Kwanini matamko ya Kanisa Katoliki kuhusu Serikali mienendo ya Serikali mbalimbali duniani huwa yanakuwa na nguvu zaidi na pengine tofauti na mengine

Kwanini matamko ya Kanisa Katoliki kuhusu Serikali mienendo ya Serikali mbalimbali duniani huwa yanakuwa na nguvu zaidi na pengine tofauti na mengine

Vatcan ndiyo inayo control dunia, ni kwamba roma empire inatawala dunia kupitia katoliki hakuna mtawa yoyote katika dunia hii anaweza kushindana nao. kupitia jesuit wameweza kuidhibiti dunia yote.
Huko Tanzania nasikia wana shule zao mbili hatari sana.

Nilidokezwa eti moja ipo paleee ukipita Kigongo-Sambusa kuelezea njia ya Mabibo uko utaipita ipo Mkono wa kulia chakula imejengwa Kwa tofali za kuchoma!

Nasikia eneo hilo wanapitia makomandoo Wenye sura ya upole wengine utakutana nao wamevaa makanzuri ya rangi ya ugolo wakitembea peku!

Hii Dunia ina mambo mengi sana
R.I.P Mzee wa dakika ya samanini na tisa!
 
Hao ndio moja ya chanzo cha umasikini Africa na kwingine ambako wameachiwa ushawishi na kufanya shughuli zao za kimafia.

Roman ni mfumo unaondesha modern slavery system kwa kubrainwash akili za mataifa masikini huku wao wakijenga ufalme wao duniani ambao utaishi milele.
 
Wanaotoka matamko ni watu waliopiga kitabu na Dr kweli sio za kimagumashi
hao wote nimagumashi chini ya mrija wa bandari na sasa inaenda kukatika dili linakufa polepole kisha ruzuku pia ziondolewe ama na madhehebu mengine yapewe yajiendeleze hata wasio na dini wapewe wana haki ya kupewa
 
Wajuzi mnijuze kwanini kanisa katoliki likitoa matamko yake juu ya Serikali huwa yanakuwa na nguvu zaidi kuliko madhehebu mengine?

Mfano tangu sakata la bandari liibuke waraka wa kanisa katoliki ndio ulipata mileage na attention kubwa tofauti na madhehebu mengine ambayo pamoja na kutoa pia matamko hayakutiliwa maanani sana?

Je ni kweli RC Wana nguvu sana kuliko mengine? Na kama ni hivyo hiyo nguvu ilitokana na nini?
Mbona wamebaunsi issue ya dp word? Samia kawapuuza na wamedhalulika sana
 
Siasa gani walizo anzisha RC duniani wakati RC yenyewe imechipukia chini ya Roman Empire dunia haikua ulaya magharibi pekee wamisri wapo toka kitambo, wachina na wengine wengi.
Kati ya Roman Catholic na Roman Empire ni kipi kilitangulia? Ustaarabu wa wamisri, wachina na wengi wengineo walikuwa washindani tu wa ushawishi wa kikatoliki ulioanzishwa na mwanafunzi mmoja wa Jesus.
 
Huo mfumo wa TISS ya kanisa umechemka vibaya kwenye suala hili la DP World. Barua za kutangaza zabuni zilipowekwa wazi maana yake DP World ni mmoja tu wa waendeshaji wa TPA akishirikiana na bandari inayomkodisha.

Unapoandaa waraka kabisa kupinga uwekezaji hapo bandarini linakuja swali moja muhimu, na hao wanaoalikwa kwa hizo tender nyingine na wao wataandaliwa waraka wa kupingwa uwekezaji wao pale TPA?.

Father Kitima anakuja na hoja nyepesi ya kutaka wazalendo ndio waendeshe hiyo bandari, hao wazalendo wanaopigiwa debe wanashindwa kusimamia suala la umeme wa megawatt 4000 tu wa nchi hii wataweza kweli kushusha na kupakia meli zinazobeba makontena 10,000 pale TPA?.

