Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Na hapa Una la kusema?
 

Attachments

  • FB_IMG_1655038514381.jpg
    55.1 KB · Views: 4
Magufuli aliamuru Ben
Saanane auawe. Alitaka Lissu
auawe. Na bado kuna wengine
wengi waliuawa maeneo ya
Ikwiriri.
Taja watu watano tu(katika hao wengi) ambao unawajua wameuliwa na Magufuli? Au elezea uhusiano wa hao watu wengi na Magufuli na kisa cha kuwauwa.
 
Magufuli ni binadamu kama
wengine ana mazuri yake na mabaya yake ninachoshangaa
ni baadhi ya watu kukosoa kila
kinachofanywa na uongozi
uliopo madarakani kana
kwamba ni Magufuli pekee ndio
aliumbwa yeye pekee kuwa
Rais.
Ni kawaida hata kipindi cha Magufuli kuna watu walikuwa wankosoa kwa kila jambo na kuona kuwa ndio rais wa hovyo kuwahi kutokea Tz, hawakuwa wakiona zuri hata moja kwa Magufuli.
 
Nikutanijie wewe kama nani?
Ninachojua yeye yuko motoni sasa hivi
Sasa kama huwezi tu kutaja japo watu watano aliyowauwa tunawezaje kuamini kuwa kweli yupo motoni hali ya kuwa wewe hujawahi kwenda huko motoni wala huna ushikaji na Mungu? Tutajie watu watano kama kweli alikuwa anauwa watu wengi ili tukuamini kwamba Jiwe yupo motoni kutokana na dhambi ya mauwaji.
 
Kwa hiyo nikitaja tu ndiyo utaamini? Basi nikuambie kitu,mimi ndiye Baba yako halisi yule mwingine alipakaziwa tu.
 
Lakini wazungu wauaji.
 
Kwa hiyo nikitaja tu ndiyo
utaamini? Basi nikuambie kitu,mimi ndiye Baba yako halisi
yule mwingine alipakaziwa tu.
Najua huwezi kutaja hata watu watano tu aliyowauwa, imekuwa kama wimbo mliyoukariri tu kuwa ameuwa watu wengi ila hawatajwi hao watu na kuelezwa mahusiano ya hao watu na Magufuli na sababu za kuwauwa.

Muda wote mnaimba wimbo wa kuwa Magufuli alikuwa anauwa sana watu ila ajabu hata watu watano tu huwajui ambao amewauwa, nyie ndio mlituambia Magufuli alichanja chanjo ya corona ya China kisirisiri ila alivyokufa nyie tena mnasema kafa kwa corona kisa alidharau corona na hakuchanja.

Mimi nitajie watu watano tu waliyouliwa na Magu.
 
Wewe watu wote aliowachukua shetani unawajua??Acheni maswali ya kijinga jibu hoja kama Magufuri aliua au hakuua,mambo ya nitajie watu watano ukweli anaujua Magufuri mwenyewe pamoja na wapambe wake Makonda na Sabaya,
 
Kwanin JPM hakufuta mkataba wa Hawa jamaa??
 
Kuna jamaa kashusha madini hapa. Ni kizungumkuti kitupu huko Loliondo. Hao Ortello Business Corporation wamekata mpunga kwa CCM na Serikali.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…