Kwanini mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika ufadhiliwe na Benki ya dunia?

Kwanini mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika ufadhiliwe na Benki ya dunia?

Of the total budget, 38% is to be assessed on Member States while 61% will be from partners. The operating budget will be fully funded by Member States while the programme budget will be funded 41% by Member States and 59% solicited from international partners.

Sasa hiyo 61% karibu 80% yake anatoa Marekani. Bajeti ya AU zaidi ya 61% wanatoa wafadhili kina World Bank na IMF na Marekani.

Nadhani sasa unaelewa.
endapo unasema ukweli na takwimu zako ni sahihi, sasa hiyo BRICS inayopigiwa upatu itatuvusha au porojo tu za kisiasa.
 
Moscow labda waje na silaha tu.
Warusi kama raia ni maskini mnoo, matajiri nao ni tabaka la watu kama kikundi tu nao wana utajiri wa kukufuru .
Aisee acha wivu basi...marekani angeweza kuwadindia nchi 30+ kama urusi anavyodindisha hadi mda huu? Cuba tuu ilimtoa kamasi kwa warning ya Urusi had aka-sign mkataba wa kutambua mipaka ya NATO dhidi ya Urusi, leo hii amevunja mikataba yoote na kumzunguka Urusi kwa nia ileile ovu..rushwa, uuaji kwa kusambaza madawa ya kulevya, kufadhili silaha na vikosi vya kimapigano kwa majirani wa wanaokataa sera zake za kinyonyaji, nakuhakikishia siku nchi za Africa zikigomea sera mbovu za mabeberu zitapigwa vikwazo hadi wananchi tufe kwa kwashakoo..
 
Unapoitaja World Bank, IMF na WTO ni sawa na kuitaja Marekani na Ulaya Magharibi. Kama mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika Tanzania umedhaminiwa na Benki ya dunia maana yake umedhaminiwa na nchi ya Marekani.

Kwanini AU na waafrika wenyewe wameshiñdwa kuudhamini mktano wao?

Are we serious?
It was done to enslave Africans with money and debt
 
Umeanza kwa kuuliza swali zuri kabisa: kwa nini nchi za Afrika zisigharamie mkutano wao zenyewe badala ya kufadhiliwa na Benki ya Dunia? Yaani kwa nini zile tegemezi hata kwa mambo ya kimkakati kama hayo?

Sasa hiyo “heri” ya kwenda Urusi inatoka wapi tena? Yaani nchi zote za Afrika zisiwe na akili ya mikakati ya maendeleo yao hadi zipigwe boost na mwamba mmoja wa kizungu (Mrusi Putin); kweli? Mrusi aliyezidiwa akili hata na Mchina kwa mbali? Yaani unapona kuliwa na simba unashangilia kuliwa na dubu? eti afadhali!

Mkuu usijidanganye: tatizo la Waafrika haliko nje wala jawabu haliko nje. Liko ndani ya Afrika. Achana na Marekani, Ulaya na Urusi. Hivyo ni visingizio tu.

Shughulika na viongozi wako waliojaa ujinga, ubinafsi, uroho na ufisadi wa kila aina kwa nchi zao. Wamerundika pesa za nchi zao za wizi kwenye mabenki ya Marekani na Ulaya. Wanatajirisha makampuni ya kibepari duniani (multinationals) halafu, kinafiki, wanajifanya dugu moja na madikteta wa “kikomunisti”. Hakuna siri. Wanajiaibisha dunia nzima.
Alaaniwe mwalimu wako aliekufundisha western propaganda.

Adui wa maendeleo ya afrika ni ukoloni uliopita + ukoloni mamboleo....

Baba yake na babu yangu alikua ni chief aliepewa upendeleo sana na wakoloni, akawakandamiza aliowatawala ili afaidi mema aliyopewa na wakoloni..ukikataa unakufa madarakani au vita inakutafuna unakufa...

Shame on your teachers...
 
Umenena vema lakini hapana hapana hapana. Kuna ukweli fulani kuwa viongozi wetu kuna wezi ndiyo lakini sio wote, lakini kitu cha kushangaza ni kwamba mataifa yote ya Afrika chini ya jangwa la sahara yana hali sawa ya mambo na kiuchumi, mataifa yote ya Afrika kaskazini yana aina moja ya hali na uchumi, mataifa yote ya Asia yana aina moja ya hali na uchumi na mataifa yote ya Amerika kusini yana aina moja ya hali na uchumi. Hii kaka haiwezi kuwa imetokea kwa bahati tu (chance). Hali hii imetokea chini ya usimamizi wa Benki ya dunia, IMF, WTO, US Dollar, Swift, VISA, Pound, Euro, commonwealth, na mifumo mingine ya wale ambao walikuwa wameitawala dunia (wakiloni wetu) pamoja na Marekani. Ili Afrika itoke hapo ilipo ni lazima itoke kwenye mifumo yote ya Benki ya dunia, IMF, WTO, US Dollar, Swift, VISA, Pound, Euro, commonwealth, na mifumo mingine ya wale ambao walikuwa wameitawala dunia (wakiloni wetu) pamoja na Marekani.

