Ndio maana nimeuliza hili jambo kwa kutoa mifano halisi. Hivi inakuwaje hawa manabii wanapoteza nguvu zao za upako baada ya muda? Ni wapi wanapokosea?Mganga wao yule TB Joshua hayupo hawana tena pa kukimbilia. Mwamposa soon atakuwa chali ndio maana unaona anataka kufungua hospital na Zahanati anajua fika Maji na mAfuta ni wizi.
Tena siasa zenyewe za wizi🤣🤣Tangu alipoanza kuchanganya siasa na dini heshima yake ya kiroho ilishuka kwa 99%
Nimerejea kwa kuchelewaKaribu sana mkuu; nakusubiri.
Kwa nini wewe usiende kuwauliza wenyewe mkuu, wao waijua siri.Jambo wadau?
Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha na maneno mengi. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia upako wa manabii na mitume jinsi wanavyoanza huduma zao kwa pako za hali ya juu sana lakini baada ya muda zile pako huanza kufifia taratibu na kuisha kabisa. Nabaki najiuliza maswali kadhaa yasiyokuwa na majibu:
Kwanini pako za hawa manabii zinapanda na kushuka ghafla kiasi hiki? Je, hizi pako ni za kweli au ni za mchongo? Kama ni za kweli kwanini zinaisha na kama ni za mchongo kwanini zikiisha wasirudi tena kuchukua nyingine kule wanakozitoa?Yaani najiuliza maswali mengi bila majibu. Ndipo nikaamua kuanzisha huu uzi kwa kuwa humu JF kuna wabobevu wa masuala ya theology akina Mshana Jr wanaweza kutusaidia kujibu baadhi ya maswali haya.
Hebu jaribu kufikiria nguvu za upako alizokuwa nazo Askofu Kakobe enzi zile anafungua kanisa lake la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) halafu ulinganishe na hali aliyo nayo sasa hivi utagundua kuna kitu hakiko sawa. Si huyu tu bali walikuwepo Mitume na Manabii wengi hapa nchini wakiwemo Mzee wa Upako, Mch Antony Lusekelo ukiangalia jinsi alivyokuwa akikusanya mtiti na mabasi yake kila kona ya nchi halafu leo ukienda kule kanisani kwake unakuta mabasi yote yamepaki unabaki unashangaa. Hapa lazima kuna tatizo sio bure.
Ukitoka kwa hawa wawili njoo kwa Mtume Mwingira na Mtume Gwajima ujiulize zile nguvu walizokuwa nazo zamani zilipotelea wapi hadi sasa wamebaki na waumini wa kuungaunga. Tatizo ni nini hasa?
Manabii na mitume waliovuma siku za nyuma na kupotea kimuujiza ni wengi lakini nimetoa mifano ya hawa wachache kama msingi wa kujenga hoja yangu. Sasa hivi Mtume Mwamposa ndiye yupo juu lakini naye atakuja kuporomoka baada ya muda mfupi.
Njooni wajuzi wote tujadiliane hili jambo mpaka tupate jawabu la pamoja.
Nawasilisha.
Asante kwa hizi inputs mkuu Mshana Jr ; umenena vyema na kiroho zaidi. Barikiwa.Nimerejea kwa kuchelewa
Watu wanapobarikiwa upako, karama ama kipawa kidogo na tunu mbalimbali za kiroho hujisahau na kujiona wamefika na kunguka dhambini wakiongozwa na tamaa za kidunia na vitu viharibikavyo na kujikuta kile kidogo walichotunukiwa huishiwa nguvu na kufa
Kubarikiwa upako nk ni jambo la kwanza lakini kuulea ukue na kumea matunda ya kiroho yenye matokeo ya kimwili ni jambo lngine
Watu si wavumilivu kulea
Vipawa vyao
Upako wao
Karama zao
Tunu za kiroho nk
Kuinuliwa kidogo tu ndani ya kanisa mtu hujiona ni mkamifu kuliko wengine na kukimbilia kuanzisha huduma binafsi.. Na huko kwenye huduma binafsi badala ya kujiendeleza kiroho hujisahau na kufanya mengine ya kidunia
Huyo tapeli tu hakuna kitu pale.Frank kilawah simuoni..sijui kapotelea wapi..alikua anabalaaa zito
Aliyetaka Kufufua Wafu Nchi Ina WajingaSijamsikia Gwajima muda
Kwa maoni yangu naona Kila kitu au kila kiumbe kinaendeshwa na muda na kamwe hatuwezi kupingana na muda.Jambo wadau?
Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha na maneno mengi. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia upako wa manabii na mitume jinsi wanavyoanza huduma zao kwa pako za hali ya juu sana lakini baada ya muda zile pako huanza kufifia taratibu na kuisha kabisa. Nabaki najiuliza maswali kadhaa yasiyokuwa na majibu:
Kwanini pako za hawa manabii zinapanda na kushuka ghafla kiasi hiki? Je, hizi pako ni za kweli au ni za mchongo? Kama ni za kweli kwanini zinaisha na kama ni za mchongo kwanini zikiisha wasirudi tena kuchukua nyingine kule wanakozitoa?Yaani najiuliza maswali mengi bila majibu. Ndipo nikaamua kuanzisha huu uzi kwa kuwa humu JF kuna wabobevu wa masuala ya theology akina Mshana Jr wanaweza kutusaidia kujibu baadhi ya maswali haya.
Hebu jaribu kufikiria nguvu za upako alizokuwa nazo Askofu Kakobe enzi zile anafungua kanisa lake la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) halafu ulinganishe na hali aliyo nayo sasa hivi utagundua kuna kitu hakiko sawa. Si huyu tu bali walikuwepo Mitume na Manabii wengi hapa nchini wakiwemo Mzee wa Upako, Mch Antony Lusekelo ukiangalia jinsi alivyokuwa akikusanya mtiti na mabasi yake kila kona ya nchi halafu leo ukienda kule kanisani kwake unakuta mabasi yote yamepaki unabaki unashangaa. Hapa lazima kuna tatizo sio bure.
Ukitoka kwa hawa wawili njoo kwa Mtume Mwingira na Mtume Gwajima ujiulize zile nguvu walizokuwa nazo zamani zilipotelea wapi hadi sasa wamebaki na waumini wa kuungaunga. Tatizo ni nini hasa?
Manabii na mitume waliovuma siku za nyuma na kupotea kimuujiza ni wengi lakini nimetoa mifano ya hawa wachache kama msingi wa kujenga hoja yangu. Sasa hivi Mtume Mwamposa ndiye yupo juu lakini naye atakuja kuporomoka baada ya muda mfupi.
Njooni wajuzi wote tujadiliane hili jambo mpaka tupate jawabu la pamoja.
Nawasilisha.
Huyu alikua Taperi...!Frank kilawah simuoni..sijui kapotelea wapi..alikua anabalaaa zito
Nliendaga Tanga kanisani kwake na mgonjwa wangu pale tukataka kuelezea shida yetu tukaambiwa tutoe laki kadhaa , duh hatukuwa nazo ikabidi tuwe wapole.Frank kilawah simuoni..sijui kapotelea wapi..alikua anabalaaa zito
Du! Yaani anatibu kama hospitalini? Huyu alikuwa tapeli wa kutupwa!Nliendaga Tanga kanisani kwake na mgonjwa wangu pale tukataka kuelezea shida yetu tukaambiwa tutoe laki kadhaa , duh hatukuwa nazo ikabidi tuwe wapole.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Pole sana..tena anapenda 250,000 ili uweze kumuonaNliendaga Tanga kanisani kwake na mgonjwa wangu pale tukataka kuelezea shida yetu tukaambiwa tutoe laki kadhaa , duh hatukuwa nazo ikabidi tuwe wapole.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Itakua alipiga hela sana..siku hizi simuoniHuyu alikua Taperi...!
Kumbe ndio zao. hawa majamaa? Nabii Suguye huwezi kumuona bila 300,000. Sasa hivi kasimamishwa na serikali baada ya kuwaomba waumnini wake wampelekee nywele za utosini na kucha za vidole vidogo. Hawa majaa ni matapei wa kutupwa!Pole sana..tena anapenda 250,000 ili uweze kumuona