Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Haya ndio baadhi ya matakataka ya Mzee Ruksa ambae kuna watu wanamuona wa maana sana!

Nimemsikia Lissu akisema Mwinyi aulizwe kuhusu jambo hili, maana yeye ndie aliyeanzisha kuwekwa mfukoni na Mwarabu kwa kuiuza Loliondo akiacha wananchi wakiteseka.

Huenda Mungu amemuweka hai ili aone mateso aliyoyaanzisha kwa wananchi wasio na hatia kwa uroho tu wa pesa za Mwarabu...ili akifika mbinguni nae aungue bila kulalamika, awe ashajua kosa lake.

Lissu mwenyewe anapojea posho kutoka kwa wamarekani wenye kitalu cha uwindaji Ngorongoro, na alishikishwa na hao wamarekani na radioing YAKE na ndugu the NYALANDU
 
Hakuna atakayekufuza kwenye nchi yako. Tatizo la mawazo kama haya siku zote hayana ushawishi mbele ya watumakini kwani hayajitoshelezi.

Nani akufukuze ndani ya nchi yako mwenyewe?. Ataanzia wapi kufanya hivyo na wewe na viongozi wako mpo wapi mpaka mnafukuzwa au kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yenu wenyewe?.

Maendeleo siku zote ni ujanja na utafutaji, ukikaa tu na utajiri wako utadumu na umasikini wako lazima ufanye movements za kueleweka ili angalau uweze kufaidika na hicho ulichopewa na Mungu.

Kama huna maendeleo ya kisayansi na huonyeshi juhudi ya kuyapata basi utakufa na umasikini wako, hakuna wa kuja kukuinua.

Kwamba kila anayekuja kutaka kuwekeza unamuita mwizi, huyo mwekezaji atakwenda nchi nyingine na kukuacha na ulofa wako.
Kwa nini wa masai wamefukuzwa na wapo ndani ya Nchi yao ?.Hii takataka ya LNG iwekwe wazi ili watu wajue kama inafaida kwetu na kama haina faida ifutwe kabisa .

Tumeona miradi mingi imekuwa ikichangia umaskini sana kwa kuwa huwa ni hasara kwa taifa kutokana na kukosa viongozi makini ambao hawasimamii rasilimali kama wa awamu ya sasa.mfano Gesi ya mtwara mnufaika ni beberu,dhahabu buzwagi,geita na kwingineko tumeachiwa mashimo tu beberu kachukua chake mapema na mingine mingi tu.Ni bora rasilimali isivunwe kuliko kusumbua watu kuwahamisha maeneo yao ya asili waiyozoea huku rasilimali ikinufaisha wawekezaji uchwara tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu ni kama
wanamuabudu Magufuli ndio
maana wanamsifu kwa kila kitu
kwao wao wanamuona
alikuwa mtakatifu hivyo yote
aliyoyafanya ni mazuri tu,
inashangaza sana.
Unashangaa wanaomuabudu Magufuli wakati kuna wengine wamekifanya miungu kabisa wao wanamuhukumu huyo Magufuli, wanamwita shetani hana jema hata moja na washamuhukumu motoni.
 
[emoji1787][emoji1787]
Umeandika kwa uchungu sana.
Haya ndio baadhi ya matakataka ya Mzee Ruksa ambae kuna watu wanamuona wa maana sana!

Nimemsikia Lissu akisema Mwinyi aulizwe kuhusu jambo hili, maana yeye ndie aliyeanzisha kuwekwa mfukoni na Mwarabu kwa kuiuza Loliondo akiacha wananchi wakiteseka.

Huenda Mungu amemuweka hai ili aone mateso aliyoyaanzisha kwa wananchi wasio na hatia kwa uroho tu wa pesa za Mwarabu...ili akifika mbinguni nae aungue bila kulalamika, awe ashajua kosa lake.
 
