mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Huyu mmakunduchi hadi amalize muda wake Nchi itakuwa imeuzwa kabisa. Sasa hivi wamesaini mkataba wa LNG usio na uwazi si kwa wananchi au wabunge. Wananchi wa kusini tujiandae kufukuzwa kwenye Nchi yetu kama wa Ngorongoro. Yeye haoni maumivu kwa kuwa yeye sio wa huku Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app