Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Haya ndio baadhi ya matakataka ya Mzee Ruksa ambae kuna watu wanamuona wa maana sana!

Nimemsikia Lissu akisema Mwinyi aulizwe kuhusu jambo hili, maana yeye ndie aliyeanzisha kuwekwa mfukoni na Mwarabu kwa kuiuza Loliondo akiacha wananchi wakiteseka.

Huenda Mungu amemuweka hai ili aone mateso aliyoyaanzisha kwa wananchi wasio na hatia kwa uroho tu wa pesa za Mwarabu...ili akifika mbinguni nae aungue bila kulalamika, awe ashajua kosa lake.
 
Huyu mmakunduuchi hadi amalize muda wake Nchi itakuwa imeuzwa kabisa.saiv wamesaini mkataba wa LNG usio na uwazi si kwa wannchi au wabunge.wananchi wa kusini tujiandae kufukuzwa kwenye Nchi yetu kama wa ngorongoro.Yeye haoni maumivu kwa kuwa yeye sio wa huku Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Wanzanzibari ndo wanauza mali asili zilizopo bara.. Hii ya Ngorongoro si aliuza Mwinyi hii..!! Tena huku Zanzibar ikijiunga na OIC
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Hapa tunaongelea rais wa JMT kuwa ni mama Samia.

Kama unataka kuongelea Jpm huna nafasi hiyo maana tayari alishamaliza mwendo.

Ebu tutolee huo ujinga wako na ukabila uliokujaa kwenye damu wewe Mushuuti.
 
Huyu mmakunduuchi hadi amalize muda wake Nchi itakuwa imeuzwa kabisa.saiv wamesaini mkataba wa LNG usio na uwazi si kwa wannchi au wabunge.wananchi wa kusini tujiandae kufukuzwa kwenye Nchi yetu kama wa ngorongoro.Yeye haoni maumivu kwa kuwa yeye sio wa huku Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mnyarwanda inakuuma nini hata nchi ikiuzwa?
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.

Dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni kwa kisingizio kuwa ni wazalendo, mbona hawapingi kinachofanywa na serikali huko bungeni?
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Mabomu mengi aliyo tega mwanakwendazake ndo yanamlipukia Mazaa, likiwepo hilo la Ngorongoro! Lakini, ukweli ni kwamba matatizo ya Ngorongoro yapo tangu zamani, kabla hata ya uhuru! Ukitumia huo mgogoro kumponda Mazaa, ni u-shortsightedness mindset tu!
 
Back
Top Bottom