Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Hata huyo marehemu wako hana lolote,kama unakiri kuwa mzozo huo upo tangu enzi za Mwinyi ikimaanisha hata wakati wake huyo mtu wako huo mzozo ulikuwepo jee yeye alifanya juhudi gani kuutatua? Wacha hizo
Ukisikia waarabu wanawinda au wanapiga wamasai? Fuatilia tume ya Pm 2017 ilikuja na jibu gani.
Legacy ya jpm haifutwi kwa kwa kuzuia ....

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Mzee wa Msoga analijua pasi na anawasilisha jopo!!
 
Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?

Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?

Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Huna jema kamfufue uzikwe wewe. Wale aliowaua na kuwapoteza siyo watu unakera
 
Hakuwa kunguru muoga alikuwa tayari kupambania nchi yake na kupambania wanyonge dhidi ya madhalimu. Hakuogopa kifo hakika ni shujaa
Mbona nyie wanyonge hamkusaidia? Amevuna alichopanda..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-204936.png
    Screenshot_20220524-204936.png
    109.3 KB · Views: 4
Hakuwa kunguru muoga alikuwa tayari kupambania nchi yake na kupambania wanyonge dhidi ya madhalimu. Hakuogopa kifo hakika alikuwa ni
mtu madhubuti tena shujaa.
Aliwakuta kina ben Sanane hakuwa shujaa yule labda wa kupora watu mali zao
 
Back
Top Bottom