Kwanini mitume na manabii huishiwa upako baada ya muda? Je, hizi pako zao ni za kweli au za mchongo?

Kwanini mitume na manabii huishiwa upako baada ya muda? Je, hizi pako zao ni za kweli au za mchongo?

Kuna kitu wanakoseA
Sisi binaadamu tuna kawaida ya kusahau pale unapokuwa na shida utamlilia sana mungu wako
Pale Unapofanikiwa utajihalalishia kila kilicho kuwa marufuku dhidi ya Imani yako
Picha za ngono zitapata nafasi kwa simu yako
UtaanzA kula kondoo wako kama si kutamani
Akili yako itakutuma kuongea kipato ili kisishuke na UtaanzA kuwa muongo
Na vingine vingi bila kusahau ulevi
Utafanya kwa siri lakin ukumbuke mungu adanganywi utawadanganya Binaadamu wenzako tu
Na hapo ndipo uanguka kwa kuwa ushamkosea mungu wako
 
Nliendaga Tanga kanisani kwake na mgonjwa wangu pale tukataka kuelezea shida yetu tukaambiwa tutoe laki kadhaa , duh hatukuwa nazo ikabidi tuwe wapole.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Upo sahihi.

Nampata vizuri michezo yake. Kipindi yupo Tanga kijiwe changa cha kusaka pesa kilikua hapo hapo Mkwakwani Round about.

Kuna mengi sana yamejificha nyuma ya Hawa self-claimed mitume/manabii
 
Mimi nahisi wanapokuwa juu na kupata pesa nyingi,wanaanza kufuru na kuishi maisha ya anasa na uzinzi na vitu kama hivyo, ambavyo ni kinyume na mapenzi ya Mungu,kwahiyo hujikuta ile nguvu ya upako waliokuwa nayo inashuka na hatimaye wanapotea kabisa katika ramani...
 
Mitume na Manabii kazi yao haina kusitaafu wala kupumzika ni jukumu la milele mpaka Bwana atakapochukua Roho yake. Wote hao uliowataja nguvu zao za kiroho wamezitoa kwa yule mkuu wa kuzimu yule Joka mkuu audanganyaye ulimwengu. Kwa vile mikataba ya yule Joka mkuu ni ya muda/kipindi fulani ndiyo maana wanachuja lengo ile nguvu apewe mwingine katika mazingira mengine ili kumkomoa Bwana muumba kwa kuangamiza waja wake.

Chochote kitokacho kwa Joka mkuu hakiwezi kudumu milele iwe utajiri, umaarufu, uponyaji, unabii hata umaskini maana asili ya ile nguvu siyo ya milele, aliye wa milele ni Bwana muumba, chochote akitoacho yeye kitadumu maisha yako yote. Ndiyo maana utaona manabii na mitume wote wa Bwana, Upako wao ulikoma pale walipotwaliwa hakuna aliyepoteza mvuto akiwa bado yuko hai, hata wafalme waliopata Ukuu kwa jina la Bwana ukuu wao ulidumu maisha yao yote hata wale waliomkosea Bwana kama Sauli na Daudi hakuwaondolea ufalme wao wakiwa hai bali alisubili watwaliwe ndo baraka zake zikome.
 
Ndio maana nimeuliza hili jambo kwa kutoa mifano halisi. Hivi inakuwaje hawa manabii wanapoteza nguvu zao za upako baada ya muda? Ni wapi wanapokosea?
wanapoteza upako kutokana na majivuno,uroho wa pesa,zinaa kwa kondoo wao,na kujiinua kama wao ndo kila ki2 badala ya MUNGU,na hii inatokea hasa wanapopata waumini wengi na huduma kuimarika!
 
Nabii Eliya aliishiwa upako hadi akamwomba Mungu ni bora amuue tu, Mungu alitaka kushusha upako wa Musa baada ya Israeli kuzingua, Musa akamwambia 'usitutoe hapa uso wako usipokwenda nasi' Mfalme Sauli na Daudi walikuwa wanashindwa vita upako wao ulipokuwa unapungua............kwa hiyo mifano ipo mingi.
 
