Kwanini Mawakili wengi binafsi wanashangilia na kukimbilia kusimamia kesi za wanaodaiwa kutukana au kuikosoa Serikali?

Kwanini Mawakili wengi binafsi wanashangilia na kukimbilia kusimamia kesi za wanaodaiwa kutukana au kuikosoa Serikali?

Ndio sehemu pekee ya kutengenezea cv ili kupata kiki na kujitangaza kibiashara itajilipa kupitia jina unadhani kibatara kapiga ngapi kumchomoa yule mama muuaji si chini ya b moja baada ya kujenga jina kupitia kesi za chadema na lisu
 
Anko nikueleze tu. Twitter inaongoza kwa watu wanaoichukia serikali. Watu wanaopata habari nusu nusu. Wao kila kitu wanakishadadia. Good enough wanaenda na upepo. Anakamatwa kijana, deus wakili kamuombea dhamana katoka. Wao wanatembea na. Upepo kesi hakuna walimkamata tu, ona sasa wamemuachia wanasahau ni dhamana ndio imemtoa.

Something else nikazie, Polisi Tanzania huwa hawafatilii mwenendo wa kesi zao. Zinaenda kirafiki sana. Ndio maana wenye makosa wakiwa na connection huachiwa na wanaopotea ni watu hoe hae.

Ambao hawafatiliwi.

Sijui ntakua nimejibu vzuri. Ila nahisi kuna part siijaizungumza kama sitoeleweka
Twitter kule kuna watu wengi wanaojitambua na wachache wapumbavu kama wewe. Jf nowadays imejaa wapumbavu wengi kuliko werevu. Wenzio kule twitter wanazungumzia juu ya kitita kipya cha NHIF ambacho kinagusa maisha ya watanzania wengi ila ukija huku unakutana na wapumbavu wanajadili kuwa saivi viongozi wengi wa serikali wanavaa sare za CCM mtaani kwa sababu ya JPM, si uchizi huu?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Twitter kule kuna watu wengi wanaojitambua na wachache wapumbavu kama wewe. Jf nowadays imejaa wapumbavu wengi kuliko werevu. Wenzio kule twitter wanazungumzia juu ya kitita kipya cha NHIF ambacho kinagusa maisha ya watanzania wengi ila ukija huku unakutana na wapumbavu wanajadili kuwa saivi viongozi wengi wa serikali wanavaa sare za CCM mtaani kwa sababu ya JPM, si uchizi huu?
Zamani siku hizi imejaa ngono kama telegram
 
Twitter kule kuna watu wengi wanaojitambua na wachache wapumbavu kama wewe. Jf nowadays imejaa wapumbavu wengi kuliko werevu. Wenzio kule twitter wanazungumzia juu ya kitita kipya cha NHIF ambacho kinagusa maisha ya watanzania wengi ila ukija huku unakutana na wapumbavu wanajadili kuwa saivi viongozi wengi wa serikali wanavaa sare za CCM mtaani kwa sababu ya JPM, si uchizi huu?
Acha nikuache unahaki ya kuandika na kudhihaki. Ningekudhihaaki ungejiona uchi, ila acha nipite hujui chchte wewe. Uwe na siku njema.
Joined feb 3 2024🚮
 
Tanzania mtu akiwa anatukana na kudhalilisha watu,anaonekana shujaa kwa baadhi ya wajinga wanaenda mbali zaidi na kusema ni Uhuru, tunatengeneza kizazi cha ovyo sana kwa kisingizio cha Uhuru. Yaani utukane matusi usingizie uhuru?

Acha kuongea upuuzi, mbona hatujaona ukilalamikia kuwa viongozi wanapofanya matukio mabaya kama kuwatumbukizia vijana chupa za soda makalioni na kuachiwa ni matumizi mabaya ya uhuru?
Au unasubiri mtu aandike matusi kwa huyo atendaye hivyo ili useme anatukana kiongozi?
Hatutengenezi kizazi cha hovyo bali kipo tayari kizazi cha viongozi wa hovyo ambao pengine hawatukanwi bali wanapewa lugha wanayostahili.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Leo tumeona Polisi wamedai kumkamata mmiliki wa akaunti ya X inayotambulika kwa JINA la Sukunuku; mara tu polisi walipotaka hayo mawakili binafsi wengi wameonyesha nia ya kusimamia kesi hiyo huku baadhi wakiweka wazi kwamba watashinda kesi husika mapema kabisa.

Mmoja wa mawakili ndugu Madeleka ameeleza ugumu wa kesi ya mtandao kwamba ili uthibitishe upotoshaji lazima uonyeshe ukweli jambo ambalo kwenye kesi ambazo uandaliwa kwa hisia za mpelelezi nivigumu kupata ushahidi wa kuishawishi mahakama.

Upande mwingine wanaharakati wanaeleza kwamba pamoja na sheria ya cyber kuwepo ni vigumu kuthibitisha makosa yaliyoainishwa katika sheria hiyo na hivyo kushindwa kesi kwa Jamuhuri ni jambo la kawaida.

Wapo wengine wanaodai kwamba sheria hii ni ngumu kutekelezeka hasa ikizingatiwa kwamba mwana CCM akitoa lugha fulani hazitafsiriwi na jeshi la polisi kama matusi. Mfano anatajwa Nape Nauye kwamba mara kadhaa ametukana mtandaoni lakini hakuna aliyewahi kumkamata. Viongozi waandamizi wa serikali pia utukana lakini hakuna aliyewahi kukamatwa jambo linaloleta tafsiri kwamba sheria hizi zimeundwa kwaajili ya wapinzani na siyo watu wote.

kulingana na mitizamo hii naamini imewafanya mawakili wengi kuona wanaokamatwa wanaonewa na hivyo kujitolea kuwasimamia lakini pia jeshi la Polisi limekuwa halichukulii serious kesi hizi hasa wakitambua kwamba hawatendi haki kwa watu wote bali wanakandamiza kundi flani

Kwa upande wangu naamini hali hii imepelekea wavunjaji wa sheria kuwa na watetezi wengi hasa sheria zinazolinda maslahi ya wanasiasa watawala. Hakuna mwananchi anayechukizwa na watoe matusi kwa sababu wameona watoa matusi nao wana hoja isipokuwa katika kuwasilisha malalamiko yao wanaweka na maeneo ya udhalilishaji na yanayotweza utu.

Way foward: Tukamate kwanza watawala na kuwafungia ili walio nje ya utawala wajifunze. Nazungumza haya nikikumbuka alivyofanyiwa NONDO wa ACT......akahesabika kama gaidi leo anakula meza moja na watawala
Saa nyengine mnaandika utumbo bila kufikiria. Sasa ulitaka kesi za wanaoikosoa Serikali zisimamiwe na mawakili wa serikali dhidi ya serikali?
 
Back
Top Bottom