Kuongea haya mambo ni kazi nyepesi sana lakini utendaji wake ndio unaotofautisha wazalendo na makampuni ya kigeni yenye uzoefu mkubwa.
... unwakumbuka Net Group Solutions ya SA waliokabidhiwa Tanesco enzi za Mkapa na tukaaminishwa wangekuwa muarobaini wa umeme nchini?

Unakumbuka kampuni fulani la kihindi lilipewa TRC na tukaambiwa ndio mwisho w mtatizo ya usafiri wa reli nchini?

Unakumbuka kampuni fulani liliingia ubia n TTCL kuendesha the so called Celtel na tukaambiwa tutulie matatizo ya TTCL yamepatiwa ufumbuzi wa kudumu?

Unakumbuka sula la gesi ya Mtwara? Unakumbuka tuliambiwa tutaanza ku-export umeme na gesi duniani?

... unkumbuka ... unakumbuka ... unakumbuka? Hii nchi imefanyiwa majaribio mengi sana output zero!
 
Acha uzembe na wewe! Mdada mzima unashindwa hata kugugo?
Naona huu upagani wa kutukana ndicho mnachofundishwa kwenye kipaimara. Hakuna sehemu Yesu amemwita Petro Papa, it's an age-old lie and excessive anachronism.
 
Unadhani alitenda kosa?
Hana kosa, amesababisha mtafaruku mkubwa kwenye jamii, wasio na uelewa wengi wameingia kwenye mjadala wa masuala yanayowazidi kimo kwa kigezo cha uzalendo.

Hakuna tena mkataba wa bandari kati ya serikali na mwendeshaji utakaokwenda kuvuja.
 
Kati ya Roman Catholic na Roman Empire ni kipi kilitangulia? Ustaarabu wa wamisri, wachina na wengi wengineo walikuwa washindani tu wa ushawishi wa kikatoliki ulioanzishwa na mwanafunzi mmoja wa Jesus.
Ilitangulia Roman empire ndio ukafuata ukatoliki ndani yake kama dini ya serikali ndio the reason kubwa ya kuitwa R.C

We dogo bwana unafurahisha una zungumzia ustaarabu wa Egpty iliyo kuwepo kabla hata ya huyo Yesu anaye zungumzwa kuwepo, China dynasties na ustaarabu wake zipo kale kwa maelfu ya miaka kabla hata ya huyo Yesu anaye zungumzwa.

Au unafikiri dunia imeanza baada ya habari za huyo Yesu miaka 2000 iliyopita ?
 
... unwakumbuka Net Group Solutions ya SA waliokabidhiwa Tanesco enzi za Mkapa na tukaaminishwa wangekuwa muarobaini wa umeme nchini?

Unakumbuka kampuni fulani la kihindi lilipewa TRC na tukaambiwa ndio mwisho w mtatizo ya usafiri wa reli nchini?

Unakumbuka kampuni fulani liliingia ubia n TTCL kuendesha the so called Celtel na tukaambiwa tutulie matatizo ya TTCL yamepatiwa ufumbuzi wa kudumu?

Unakumbuka sula la gesi ya Mtwara? Unakumbuka tuliambiwa tutaanza ku-export umeme na gesi duniani?

... unkumbuka ... unakumbuka ... unakumbuka? Hii nchi imefanyiwa majaribio mengi sana output zero!
Huijui DP World hivyo huna haki ya kufananisha ujinga wa miaka ya nyuma na uendeshaji wa bandari kisasa.

Usikariri maisha yaliyopita utaishia kuumiza tu nafsi yako.
 
hao wote nimagumashi chini ya mrija wa bandari na sasa inaenda kukatika dili linakufa polepole kisha ruzuku pia ziondolewe ama na madhehebu mengine yapewe yajiendeleze hata wasio na dini wapewe wana haki ya kupewa
Mtu akitangulia ametangulia, hivi ruzuku zikiondolewa unafikiri kanisa katoliki litateleka, hivi unafahamu awamu ya pili Mali zote ikiwemo mashule yaliyosafishwa yalitakiwa kurudishiwa Mali zao , unafikiri kwanini mpango huu haukufanikiwa?
 
Back
Top Bottom