Utakuwa huijui vizuri Mbeya na unasimuliwa tuMaisha yanawapiga sana uko, jua kali, na baridi kavu.
Wakitoka uko wakaja Dar wanapendeza
Lushoto sio pwani.
Ni milimani kuliko hata Mbeya. Kinachofanya wanawake wa Mbeya ni weusi ni kwamba DNA Yao haina amplification of non toxic matter. Hata uki sex nao Hali hiyo unai feel.
Utakuwa huijui vizuri Mbeya na unasimuliwa tu
Kwahiyo Ronaldo wale watoto inaweza ikawa si wake sioAnamyejua baba wa mtoto ni Mungu na mama mzazi...
Ndio sababu halisi ya huu msemo "Kitanda hakizai haramu" kuanzishwa
Watu weupe!!,kama wazungu?!!hakuna kitu kama hicho Afrika,kama Obama,au Deputy president wa US,madame Kamala,Richa ya kuchangsnya damu,lakini Bado wanatambulika kama weusi,iweje wewe na nywele za kipilipili useme unaweza kuwa mweupe!?Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.
Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika. Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.
Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe?
Na Ulaya je wasemeje?
Tupeni sababu za kisayansi.
Huyo bwana mdogo hajui,anadhani Mbeya nikama mikoa ya njaa njaaMbeya na Morogoro mikoa Bora kabisa ya kuishi Kwa Hali ya hewa na upatikanaji wa mahitaji ya kijamii.
Kwa hiyo huyo home boy mwaisa mtu mbadi ana mdomo mama black mambaNimemkumbuka Mbwaga Mwakagali jamaa ni mweusi mkaa kuanzia ngozi, kucha, nyayo, viganja, hadi nyama za ndani za mdomoni najua yumo humu Jf
Ukiwa mbeya maisha yakikupiga hata Dar huwezi toboaMaisha yanawapiga sana uko, jua kali, na baridi kavu.
Wakitoka uko wakaja Dar wanapendeza
Sasa vip watu wa musoma itakuajeMikoa ya mbeya iringa inaitwa nyanda za juu kusini.. ukipima kutoka usawa wa bahari inaenda mpaka 2000m.. sasa imagine uko dar halaf upande gorofa lenye urefu wa kilomita 2 kwenda juu. Hilo jua lake si mcjezo na barid kali.. kwahyo ngozi inalinda mwili dhidi ya miozn ya jua kutengeneza kitu inaitwa melanin ambayo ndo rang yenyew nyeus sasa.. ndio mana watu waishio along ikweta ni weus sana sabab ya jua.. na ndomana huyo huyo mweus tii akiondoka maeneo hayo kwa muda akija ambako jua si kal.. utaona anaanza kungaa flani... Hilo ndo jibu sahih.. ishu si barid
Ukishindwa kuiishi mbeya hakuna mkoa utaweza,vyakula tele,maisha mepesiMbeya na Morogoro mikoa Bora kabisa ya kuishi Kwa Hali ya hewa na upatikanaji wa mahitaji ya kijamii.
Uko sahihi
Ha ha kyela ni balaaTatizo la Mbeya siyo baridi. Baridi haileti weusi. Tatizo ni jua. Jua la Mbeya linachoma kama juu wameweka magnifying lens.
Linachoma namna hiyo. Sehemu kama Dar, humidity inasaidia sana kupunguza uchomaji wa jua.
Inaonekana Mbeya humidity ipo chini. Ukienda sehemu kama Kyela karibu na ziwa utakuta watu si weusi sana.
Weusi kwa sababu ni waafrika. Waafrika wote weusi, wazungu wote weupe.Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.
Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika. Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.
Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe?
Na Ulaya je wasemeje?
Tupeni sababu za kisayansi.
Maji ya kunde jeWeusi kwa sababu ni waafrika. Waafrika wote weusi, wazungu wote weupe.
Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.
Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika. Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.
Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe?
Na Ulaya je wasemeje?
Tupeni sababu za kisayansi.