Nabii Eliya aliishiwa upako hadi akamwomba Mungu ni bora amuue tu, Mungu alitaka kushusha upako wa Musa baada ya Israeli kuzingua, Musa akamwambia 'usitutoe hapa uso wako usipokwenda nasi' Mfalme Sauli na Daudi walikuwa wanashindwa vita upako wao ulipokuwa unapungua............kwa hiyo mifano ipo mingi.
Wacha weeh.
 
Mimi nahisi wanapokuwa juu na kupata pesa nyingi,wanaanza kufuru na kuishi maisha ya anasa na uzinzi na vitu kama hivyo, ambvyo ni kinyume na mapenzi ya Mungu,kwahiyo hujikuta ile nguvu ya upako waliokuwa nayo inashuka na hatimaye wanapotea kabisa katika ramani...
Nakuunga mkono
 
Mitume na Manabii kazi yao haina kusitaafu wala kupumzika ni jukumu la milele mpaka Bwana atakapochukua Roho yake. Wote hao uliowataja nguvu zao za kiroho wamezitoa kwa yule mkuu wa kuzimu yule Joka mkuu audanganyaye ulimwengu. Kwa vile mikataba ya yule Joka mkuu ni ya muda/kipindi fulani ndiyo maana wanachuja lengo ile nguvu apewe mwingine katika mazingira mengine ili kumkomoa Bwana muumba kwa kuangamiza waja wake.

Chochote kitokacho kwa Joka mkuu hakiwezi kudumu milele iwe utajiri, umaarufu, uponyaji, unabii hata umaskini maana asili ya ile nguvu siyo ya milele, aliye wa milele ni Bwana muumba, chochote akitoacho yeye kitadumu maisha yako yote. Ndiyo maana utaona manabii na mitume wote wa Bwana, Upako wao ulikoma pale walipotwaliwa hakuna aliyepoteza mvuto akiwa bado yuko hai, hata wafalme waliopata Ukuu kwa jina la Bwana ukuu wao ulidumu maisha yao yote hata wale waliomkosea Bwana kama Sauli na Daudi hakuwaondolea ufalme wao wakiwa hai bali alisubili watwaliwe ndo baraka zake zikome.
Nimekupata vizuri mkuu. Kwa hiyo kumbe hawa akina Mwamposa uwepo wa upako wao ni wa muda tu? Mimi nashangaa sana mtu kupaa na kushuka kiupako hadi upako unakwisha kabisa mtu anakuwa chali kama Mzee wa Upako alivyoshuhudiwa amelewa chakali akimtukana jirani yake na kupelekea waumini wake wote kumkimbia kanisa lake limebaki tupu wanakaa popo na mijusi.
 
Mkuu, ukiona huduma ya Kanisa inasimama zaidi ya miaka 10 ujue hiyo Huduma ni really!

Huyo Nabii fake Frank alikua ni Taperi kabisa 200% alitaka kumtaperi Dada mmoja ambaye namjua alipokuja Singida!!!
Yuko Morogoro anamiliki Shiloh International Ministries na ana Radio inaitwa Shiloh FM inapatikana Morogoro ...
 
Gwajima sio mtume, na bado yupoyupo sana, Mwingira anamiliki shekeli za kutosha, makanisa kila Kona, benki, mashamba, kimsingi ana mihela, Kakobe serikali ilimtapeli mabilioni yake halafu wakampelekea mamluki wampindue!!! wa upako umesema magari yamesimama yote duh, hii sijui
Waupako pombe ilimzidi nguvu. Wengine pia wadada wanawazidi nguvu
 
Kakobe alikua anaombea vilema wanapona lakin siyo vilema unao waona mtaani vilema wote huwa ni wageni wanakuja nae
 
Kakobe alikua anaombea vilema wanapona lakin siyo vilema unao waona mtaani vilema wote huwa ni wageni wanakuja nae
Du! Huyu alikuwa balaa aisee! Kumbe vilema wote walikuwa wa mchongo? 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom