Kwanini mitume na manabii huishiwa upako baada ya muda? Je, hizi pako zao ni za kweli au za mchongo?

Kwanini mitume na manabii huishiwa upako baada ya muda? Je, hizi pako zao ni za kweli au za mchongo?

Mganga wao yule TB Joshua hayupo hawana tena pa kukimbilia. Mwamposa soon atakuwa chali ndio maana unaona anataka kufungua hospital na Zahanati anajua fika Maji na mAfuta ni wizi.
Ndio maana nimeuliza hili jambo kwa kutoa mifano halisi. Hivi inakuwaje hawa manabii wanapoteza nguvu zao za upako baada ya muda? Ni wapi wanapokosea?
 
Ukiona hivyo ni lazima ujiulize ''utume'' na ''unabii'' wao ulitoka wapi. Kama ulitoka kwa mwanadamu utapita lakini kama ulitoka kwa Roho Mtakatifu utadumu milele
Hili neno mkuu. Nimekupata vema.
 
Karibu sana mkuu; nakusubiri.
Nimerejea kwa kuchelewa
Watu wanapobarikiwa upako, karama ama kipawa kidogo na tunu mbalimbali za kiroho hujisahau na kujiona wamefika na kunguka dhambini wakiongozwa na tamaa za kidunia na vitu viharibikavyo na kujikuta kile kidogo walichotunukiwa huishiwa nguvu na kufa

Kubarikiwa upako nk ni jambo la kwanza lakini kuulea ukue na kumea matunda ya kiroho yenye matokeo ya kimwili ni jambo lngine

Watu si wavumilivu kulea
Vipawa vyao
Upako wao
Karama zao
Tunu za kiroho nk

Kuinuliwa kidogo tu ndani ya kanisa mtu hujiona ni mkamifu kuliko wengine na kukimbilia kuanzisha huduma binafsi.. Na huko kwenye huduma binafsi badala ya kujiendeleza kiroho hujisahau na kufanya mengine ya kidunia
 
Jambo wadau?

Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha na maneno mengi. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia upako wa manabii na mitume jinsi wanavyoanza huduma zao kwa pako za hali ya juu sana lakini baada ya muda zile pako huanza kufifia taratibu na kuisha kabisa. Nabaki najiuliza maswali kadhaa yasiyokuwa na majibu:
  1. Kwanini pako za hawa manabii zinapanda na kushuka ghafla kiasi hiki?
  2. Je, hizi pako ni za kweli au ni za mchongo?
  3. Kama ni za kweli kwanini zinaisha na kama ni za mchongo kwanini zikiisha wasirudi tena kuchukua nyingine kule wanakozitoa?
Yaani najiuliza maswali mengi bila majibu. Ndipo nikaamua kuanzisha huu uzi kwa kuwa humu JF kuna wabobevu wa masuala ya theology akina Mshana Jr wanaweza kutusaidia kujibu baadhi ya maswali haya.

Hebu jaribu kufikiria nguvu za upako alizokuwa nazo Askofu Kakobe enzi zile anafungua kanisa lake la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) halafu ulinganishe na hali aliyo nayo sasa hivi utagundua kuna kitu hakiko sawa. Si huyu tu bali walikuwepo Mitume na Manabii wengi hapa nchini wakiwemo Mzee wa Upako, Mch Antony Lusekelo ukiangalia jinsi alivyokuwa akikusanya mtiti na mabasi yake kila kona ya nchi halafu leo ukienda kule kanisani kwake unakuta mabasi yote yamepaki unabaki unashangaa. Hapa lazima kuna tatizo sio bure.

Ukitoka kwa hawa wawili njoo kwa Mtume Mwingira na Mtume Gwajima ujiulize zile nguvu walizokuwa nazo zamani zilipotelea wapi hadi sasa wamebaki na waumini wa kuungaunga. Tatizo ni nini hasa?

Manabii na mitume waliovuma siku za nyuma na kupotea kimuujiza ni wengi lakini nimetoa mifano ya hawa wachache kama msingi wa kujenga hoja yangu. Sasa hivi Mtume Mwamposa ndiye yupo juu lakini naye atakuja kuporomoka baada ya muda mfupi.