Kaka haiwezekani nchi zote chini ya jangwa la Sahara zifanane kwa upumbavu kama hivi. Kuna nchi mpaka zimeshabadilisha viongozi wao na vyama vyao vya ukombozi kutoka madarakani lakini waaapi hali ni ileile na kupitiliza. Hii ina maana kuwa ipo common factor kwa hali hii. Kuna kundi powerful linaloiendesha dunia litakavyo. Viongozi wetu hawana cha kufanya wala la kufanya dhidi ya kundi hili ambalo liko tayari kuurudisha ukoloni upya kama likizidiwa nguvu. Nchi unazoziona zimewekewa vikwazo kama vile Urusi, NKorea, Cuba, Zimbabwe, Iran, Syria, Lybia, Iraq, Venezuela, na karibuni itakuwa Uganda na South Africa ni nchi ambazo viongozi wao walilighamua tatizo na kujaribu kuchukua hatua dhidi yao. Hili ndilo kundi ambalo Afrika chini ya jangwa inapaswa liliunge mkono kama wanataka hali tofauti ya mambo kwenye nchi zao.
Well said mkuu[emoji482][emoji482][emoji482]
 
Tatizo letu ni uvivu wa kutenda nchi za east asia na zile asean zilishakuwa makoloni zilishakuwa na mambo ya utumwa zilishakopa world bank ila nyingi kwa sasa zina uchumi imara na zipo vizuri sio tena masikini ,wakati wewe ukiona maji ni huduma unayangangia idara ziendeshwe na serikali wengine tunaona maji ni biashara sera zibadilike kampuni binfasi ziuze zisambaze maji mijini ,vijijini na mashambani haina haja ya kukopa kutekeleza miradi ya maji hii ni kubadili sera tu kama vile kwenye mitandao ya simu huu ni mfano tu wa eneo moja tu ,kiuhalisia tunahitaji ubepari wakitanzania ( capitalis in Tanzani context) utaoendana na utamaduni wetu na public ijitoe kwenye biashara ibakie kwenye sekta chache za huduma hapo nchi za Africa zitabadilika na itakuwa sehemu kubwa haiba sababu ya kwenda kukopa kopa nje na hivi ni kwa uchache tu otherwise NB: lile soko la hisa pale halina maana kama bado kila sekta inakuwa inamilikiwa na ummah.
Uko sahihi sana, serikali legelege kuhodhi utoaji wa huduma muhimu ni kati ya chanzo Cha hali hii. Hata hapa nchini ona, TTCL imekufa lakini mitandao binafsi ya simu inaendelea, UDA imekufa lakini daladala zipo, TBC inasuasua lakini media nyingine zinachanja mbuga, nk. Nchi za Asia ni ama walikaribisha uwekezaji au walisimamia kikamilifu uendeshaji na usimamizi wa huduma, waliua hadharani yeyote yule mbadhilifu. Sisi hatukukarinisha uwekezaji binafsi na hatusimamii utoaji huduma. Ni pango la wezi, Wala rushwa na wabadhilifu wa Mali za umma.
 
Uko sahihi sana, serikali legelege kuhodhi utoaji wa huduma muhimu ni kati ya chanzo Cha hali hii. Hata hapa nchini ona, TTCL imekufa lakini mitandao binafsi ya simu inaendelea, UDA imekufa lakini daladala zipo, TBC inasuasua lakini media nyingine zinachanja mbuga, nk. Nchi za Asia ni ama walikaribisha uwekezaji au walisimamia kikamilifu uendeshaji na usimamizi wa huduma, waliua hadharani yeyote yule mbadhilifu. Sisi hatukukarinisha uwekezaji binafsi na hatusimamii utoaji huduma. Ni pango la wezi, Wala rushwa na wabadhilifu wa Mali za umma.
Nakubaliana ila siafiki kwenye msemo wa serikali lege lege mi naamini kwenye nchi zinazoendelea kunahitajika uwekezaji kutoka nje bila kuumizana au kuuana hadharani na mfano mzuri umeusema huu wa ttcl na makampuni binafsi ambayo huhitaji kukopa ili kuimarisha upatikanaji wa maendeleo ni kupata wawekezaji walete fedha na teknolojia huku fedha za umma zikafanya mengine ambapo pia ukiacha simu na pia kwenye habari (magazeti,redio na tv) tumefanya vizuri kwa kuwa sekta inamilikiwa kwa kiwango kikubwa na sekta binafsi baada ya kubadili sera zetu na ajira na kodi zinapatikana vivyo hivyo kwenye maji tukibadili sera iwe ruhusa watu au kampuni binafsi kuzalisha na kusambaza maji ishindane na za umma automatically wananchi watapata huduma stahiki na serikali kupata kodi stahiki na mwekezaji stahiki yake na nchi kupiga maendeleo kwenda mbele na hii ikifanyika kwa utulivu kwa kushirikisha sekta mbalimbali ambazo ni kero kwa watu basi nchi inakuwa inapaa kiuchumi sisi hatuhitaji kwenda kucopy nje zaidi ya kujifunza ya hapa na hasa kupitia sekta zile tumeziruhusu ziwe na uwekezaji jinsi zilivyokuwa na manufaa hususani simu na habari.
 
