Nimerejea kwa kuchelewa
Watu wanapobarikiwa upako, karama ama kipawa kidogo na tunu mbalimbali za kiroho hujisahau na kujiona wamefika na kunguka dhambini wakiongozwa na tamaa za kidunia na vitu viharibikavyo na kujikuta kile kidogo walichotunukiwa huishiwa nguvu na kufa
Kubarikiwa upako nk ni jambo la kwanza lakini kuulea ukue na kumea matunda ya kiroho yenye matokeo ya kimwili ni jambo lngine
Watu si wavumilivu kulea
Vipawa vyao
Upako wao
Karama zao
Tunu za kiroho nk
Kuinuliwa kidogo tu ndani ya kanisa mtu hujiona ni mkamifu kuliko wengine na kukimbilia kuanzisha huduma binafsi.. Na huko kwenye huduma binafsi badala ya kujiendeleza kiroho hujisahau na kufanya mengine ya kidunia