Anko nikueleze tu. Twitter inaongoza kwa watu wanaoichukia serikali. Watu wanaopata habari nusu nusu. Wao kila kitu wanakishadadia. Good enough wanaenda na upepo. Anakamatwa kijana, deus wakili kamuombea dhamana katoka. Wao wanatembea na. Upepo kesi hakuna walimkamata tu, ona sasa wamemuachia wanasahau ni dhamana ndio imemtoa.
Something else nikazie, Polisi Tanzania huwa hawafatilii mwenendo wa kesi zao. Zinaenda kirafiki sana. Ndio maana wenye makosa wakiwa na connection huachiwa na wanaopotea ni watu hoe hae.
Ambao hawafatiliwi.
Sijui ntakua nimejibu vzuri. Ila nahisi kuna part siijaizungumza kama sitoeleweka