mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
The best president of the centuriesTo me he was the worst president in the history of this country
Halafu Wanzanzibari ndo wanauza mali asili zilizopo bara.. Hii ya Ngorongoro si aliuza Mwinyi hii..!! Tena huku Zanzibar ikijiunga na OICHuyu mmakunduuchi hadi amalize muda wake Nchi itakuwa imeuzwa kabisa.saiv wamesaini mkataba wa LNG usio na uwazi si kwa wannchi au wabunge.wananchi wa kusini tujiandae kufukuzwa kwenye Nchi yetu kama wa ngorongoro.Yeye haoni maumivu kwa kuwa yeye sio wa huku Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunaongelea rais wa JMT kuwa ni mama Samia.Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?
Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?
Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.
Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Sukuma gang mnapigika vibaya sana this time.Hana lolote
Kwani wewe ulishawahi kumkumbatia nyuki au ulishawahi kumpiga busu nyoka?Kipindi cha Jiwe,
Waarabu walikimbia kwa kasi ya 5G
Kwenye ukoo wenu wa warundiKwangu Magufuli was the Best President in the history of Tanzania
Sukuma gang naona mnazidi kuweweseka kila uchaoWahuni wameshashika hatamu. Hakuna kitakachosalimika. Walalahoi wajiandae tu kisaikilojia!
Kovidi tu wala msitafute mchawi nyinyi sukuma gangMzee wa watu huenda alifariki tu Kwa maradhi yake, lakini Kwa hizi satakasi zinazoendelea, unawezakujikuta unaamini tetesi kwamba kifo chale kina namna.
Swali gumu sana kwa huyo sukuma gangHata huyo marehemu wako hana lolote,kama unakiri kuwa mzozo huo upo tangu enzi za Mwinyi ikimaanisha hata wakati wake huyo mtu wako huo mzozo ulikuwepo jee yeye alifanya juhudi gani kuutatua? Wacha hizo
Kama taifa tulipatikanaTo me he was the worst president in the history of this country
Wewe ni mnyarwanda inakuuma nini hata nchi ikiuzwa?Huyu mmakunduuchi hadi amalize muda wake Nchi itakuwa imeuzwa kabisa.saiv wamesaini mkataba wa LNG usio na uwazi si kwa wannchi au wabunge.wananchi wa kusini tujiandae kufukuzwa kwenye Nchi yetu kama wa ngorongoro.Yeye haoni maumivu kwa kuwa yeye sio wa huku Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
To all sukuma gangThe best president of the centuries
No BrainierKwani wewe ulishawahi kumkumbatia nyuki au ulishawahi kumpiga busu nyoka?
Huna hadhi ya kujibishana na mimiSukuma gang mnapigika vibaya sana this time.
You are right sir!Kovidi tu wala msitafute mchawi nyinyi sukuma gang
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?
Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?
Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.
Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Sukuma gang naona mnazidi kuweweseka kila uchao
Mabomu mengi aliyo tega mwanakwendazake ndo yanamlipukia Mazaa, likiwepo hilo la Ngorongoro! Lakini, ukweli ni kwamba matatizo ya Ngorongoro yapo tangu zamani, kabla hata ya uhuru! Ukitumia huo mgogoro kumponda Mazaa, ni u-shortsightedness mindset tu!Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?
Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?
Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.
Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.