Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni kwa kisingizio kuwa ni wazalendo, mbona hawapingi kinachofanywa na serikali huko bungeni?
Acha pumba zako. Alijaza kivipi? Aliwakodia basi liwapeleke Bungeni? Mbunge akiwa bungeni anatumia akili za mtu mwingine kutetea maslahi ya umma?
 
Mabomu mengi aliyo tega mwanakwendazake ndo yanamlipukia Mazaa, likiwepo hilo la Ngorongoro! Lakini, ukweli ni kwamba matatizo ya Ngorongoro yapo tangu zamani, kabla hata ya uhuru!
Acha kupotosha umma. Tumepata uhuru mwaka 1961 sakata la Ngorongoro limeanza mwaka 1993.
 
Acha pumba zako. Alijaza kivipi? Aliwakodia basi liwapeleke Bungeni? Mbunge akiwa bungeni anatumia akili za mtu mwingine kutetea maslahi ya umma?

Unadhani ukipanic ndio inaondoa ukweli kwa dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni, lengo ni ili wabadili katiba ili yeye aendelee kukaa madarakani zaidi ya 10yrs? Matokeo yake yeye yuko ahera madukani muda huu, kisha katuachia bunge kibogoyo ambalo haliwezi kuhoji uhuni wowote wa serikali. Kibaya zaidi mpaka mbunge wa jimbo husika yuko kimya, na hata yeye hajahama huko ngorongoro kwenda handeni ambako wananchi anaowakilisha wanatakiwa wahamie.
 
Kuwahamishia wamasai kwenye makazi ya 'mjini'ni kuwadhulumu haki yao! Wao wanahitaji uhuru wa kufanya mila na desturi zao. Wanahitaji kukimbia na kuruka hukohuko maporini. Kuwajengea nyumba na kuwalazimisha kuishi maisha ya kisasa ni uonevu.
Wataruhusiwa kwenda na mbawa zao, wakitaka kuruka wataruka tu.
 
Unadhani ukipanic ndio inaondoa ukweli kwa dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni, lengo ni ili wabadili katiba ili yeye aendelee kukaa madarakani zaidi ya 10yrs? Matokeo yake yeye yuko ahera madukani muda huu, kisha katuachia bunge kibogoyo ambalo haliwezi kuhoji uhuni wowote wa serikali. Kibaya zaidi mpaka mbunge wa jimbo husika yuko kimya, na hata yeye hajahama huko ngorongoro kwenda handeni ambako wananchi anaowakilisha wanatakiwa wahamie.
Unadhani ukipanic ndio inaondoa ukweli kwa dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni, lengo ni ili wabadili katiba ili yeye aendelee kukaa madarakani zaidi ya 10yrs? Matokeo yake yeye yuko ahera madukani muda huu, kisha katuachia bunge kibogoyo ambalo haliwezi kuhoji uhuni wowote wa serikali. Kibaya zaidi mpaka mbunge wa jimbo husika yuko kimya, na hata yeye hajahama huko ngorongoro kwenda handeni ambako wananchi anaowakilisha wanatakiwa wahamie.
Hilo la kubadili katiba unapotosha, mzalendo namba moja hakuwahi kuwazia hilo. Wabunge walichaguliwa na wananchi. Wao wanatakiwa wawe na meno kwa maslahi ya taifa. Usimsingimzie mzalendo namba moja. Sasa hivi mnauzwa kama nguruwe.
 
Haya ndio baadhi ya matakataka ya Mzee Ruksa ambae kuna watu wanamuona wa maana sana!

Nimemsikia Lissu akisema Mwinyi aulizwe kuhusu jambo hili, maana yeye ndie aliyeanzisha kuwekwa mfukoni na Mwarabu kwa kuiuza Loliondo akiacha wananchi wakiteseka.

Huenda Mungu amemuweka hai ili aone mateso aliyoyaanzisha kwa wananchi wasio na hatia kwa uroho tu wa pesa za Mwarabu...ili akifika mbinguni nae aungue bila kulalamika, awe ashajua kosa lake.
Kwenye kitabu chake kwani hakugusia habari ya Loliondo?
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
JPM was for the people, aliweka maslahi ya watanzania Kwanza.
 
Hii awamu ya sita imeshindwa kabisa kuiondoa sifa ya "wapiga dili" waliyoanza nayo.

Na jamaa wanafiki wa ACT Wazalendo wote wapo kimya kuhusu hili suala, hakuna yeyote kati yao anayefungua mdomo.

Yule Fatma Karume na ile mihemko yake ya udini nae kimya, kapotea, naamini huko alikojificha ameshapata majibu ya nani mdini kati yake na wale aliokuwa anawasema.
Hata ww ukisema inatosha hakuna haja ya hao uliowataja
 
Haya ndio baadhi ya matakataka ya Mzee Ruksa ambae kuna watu wanamuona wa maana sana!

Nimemsikia Lissu akisema Mwinyi aulizwe kuhusu jambo hili, maana yeye ndie aliyeanzisha kuwekwa mfukoni na Mwarabu kwa kuiuza Loliondo akiacha wananchi wakiteseka.

Huenda Mungu amemuweka hai ili aone mateso aliyoyaanzisha kwa wananchi wasio na hatia kwa uroho tu wa pesa za Mwarabu...ili akifika mbinguni nae aungue bila kulalamika, awe ashajua kosa lake.
Sasa unafikiri huyo mzee ruksa anajali

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hata huyo marehemu wako hana lolote,kama unakiri kuwa mzozo huo upo tangu enzi za Mwinyi ikimaanisha hata wakati wake huyo mtu wako huo mzozo ulikuwepo jee yeye alifanya juhudi gani kuutatua? Wacha hizo
Uliusikia? Au unaibuliwa pale wanapokaa walamba asali? Mlishasema kila awamu na maamzi yake, wakati wa JPM waliotaka eneo walikaa kimya we ulitaka awafuate hukohuko? Wakati wa vasco da gama wameona warudi kwa kasi maana wanaona ni fursa kubwa kupata kupitia walegevu hawa.
 
Sukuma gang mnapigika vibaya sana this time.
Kwa hiyo wamasai wanaopigaka nao ni sukuma gang? Huna hoja kaa pembeni na kauli za sukuma gang hapa. Vasco da gama atashuhudia mengi we subiri ujionee tu, kuna wakati atarudi kwa wananchi kuwaomba na hutoamini kuwa hata dola zinashindwa mbele ya wananchi waliochoka na uonevu kama wanaofanyiwa wamasai.
 
Back
Top Bottom