Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
πSio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.
Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,kule kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
Naendelea kusoma commentHabari wana jamii forum?
Kuanzia miaka ya elfu mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.
Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.
Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.
Je, ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?
Nawasilisha
Kerege auIla mipango miji tu hawazingatia
Hapo unapopaona panaitwa goba Centre zamani palikuwa panaitwa muembe madole,na kulikuwa na usafiri wa landrover na ilikuwa moja inapiga route hadi tangi bovu
Watu huko zamani walikuwa wanauza maeneo mpaka 15,000 ,20000
Ila huko bado kuna kijiji fulani kimebakia cha asili watu hapo wakuda sana ,jina lake limentoka kdg
Ova
Ahaaaa saf San mzeee walau umekaa na wazeee ..,.. mzeee kipind Niko church boy tulikuwa tunaenda sana ibada kwakeMzee Paul b ashanipakia sana kwenye range lake,mzee wang naye alikuwaga
Na shamba huko kubwa
Sema alikuja liuzaga mzee naye alikuwa mhuni [emoji1] baharia tena
Sema nlikuwa napuyanga naye sana kwenye pilika zake
Ova
Kibururu Bado msiba nyumba zimebanana hakuna kuachiana njiaHapo noma sana
Nyumba bado ziko za kale kale bado
Ova
Itakua wenye mijengo ni wafanya biashara wakubwa labdaMbweni kuna balaa aisee unaweza omba unywe sumu ufe maana unaweza jiona wewe si binadamuπ ,kuna watu wana hela nyieeeπ
Ile scandal twin tower na wengine wanasema mambo kuwachapia madem [emoji1]
Ila unaambiwa jamaa alikuwa mchapakazi kazini saa moja kamili ashaingia ofisini
Ila kwa huko ifakara hajafanya lolote kabisa
Ova
Kikwete, vicky kamata, liyumba⦠connect the dots!kweli kabisa...ila sijui alifanya kisa gani kiasi cha kutupwa nje ya system kabisa. kama ni ufisadi mbona viongozi karibia wote wamefisadi miradi mingi tu ya serikali...
ila huyu mwamba dah...serikali ilijua kumkomesha
Ukisikia pepo ya dunia ndio hiyo ya huyo jamaa wa round about kama unaelekea kwa mama.Pale kwny round about kma unaenda kwa mama kuna gorofa moja hivi ni amaizing. Yani yule mwamba amejenga kitu cha ndoto yake. Eneo dogo ila hyo gorofa ilivo simamaaaa.....mbezi beach wnajfungia na mageti kabisa ulinzi shirikshi mbka mchana huiingii kzembeee.....goba kuna ile half london sijui kwa mtume wa majii, ni balaaa mzee unaambiwa wte vjana hakuna mzee, hyo midude sasaaa
Unaweza kuhisi mtu anaanzisha mradi wa kufuga kuku, kumbe mwenzako anapiga hesabu ya kupangisha watu na kila mwezi anavuta elf 25 kwa kila chumba πππKuna yale mabanda pale karibia na efm kwa majizzo, hivi ni mradi wa mtu ule ama nini??? Mana pembeni ni mijengo ya maana ila yale mabanda duuuh, tena yamejengwa kwa mabati kabisaaa full kuanzia ukuta mbka paa...mbezi beach kuna sehemu znachekesha sana
Kunduchi ?Mitaa niliyokuwa naiyogopa ni kunduchi na msasani nadhani mpaka sasa inakimbiza..
Masaki mwisho kule kuna kijiji wamakonde kibao wana kijiji chao na fresh tu gongo,bangi,hukosi huko,uzinzi vichakani tu huitaji guest.Mbezi Beach kijijini kuna mateja km Magomeni Mapipa.
Barabara zenyewe njia za nyoka. Sehemu ya kutumia dakika 30 unatumia masaa mawili.Yani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.
Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.
Lakini hapo kwa umbali wa miji mikubwa si mbali sana, basi mji wetu tu
Mtu akibahatika kupata chaka la kuchoma mahindi, na parking mbili tatu za bodaboda basi heshima ya Mbweni itayeyuka kama donge la chumvi ndani ya maji.Aisee
Wabongo watavuruga tu, hakuna mipango miji
Yaani siamini mpaka leo Masaki imevurugwa vile?
Na wale wa viduka vya hardware huku pembeni wanauza pombe.....Mtu akibahatika kupata chaka la kuchoma mahindi, na parking mbili tatu za bodaboda basi heshima ya Mbweni itayeyuka kama donge la chumvi ndani ya maji.
Lakini bado karibu sana mjini kwa kutumia daraja...labda bongo idadi ya wenye hela sio kama nigeria au kenyaMiradi yote hiyo ilikuwa inflated kwanza kipindi ambacho Avic inajengwa, siamini Kigamboni ilikuwa occupied kiasi cha kwenda kujenga mbali hivyo na hata ule mradi mwingine wa dege
Hao jamaa huwa hawakwepeki, muda si mrefu watalivamia hilo eneo.Na wale wa viduka vya hardware huku pembeni wanauza pombe.....
Kwisha habari yake....π€£π€£