Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICAN.

~ SIPENDI SIASA ~
Ubaguzi wa rangi
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICAN.

~ SIPENDI SIASA ~
Kwa nini watu weusi tunajiona races nyingine zina wajibu wa kutusaidia? Uzae wewe halafu uulize ni kwa nini watu hawa-adopt watoto wako. Afrika ina raslimali nyingi sana na badala ya kulialia kutaka misaada ilibidi tufanye kazi kwa bidii.
 
Kwa nini watu weusi tunajiona races nyingine zina wajibu wa kutusaidia? Uzae wewe halafu uulize ni kwa nini watu hawa-adopt watoto wako. Afrika ina raslimali nyingi sana na badala ya kulialia kutaka misaada ilibidi tufanye kazi kwa bidii.
Ngonjera kama hii zilianza kuimbwa tangu enzi za akina Patrice Lumumba na hakuna kitu kimefanyika mpaka sasa.

Ungana na wazungu upate maendeleo..
 
Mbona huulizi kwanini pia hakuna watu Afrika(weusi) wanao wa adopt Wamarekani na hao wachina?
Au wao ndiyo wanatakiwa kutu adopt sisi?
Sababu zinazosababisha sisi tusiwa adopt wao ndiyo hizo hizo zinazosababisha wasituadopt sisi watu weusi
 
Back
Top Bottom