Njooni wajuzi wote tujadiliane hili jambo mpaka tupate jawabu la pamoja.

Nawasilisha.
Kwa nini wewe usiende kuwauliza wenyewe mkuu, wao waijua siri.
 
Nimerejea kwa kuchelewa
Watu wanapobarikiwa upako, karama ama kipawa kidogo na tunu mbalimbali za kiroho hujisahau na kujiona wamefika na kunguka dhambini wakiongozwa na tamaa za kidunia na vitu viharibikavyo na kujikuta kile kidogo walichotunukiwa huishiwa nguvu na kufa

Kubarikiwa upako nk ni jambo la kwanza lakini kuulea ukue na kumea matunda ya kiroho yenye matokeo ya kimwili ni jambo lngine

Watu si wavumilivu kulea
Vipawa vyao
Upako wao
Karama zao
Tunu za kiroho nk

Kuinuliwa kidogo tu ndani ya kanisa mtu hujiona ni mkamifu kuliko wengine na kukimbilia kuanzisha huduma binafsi.. Na huko kwenye huduma binafsi badala ya kujiendeleza kiroho hujisahau na kufanya mengine ya kidunia
Asante kwa hizi inputs mkuu Mshana Jr ; umenena vyema na kiroho zaidi. Barikiwa.
 
Jambo wadau?

Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha na maneno mengi. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia upako wa manabii na mitume jinsi wanavyoanza huduma zao kwa pako za hali ya juu sana lakini baada ya muda zile pako huanza kufifia taratibu na kuisha kabisa. Nabaki najiuliza maswali kadhaa yasiyokuwa na majibu:
  1. Kwanini pako za hawa manabii zinapanda na kushuka ghafla kiasi hiki?
  2. Je, hizi pako ni za kweli au ni za mchongo?
  3. Kama ni za kweli kwanini zinaisha na kama ni za mchongo kwanini zikiisha wasirudi tena kuchukua nyingine kule wanakozitoa?
Yaani najiuliza maswali mengi bila majibu. Ndipo nikaamua kuanzisha huu uzi kwa kuwa humu JF kuna wabobevu wa masuala ya theology akina Mshana Jr wanaweza kutusaidia kujibu baadhi ya maswali haya.

Hebu jaribu kufikiria nguvu za upako alizokuwa nazo Askofu Kakobe enzi zile anafungua kanisa lake la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) halafu ulinganishe na hali aliyo nayo sasa hivi utagundua kuna kitu hakiko sawa. Si huyu tu bali walikuwepo Mitume na Manabii wengi hapa nchini wakiwemo Mzee wa Upako, Mch Antony Lusekelo ukiangalia jinsi alivyokuwa akikusanya mtiti na mabasi yake kila kona ya nchi halafu leo ukienda kule kanisani kwake unakuta mabasi yote yamepaki unabaki unashangaa. Hapa lazima kuna tatizo sio bure.

Ukitoka kwa hawa wawili njoo kwa Mtume Mwingira na Mtume Gwajima ujiulize zile nguvu walizokuwa nazo zamani zilipotelea wapi hadi sasa wamebaki na waumini wa kuungaunga. Tatizo ni nini hasa?

Manabii na mitume waliovuma siku za nyuma na kupotea kimuujiza ni wengi lakini nimetoa mifano ya hawa wachache kama msingi wa kujenga hoja yangu. Sasa hivi Mtume Mwamposa ndiye yupo juu lakini naye atakuja kuporomoka baada ya muda mfupi.

Njooni wajuzi wote tujadiliane hili jambo mpaka tupate jawabu la pamoja.

Nawasilisha.
Kwa maoni yangu naona Kila kitu au kila kiumbe kinaendeshwa na muda na kamwe hatuwezi kupingana na muda.

Sio kwa manabii na mitume tu hata mashekh, wanasiasa, wanamichezo even wafanyakazi wa kawaida pia wanamuda wakistaaf imeisha hiyo.

Ingawa kukaa sana kwenye masikio ya watu inategemea na nidhamu ya muhusika mfano huyu mwamposa ananidham sana na wito wake na atakaa muda kabla ya kuchuja.

Itoshe kusema kila jambo na wati wake.
 
Back
Top Bottom