Unakuta mtaa mzima una majumba ya mil 300 Hadi 600...
Kiwanja tu kinauzwa mil 150 kuendelea
Nilitaka kusema, kwa kweli hapana, hata kama kumejengeka, huko sio DarIla kwa umbaki ule hapana aise
Yani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.Nilitaka kusema, kwa kweli hapana, hata kama kumejengeka, huko sio Dar
Raha ukae mbali na uswazi lakini mjini kati ufike chini ya nusu saa....
View attachment 2844474
AiseeHuko mbweni nq nyie lazima mtaletewa vurugu ya mabar,maduka nk ngojeni
Ova
Mbongo hana mipango mijiAisee
Wabongo watavuruga tu, hakuna mipango miji
Yaani siamini mpaka leo Masaki imevurugwa vile?
Hiyo goba wanayoisifia sijui nyumba kali....hawana sehemu za open spaceYani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.
Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.
Si ndio hapo sasa, yaani wawe na hosptali na mashule kila kitu yaaniYani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.
Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.
Nimeshindwa kuelewa kwanini Avic Town kumetelekezwa...Yani Mbweni mpaka Mbezi Beach karibu sawa na Mbezi Beach mpaka mjini.
Huku kunatakiwa kuanzishiwe mji wake, watu wawe wanaenda mjini mara moja kwa wiki.
Lakini hapo kwa umbali wa miji mikubwa si mbali sana, basi mji wetu tu
wabongo kuishi sehemu yenye utulivu hawawezi, ustaasabu ni kipengele kwa wengi, mtu anatoa taka kakwe anaenda tupa barabarani, huko avic town anaweza fanya hvo?Nimeshindwa kuelewa kwanini Avic Town kumetelekezwa...
Nilipita kushangaa sio mchezo...
Sijui wabongo hawapendi vitu vikipangiliwa?
Landlover zilikuwa mbili Moja inapaki bwawani pale mwembe madole nyingine inabaki mbez beach huku ....hiz gari Moja ilikuwa rangi ya blue nyingine silver gar ya tesha na bongo manIla mipango miji tu hawazingatia
Hapo unapopaona panaitwa goba Centre zamani palikuwa panaitwa muembe madole,na kulikuwa na usafiri wa landrover na ilikuwa moja inapiga route hadi tangi bovu
Watu huko zamani walikuwa wanauza maeneo mpaka 15,000 ,20000
Ila huko bado kuna kijiji fulani kimebakia cha asili watu hapo wakuda sana ,jina lake limentoka kdg
Ova
Watoto wengi walikwenda Marekani na Ulaya pia.Madon wa mitaa hiyo it's either wamezeeka au they are no more hawana issue tena watoto wao wameshindwa kwenda na kasi ya sasa hawana influence tena.
Karibu sanaIla mbweni kuna mijengo, jaman watu wana helaa.
Nliwahi enda nyumba 1 hiv kwenye rehearsal ya dance ili kutumbuiza siku ya harusi, sio kwa jumba lile japo nliishia uani tyuuh ila nilichanganyikiwa kabisaa.
Magufuli Bus TerminalHabari wana jamii forum?
Kuanzia miaka ya elfu mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.
Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.
Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.
Je, ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?
Nawasilisha
Yup!Dar kunatakiwa kuwe na ring road kuanzia Tegeta, Madale, Kimara, Kinyerezi, ipite mpaka Gezaulole huko.
Yani unatoka Tegeta mpaka airport au Gezaulole kwa hii barabara huhitaji Bagamoyo Road, huhitaji Kawawa Road, huhitaji Mandela Road wala Nyerere Road.
Ingeupanua mji vizuri sana na kupunguza traffic hapa kati.
Yeah. That's what I'm talking about.
Nakataa hii hoja.Habari wana jamii forum?
Kuanzia miaka ya elfu mbili kushuka chini, eneo la Mbezi beach lilikuwa ni kati ya maeneo machache ya jiji la Dar es salaam ambayo yalikuwa na umaarufu mkubwa kama vile ilivyokuwa Masaki, Osterbay, Sinza nk.
Hii ilipelekea watu wengi hasa wa mikoani wakisikia neno Mbezi, basi akili au mawazo yao yanaenda moja kwa moja kwenye Mbezi beach. Japo Mbezi ya Kimara ilikuwepo, lakini watu hawakuwa wakiifahamu kivile kama inavyofahamika leo.
Sasa hali imekuwa ni tofauti, Mbezi ya Kimara imetokea kuwa na umaarufu mkubwa hadi kupelekea Mbezi beach kusahaulika. Leo hii mfano ukiwa mikoani ukazungumzia neno Mbezi bila kuweka hilo neno beach mbele basi kila mtu akili na mawazo yake yataenda kwa Mbezi ya Kimara kama vile mbezi luis, mbezi mwisho, mbezi magufuli nk.
Je, ni nini chanzo cha umaarufu wa mbezi kuibuka ghafla tofauti na hapo zamani?
Nawasilisha
It’s good to go back.Kweli.
Nimefika Oysterbay pale Karume na Haile Selassie nikakuta barabara zina mashimo kichizi. Mara Bakhressa kachukua sehemu ya Shule kwa Mchambawima kajenga nyumba pale.
OYsterbay vurugu tupu.
Mimi tangu mshua aanze kuwa anakuja US yearly nimekosa appetite kabisa ya kurudi hata likizo.
Nikisema miaka niliyopotea ni aibu.
SureUnaiacha vipi Salasala Mkuu!
Ahsanteee.Karibu sana