusaidia? Uzae wewe halafu uulize ni kwa nini watu hawa-adopt watoto wako. Afrika ina raslimali nyingi sana na badala ya kulialia kutaka misaada ilibidi tufanye kazi kwa bidii.(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.
(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.
(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??
Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICAN.
~ SIPENDI SIASA ~
God bless America and Europe..Ubaguzi wa rangi
Ngonjera kama hii zilianza kuimbwa tangu enzi za akina Patrice Lumumba na hakuna kitu kimefanyika mpaka sasa.Kwa nini watu weusi tunajiona races nyingine zina wajibu wa kutusaidia? Uzae wewe halafu uulize ni kwa nini watu hawa-adopt watoto wako. Afrika ina raslimali nyingi sana na badala ya kulialia kutaka misaada ilibidi tufanye kazi kwa bidii.
yumo wapi..?Hata mama yako yumo?
unamuomba nani huo uthibitisho..?😁😁😁 turbo ya mama nimekataa na turbo ya baba nimekataa pia ila naomba uthibitisho kamili wa uwepo wa Mungu tu 🤔
At least MuarabuMnoo, alafu eti ndio rafiki zetu (wajamaa)..
Jenga picha mkuu, bila wazungu kuanzisha ile mahakama ya ICC kule The Hague, viongozi wa Africa leo wangetufanyaje sisi watu wao wanaotuongoza??Naunga mkono hoja kama mtu nilie shea race ya kiafrika upande wa baba na ya watega mabomu upande wa mama 😁😁😁
Msaada mkubwa unatoka Westernmbona unajitiliza huruma za kipuuzi kwamba kua mweusi ni ticket ya msaada kutoka uarabun na china.
Yes mkuu, kwa mbaaaali kidogo..At least Muarabu
Saudi Arabia hata kusalia hadharani kama sio Muislam hairuhusiwi. Just imagine. Lakini USA Misikiti kila Kona..Msaada mkubwa unatoka Western
Masikini anawezaje ku adopt mtoto wa tajiri??Mbona huulizi kwanini pia hakuna watu Afrika(weusi) wanao wa adopt Wamarekani na hao wachina?
Au wao ndiyo wanatakiwa kutu adopt sisi?