Kwa hiyo wamasai wanaopigaka nao ni sukuma gang? Huna hoja kaa pembeni na kauli za sukuma gang hapa. Vasco da gama atashuhudia mengi we subiri ujionee tu, kuna wakati atarudi kwa wananchi kuwaomba na hutoamini kuwa hata dola zinashindwa mbele ya wananchi waliochoka na uonevu kama wanaofanyiwa wamasai.
SUKUMA GANG MNA HASIRA VIBAYA SANA DADEEEKIIIIIII
 
Dhalimu alijaza wabunge wa CCM bungeni kwa kisingizio kuwa ni wazalendo, mbona hawapingi kinachofanywa na serikali huko bungeni?
Ndiyo maana watu walioona mbali walimdharau sana Magufuli kwa kitendo cha kuteua wabunge badala ya kuachia wananchi wachague. Unalazimisha sijui anayejiita babu Tale awe mbunge kwa manufaa au kumkomoa nani? Matokeo yake ndiyo haya.
 
JPM was for the people, aliweka maslahi ya watanzania Kwanza.
Magufuli alikuwa anajali wananchi wa kawaida. Ila tatizo ni kuwa upeo wake wa kuona mambo ulikuwa finyu sana. Kiufupi hakuwa na upeo wa kuweza kuongoza nchi halafu alikuwa mbishi, asiyependa kukosolewa na alipenda kutumia nguvu na hata kuua.
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Kumbuka Pombe ni marehemu. Haisaidii chochote. Marehemu ni marehemu tu!
 
Unashangaa wanaomuabudu Magufuli wakati kuna wengine wamekifanya miungu kabisa wao wanamuhukumu huyo Magufuli, wanamwita shetani hana jema hata moja na washamuhukumu motoni.
Magufuli ni binadamu kama wengine ana mazuri yake na mabaya yake ninachoshangaa ni baadhi ya watu kukosoa kila kinachofanywa na uongozi uliopo madarakani kana kwamba ni Magufuli pekee ndio aliumbwa yeye pekee kuwa Rais.
 
Magufuli alikuwa anajali wananchi wa kawaida. Ila tatizo ni kuwa upeo wake wa kuona mambo ulikuwa finyu sana. Kiufupi hakuwa na upeo wa kuweza kuongoza nchi halafu alikuwa mbishi, asiyependa kukosolewa na alipenda kutumia nguvu na hata kuua.
Alitekeleza maono ya baba wa Taifa na kuwazidi wenzie unaowadhania wana maono makubwa
 
Hakuna atakayekufuza kwenye nchi yako. Tatizo la mawazo kama haya siku zote hayana ushawishi mbele ya watumakini kwani hayajitoshelezi.

Nani akufukuze ndani ya nchi yako mwenyewe?. Ataanzia wapi kufanya hivyo na wewe na viongozi wako mpo wapi mpaka mnafukuzwa au kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yenu wenyewe?.

Maendeleo siku zote ni ujanja na utafutaji, ukikaa tu na utajiri wako utadumu na umasikini wako lazima ufanye movements za kueleweka ili angalau uweze kufaidika na hicho ulichopewa na Mungu.

Kama huna maendeleo ya kisayansi na huonyeshi juhudi ya kuyapata basi utakufa na umasikini wako, hakuna wa kuja kukuinua.

Kwamba kila anayekuja kutaka kuwekeza unamuita mwizi, huyo mwekezaji atakwenda nchi nyingine na kukuacha na ulofa wako.
Ni ujinga kudhani nchi inaendelezwa na wawekezaji. Wavivu na wazembe ndiyo hudhani kualika wageni kwa wingi ndiyo kuendeleza nchi.
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo.

Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.
 
Magufuli alikuwa anajali wananchi wa kawaida. Ila tatizo ni kuwa upeo wake wa kuona mambo ulikuwa finyu sana. Kiufupi hakuwa na upeo wa kuweza kuongoza nchi halafu alikuwa mbishi, asiyependa kukosolewa na alipenda kutumia nguvu na hata kuua.
macho_mdiliko unaongea kwa chuki au unaleta ushabiki? Wewe ni mmoja ya wanaJF makini tumia akili zako vizuri.

Kwa reforms alizofanya kwa muda mfupi, alafu unasema hakuwa na uwezo wa kuongoza?
 
Back
Top Bottom