Nakubaliana ila siafiki kwenye msemo wa serikali lege lege mi naamini kwenye nchi zinazoendelea kunahitajika uwekezaji kutoka nje bila kuumizana au kuuana hadharani na mfano mzuri umeusema huu wa ttcl na makampuni binafsi ambayo huhitaji kukopa ili kuimarisha upatikanaji wa maendeleo ni kupata wawekezaji walete fedha na teknolojia huku fedha za umma zikafanya mengine ambapo pia ukiacha simu na pia kwenye habari (magazeti,redio na tv) tumefanya vizuri kwa kuwa sekta inamilikiwa kwa kiwango kikubwa na sekta binafsi baada ya kubadili sera zetu na ajira na kodi zinapatikana vivyo hivyo kwenye maji tukibadili sera iwe ruhusa watu au kampuni binafsi kuzalisha na kusambaza maji ishindane na za umma automatically wananchi watapata huduma stahiki na serikali kupata kodi stahiki na mwekezaji stahiki yake na nchi kupiga maendeleo kwenda mbele na hii ikifanyika kwa utulivu kwa kushirikisha sekta mbalimbali ambazo ni kero kwa watu basi nchi inakuwa inapaa kiuchumi sisi hatuhitaji kwenda kucopy nje zaidi ya kujifunza ya hapa na hasa kupitia sekta zile tumeziruhusu ziwe na uwekezaji jinsi zilivyokuwa na manufaa hususani simu na habari.
Ukitoa shida za mfumo kandamizi wa WB, IMF, WTO, USD, swiftly, VISA, commonwealth, na westerns kuyaatamia ex- colonies Yao hata baada ya kupata uhuru, shida kuu ya ndani ni viongozi wa Afrika kujiwekea kinga ya kutokushitakiwa hata wakifanya nini kibaya. Mfumo huu wa kinga unazalisha wezi, wala rushwa na wabadhilifu wa mali za wananchi na matumizi mabaya ya mikopo na misaada. Misaada mingi ya Magharibi Imeficha hila, mitego na Nia ovu ndani yake. Ndio maana misaada mingi kutoka nchi za magharibi sio Ile ya kujenga viwanda mama, kutoa teknolojia, wala kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo, ufungaji, uvuvi, misitu na madini. Misaada Yao mikubwa ni kwenye kupunguza idadi ya watu, kutunza misitu na mbuga za wanyama.
 
Aisee acha wivu basi...marekani angeweza kuwadindia nchi 30+ kama urusi anavyodindisha hadi mda huu? Cuba tuu ilimtoa kamasi kwa warning ya Urusi had aka-sign mkataba wa kutambua mipaka ya NATO dhidi ya Urusi, leo hii amevunja mikataba yoote na kumzunguka Urusi kwa nia ileile ovu..rushwa, uuaji kwa kusambaza madawa ya kulevya, kufadhili silaha na vikosi vya kimapigano kwa majirani wa wanaokataa sera zake za kinyonyaji, nakuhakikishia siku nchi za Africa zikigomea sera mbovu za mabeberu zitapigwa vikwazo hadi wananchi tufe kwa kwashakoo..
Huwa siwajibu wapuuzi kama wewe.
Kwa hiyo wameenda kujifunza vita?
Huelewi hata nilichoandika unahorojoka ti hapa.
 
