Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

Sio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.

Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,huku kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
Tusifike? Kwanini mkuu?
 
Wewe umesema mbezi au aina mbili za Mbezi? Unajua vijana mnafeligi mthihan kwa ajili ya Ujinga kama huu.

Mbezi beach zote zimeishi maskini miaka yote, nenda rudi, hakuna mahali utamkosa maskini, labda Nashvile ndo si kuona.

Hata LA carlifonia kati, San Diego down town, China town, maskini wapo tu utakutana nao wanaishi humo humo wanachanganyana kama kawaida.

Kwa Zena, upande wa juu wa BOT kumekuwa na mafukara miaka sogea twende turudi, maskini wamejaa.

BOT Cota opp na gate pana kibanda na genge, mle ndani wanaishi nani? Maskini lukuki, upande wa chini opp na sheli mkabala na Kakobe kuna gorofa kuu kuu mskini wanalipa 50,000 wanakaa.

Zunguka kama unaenda beach, maskini wamejaa wa kutosha, wanakula upepo wa bahari kwenye mapagala.

Mkinunua viwanja kwao wataenda, ukijenga watarudi mdogo mdogo kulinda, mwishowe wanaoa, wanahamia hapo hapo na kuanza kukuloga usimalizie nyumba.
Hahahaaa, we LOFA umenichekesha kweli
 
Bunju bado bado kwanza. Inabidi isubiri wakina Salasala na Madale wamalize majumba katika sehem zilizowazi alaf ndo wahamie huko Bunju.

Sema nako si haba kiaina 😂😂
Kuna wale wakazi wa bunju upande wa kuelekea mbweni wameamua kujitenga na bunju nyingine kwa kuiita bunju beach, kweli kubaguana hakutaisha duniani
 
Ndio tatizo la kuja mjini ukubwani
Kwahiyo kuja mjini ukubwani ndio kumekufanya ushindwe kujua sababu ya Mbezi Louis kujulikana zaidi sasa hivi kuliko Mbezi beach?

Au toka uje mjini haujawahi kufika wala kupasikia pote?
 
Enzi hizo Tangi Bovu lipo bado.

Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.

Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.

Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.

Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
How often do you go back?

Kusema ukweli siku hizi wala hakuna tofauti yoyote kwenye maeneo ya makazi watu!

Muonekano ni ule ule tu sehemu zote za jiji.

There are no expensive zip codes [for lack of better words] in Dar!
 
How often do you go back?

Kusema ukweli siku hizi wala hakuna tofauti yoyote kwenye maeneo ya makazi watu!

Muonekano ni ule ule tu sehemu zote za jiji.

There are no expensive zip codes [for lack of better words] in Dar!
Kweli.

Nimefika Oysterbay pale Karume na Haile Selassie nikakuta barabara zina mashimo kichizi. Mara Bakhressa kachukua sehemu ya Shule kwa Mchambawima kajenga nyumba pale.

OYsterbay vurugu tupu.

Mimi tangu mshua aanze kuwa anakuja US yearly nimekosa appetite kabisa ya kurudi hata likizo.

Nikisema miaka niliyopotea ni aibu.
 
Kwel Mbweni imejengwa sana, nasikia hadi namba 1 wa taifa ana mjengo wake wa ajabu huko Mbweni.
Pale kwny round about kma unaenda kwa mama kuna gorofa moja hivi ni amaizing. Yani yule mwamba amejenga kitu cha ndoto yake. Eneo dogo ila hyo gorofa ilivo simamaaaa.....mbezi beach wnajfungia na mageti kabisa ulinzi shirikshi mbka mchana huiingii kzembeee.....goba kuna ile half london sijui kwa mtume wa majii, ni balaaa mzee unaambiwa wte vjana hakuna mzee, hyo midude sasaaa
 
Ila mipango miji tu hawazingatia
Hapo unapopaona panaitwa goba Centre zamani palikuwa panaitwa muembe madole,na kulikuwa na usafiri wa landrover na ilikuwa moja inapiga route hadi tangi bovu
Watu huko zamani walikuwa wanauza maeneo mpaka 15,000 ,20000
Ila huko bado kuna kijiji fulani kimebakia cha asili watu hapo wakuda sana ,jina lake limentoka kdg

Ova
Asilimia kubwa maeneo ya dar kma huko wazawa wachache wamebakii....ila kina mangi mpewe maua yenu tu asanteni mno kututoa tongotongo ni hatari nyie watu

Ova
 
Back
Top Bottom