MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
NdiyoMwekezaji ndio atafanikiwa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoMwekezaji ndio atafanikiwa ?
Endelea kusubiri meli airportNdiyo
hiyo ruzuku ikiondolewa hakuna atayeweza kuukemea ama waraka dhidi ya serikali nilazima wataisumbua serikali maana yenyewe ndio imewapa nguvuMtu akitangulia ametangulia, hivi ruzuku zikiondolewa unafikiri kanisa katoliki litateleka, hivi unafahamu awamu ya pili Mali zote ikiwemo mashule yaliyosafishwa yalitakiwa kurudishiwa Mali zao , unafikiri kwanini mpango huu haukufanikiwa?
Na ya Zanzibar je!?Ya Mombasa yanawahusu Wakenya, ya Tanzania yanatuhusu sisi watanzania.
Novemba mwanzoni pale bandarini DP World anaanza kazi.Baada ya ya tamko la TEC uuzwaki wa bandari uliyeyuka!
Nchi ina siri sana hii,
YESU KRISTU MWENYEWE.Huo upapa alipewa na nani ?
Wapi Yesu alimwambia Petro kwamba wewe ndiyo Papa ?YESU KRISTU MWENYEWE.
Unapoteza muda wako kumjibu mpumbavuYESU KRISTU MWENYEWE.
Soma bibilia" wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu" ndio siku petro alikabidhiwa ukuu wa kanisa.Huo upapa alipewa na nani ?
Wapi Yesu alizungumzia padri, askofu, shemasi, etc. Cheo ni jina tu kubwa ni ile function aliyopewa...chunga kondoo wangu.Wapi Yesu alimwambia Petro kwamba wewe ndiyo Papa ?
Askofu wa kanisa la Jerusalem hakuwa Petro bali Yohana. Hivyo kulazimisha kwamba Petro ndiyo alikuwa askofu na Papa wa kwanza ni uongo ambao hauendani na historia.Soma bibilia" wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu" ndio siku petro alikabidhiwa ukuu wa kanisa.
Sema jingine
Sasa wengine kutwa kucha mnatoa matamko mwishowe walishazoea. Mfano askofu mwamakula Huwa anadhalilisha hiyo taasisi. Hawa wengine ni wasomi, matamko yanajadiliwa na kupitishwa na wataalamu wa mambo hayo ndani ya kanisa. Sio kukurupukaWe need to crake down that idea, dunia ni ya watu wote tunahitaji zaidi usawa and equal power to all communities!
Yesu hakuzungumzia vyeo kabisa, alizungumzia utumishi kwa wafuasi. Hivi vyeo mmevileta ninyi wenyewe kwa kufuata tamaduni na siasa za warumi, kina Calixtus.Wapi Yesu alizungumzia padri, askofu, shemasi, etc. Cheo ni jina tu kubwa ni ile function aliyopewa...chunga kondoo wangu.
Ndio maana ya kofia na fimbo wapewazo viongozi wote wa kanisa wakawe wachungaji wema
Kama kuna watu wanaweza ku'raise' voices kwa masilahi ya wote kwa nini uone ni sahihi 'to crackdown that idea'? What's your justification?We need to crake down that idea, dunia ni ya watu wote tunahitaji zaidi usawa and equal power to all communities!
Ulitoa ngapi urudishiwe mara 100?Hilo kanisa inabidi waumini wasitoe sadaka, badala yake waumini wapewe pesa kila wanapohudhuria ibada. Walishapiga pesa nyingi hapo zamani enzi ya kuuza hati za neema."induligence"
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Roman Empire si ilikuja kusambaratika?... Kinyume chake Roman Catholic kama kanisa si lipo hadi siku ya leo na lina makao yake Vatican? ...Si ndio lililorithi na kuhifadhi mila desturi ushawishi kwenye ulimwengu wa leo? ....Ilitangulia Roman empire ndio ukafuata ukatoliki ndani yake kama dini ya serikali ndio the reason kubwa ya kuitwa R.C
Ni ugeni wa kampuni hapo Zanzibar, watapata tu suluhisho.Na ya Zanzibar je!?