Mpuuzi kama huyu ChaDema wanamuita 'akili kubwa' great thinker, critical thinker".......na wafuasi wake wengi ni hao wa haiba yake.Malezi yanaanza ndani ya familia,huyu dogo upuuzi alikuwa anaandika amekosa adabu View attachment 2934676
Mimi nilikurupuka mkuu, liweke sawa tujifunzeKwanini unalaumu wakati haielewi?
Mimi nilikurupuka mkuu, liweke sawa tujifunzeKwanini unalaumu wakati haielewi?
Kushughulikia ni kufanyia kazi. Ni kazi gani sasa ambayo waziri Ndumbaro atawafanyia, hiyo ni siri yakeMimi nilikurupuka mkuu, liweke sawa tujifunze
Okay sawa mkuu nashukuru sanaKushughulikia ni kufanyia kazi. Ni kazi gani sasa ambayo waziri Ndumbaro atawafanyia, hiyo ni siri yake
Twitter kule kuna watu wengi wanaojitambua na wachache wapumbavu kama wewe. Jf nowadays imejaa wapumbavu wengi kuliko werevu. Wenzio kule twitter wanazungumzia juu ya kitita kipya cha NHIF ambacho kinagusa maisha ya watanzania wengi ila ukija huku unakutana na wapumbavu wanajadili kuwa saivi viongozi wengi wa serikali wanavaa sare za CCM mtaani kwa sababu ya JPM, si uchizi huu?Anko nikueleze tu. Twitter inaongoza kwa watu wanaoichukia serikali. Watu wanaopata habari nusu nusu. Wao kila kitu wanakishadadia. Good enough wanaenda na upepo. Anakamatwa kijana, deus wakili kamuombea dhamana katoka. Wao wanatembea na. Upepo kesi hakuna walimkamata tu, ona sasa wamemuachia wanasahau ni dhamana ndio imemtoa.
Something else nikazie, Polisi Tanzania huwa hawafatilii mwenendo wa kesi zao. Zinaenda kirafiki sana. Ndio maana wenye makosa wakiwa na connection huachiwa na wanaopotea ni watu hoe hae.
Ambao hawafatiliwi.
Sijui ntakua nimejibu vzuri. Ila nahisi kuna part siijaizungumza kama sitoeleweka
Zamani siku hizi imejaa ngono kama telegramTwitter kule kuna watu wengi wanaojitambua na wachache wapumbavu kama wewe. Jf nowadays imejaa wapumbavu wengi kuliko werevu. Wenzio kule twitter wanazungumzia juu ya kitita kipya cha NHIF ambacho kinagusa maisha ya watanzania wengi ila ukija huku unakutana na wapumbavu wanajadili kuwa saivi viongozi wengi wa serikali wanavaa sare za CCM mtaani kwa sababu ya JPM, si uchizi huu?
Sasa kama unaingia huko kwa ajili ya ngono unalalamika nini? Mbona mimi sijawahi kuziona?Zamani siku hizi imejaa ngono kama telegram
Acha nikuache unahaki ya kuandika na kudhihaki. Ningekudhihaaki ungejiona uchi, ila acha nipite hujui chchte wewe. Uwe na siku njema.Twitter kule kuna watu wengi wanaojitambua na wachache wapumbavu kama wewe. Jf nowadays imejaa wapumbavu wengi kuliko werevu. Wenzio kule twitter wanazungumzia juu ya kitita kipya cha NHIF ambacho kinagusa maisha ya watanzania wengi ila ukija huku unakutana na wapumbavu wanajadili kuwa saivi viongozi wengi wa serikali wanavaa sare za CCM mtaani kwa sababu ya JPM, si uchizi huu?
Tanzania mtu akiwa anatukana na kudhalilisha watu,anaonekana shujaa kwa baadhi ya wajinga wanaenda mbali zaidi na kusema ni Uhuru, tunatengeneza kizazi cha ovyo sana kwa kisingizio cha Uhuru. Yaani utukane matusi usingizie uhuru?
Saa nyengine mnaandika utumbo bila kufikiria. Sasa ulitaka kesi za wanaoikosoa Serikali zisimamiwe na mawakili wa serikali dhidi ya serikali?Leo tumeona Polisi wamedai kumkamata mmiliki wa akaunti ya X inayotambulika kwa JINA la Sukunuku; mara tu polisi walipotaka hayo mawakili binafsi wengi wameonyesha nia ya kusimamia kesi hiyo huku baadhi wakiweka wazi kwamba watashinda kesi husika mapema kabisa.
Mmoja wa mawakili ndugu Madeleka ameeleza ugumu wa kesi ya mtandao kwamba ili uthibitishe upotoshaji lazima uonyeshe ukweli jambo ambalo kwenye kesi ambazo uandaliwa kwa hisia za mpelelezi nivigumu kupata ushahidi wa kuishawishi mahakama.
Upande mwingine wanaharakati wanaeleza kwamba pamoja na sheria ya cyber kuwepo ni vigumu kuthibitisha makosa yaliyoainishwa katika sheria hiyo na hivyo kushindwa kesi kwa Jamuhuri ni jambo la kawaida.
Wapo wengine wanaodai kwamba sheria hii ni ngumu kutekelezeka hasa ikizingatiwa kwamba mwana CCM akitoa lugha fulani hazitafsiriwi na jeshi la polisi kama matusi. Mfano anatajwa Nape Nauye kwamba mara kadhaa ametukana mtandaoni lakini hakuna aliyewahi kumkamata. Viongozi waandamizi wa serikali pia utukana lakini hakuna aliyewahi kukamatwa jambo linaloleta tafsiri kwamba sheria hizi zimeundwa kwaajili ya wapinzani na siyo watu wote.
kulingana na mitizamo hii naamini imewafanya mawakili wengi kuona wanaokamatwa wanaonewa na hivyo kujitolea kuwasimamia lakini pia jeshi la Polisi limekuwa halichukulii serious kesi hizi hasa wakitambua kwamba hawatendi haki kwa watu wote bali wanakandamiza kundi flani
Kwa upande wangu naamini hali hii imepelekea wavunjaji wa sheria kuwa na watetezi wengi hasa sheria zinazolinda maslahi ya wanasiasa watawala. Hakuna mwananchi anayechukizwa na watoe matusi kwa sababu wameona watoa matusi nao wana hoja isipokuwa katika kuwasilisha malalamiko yao wanaweka na maeneo ya udhalilishaji na yanayotweza utu.
Way foward: Tukamate kwanza watawala na kuwafungia ili walio nje ya utawala wajifunze. Nazungumza haya nikikumbuka alivyofanyiwa NONDO wa ACT......akahesabika kama gaidi leo anakula meza moja na watawala
UMeskia waziri ndumbARu?Kushughulikia ni kufanyia kazi. Ni kazi gani sasa ambayo waziri Ndumbaro atawafanyia, hiyo ni siri yake
Sijamsikia, sema wewe uliyemsikia NdumbaruUMeskia waziri ndumbARu?
Mfatilie utapata habari zake, ila anataka kuwashughulikia mashabikiSijamsikia, sema wewe uliyemsikia Ndumbaru