Aisee acha wivu basi...marekani angeweza kuwadindia nchi 30+ kama urusi anavyodindisha hadi mda huu? Cuba tuu ilimtoa kamasi kwa warning ya Urusi had aka-sign mkataba wa kutambua mipaka ya NATO dhidi ya Urusi, leo hii amevunja mikataba yoote na kumzunguka Urusi kwa nia ileile ovu..rushwa, uuaji kwa kusambaza madawa ya kulevya, kufadhili silaha na vikosi vya kimapigano kwa majirani wa wanaokataa sera zake za kinyonyaji, nakuhakikishia siku nchi za Africa zikigomea sera mbovu za mabeberu zitapigwa vikwazo hadi wananchi tufe kwa kwashakoo..
Aisei, huu ndio muda wa kumkataa shetani na kazi zake zote. Huu ni muda wa Afrika kuchagua njia nyingine kama wakitaka wapate matokeo yaliyotofauti na haya ya sasa. Afrika ianze kwa kuondoa vikwazo vya kutembeleana na kuuziana bidhaa wenyewewe kwa weenyewe kwa kutumia utaratibu wa kiafrika kwa kutumia sarafu za kiafrika. Afrika ijitoe kwenye kivuli cha wakoloni/watesi wake wa zamani. Afrika haihitaji vitu kama commonwealth, IMF, World bank, WTO, wala kutumia pesa za kigeni kununua bidhaa nchi nyingine. Afrika inahitaji aina nyingine ya silaha za kivita ambazo zitamudu kujilinda dhidi ya uvamizi wa wakoloni wetu wa zamani watakapotaka kurudi tena kututawala. Afrika inahitaji elimu na lugha inayojibu maswali yetu.
 
Unapoitaja World Bank, IMF na WTO ni sawa na kuitaja Marekani na Ulaya Magharibi. Kama mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika Tanzania umedhaminiwa na Benki ya dunia maana yake umedhaminiwa na nchi ya Marekani.

Kwanini AU na waafrika wenyewe wameshiñdwa kuudhamini mktano wao?

Are we serious?
Ulitaka ufadhili wewe?
 
Ukitoa shida za mfumo kandamizi wa WB, IMF, WTO, USD, swiftly, VISA, commonwealth, na westerns kuyaatamia ex- colonies Yao hata baada ya kupata uhuru, shida kuu ya ndani ni viongozi wa Afrika kujiwekea kinga ya kutokushitakiwa hata wakifanya nini kibaya. Mfumo huu wa kinga unazalisha wezi, wala rushwa na wabadhilifu wa mali za wananchi na matumizi mabaya ya mikopo na misaada. Misaada mingi ya Magharibi Imeficha hila, mitego na Nia ovu ndani yake. Ndio maana misaada mingi kutoka nchi za magharibi sio Ile ya kujenga viwanda mama, kutoa teknolojia, wala kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo, ufungaji, uvuvi, misitu na madini. Misaada Yao mikubwa ni kwenye kupunguza idadi ya watu, kutunza misitu na mbuga za wanyama.
Nimekuelewa kimsingi wanatumia principle ya kuzuia matatizo kabla hayajafika kwao yaani ni misaada ambayo tunaona kama misaada ila kiuhalisia tunasaidiana mfano ukisaidia kwenye kupiga vita mabadiliko ya tabia nchi au kifua kikuu inamaana hivi vikitokea kwa wingi kwenye nchi zinazoendelea basi vitawarudia na wao yaani vitafika kwao ni sawa tu usipozima moto nyumba ya jirani itakayofuata ni ya kwako ,technically ni misaada ya kusaidiana wanaweza kuleta mabadiliko na maendeleo sio serikali zao na misaada yake bali ni kampuni zao hasa zikija kufanya investment wataleta tech n, skills na money tena tukiweza kushawishi kampuni zenye products za kuexpo kurudisha kwao then tutawin.
 
Nimekuelewa kimsingi wanatumia principle ya kuzuia matatizo kabla hayajafika kwao yaani ni misaada ambayo tunaona kama misaada ila kiuhalisia tunasaidiana mfano ukisaidia kwenye kupiga vita mabadiliko ya tabia nchi au kifua kikuu inamaana hivi vikitokea kwa wingi kwenye nchi zinazoendelea basi vitawarudia na wao yaani vitafika kwao ni sawa tu usipozima moto nyumba ya jirani itakayofuata ni ya kwako ,technically ni misaada ya kusaidiana wanaweza kuleta mabadiliko na maendeleo sio serikali zao na misaada yake bali ni kampuni zao hasa zikija kufanya investment wataleta tech n, skills na money tena tukiweza kushawishi kampuni zenye products za kuexpo kurudisha kwao then tutawin.
Eeewaaa!! Wewe ndo umeleewa kile hasa ninachokisema. Wakoloni hawakujenga reli, barabara, shule, hospitali, kumbi za sinema, umeme, makanisa, bandari, kutunza misitu na mbuga za wanyama kwakuwa walitupenda sana, lahsha, vyote hivyo vilikuwa kwa faida Yao (directly and indirectly) wao. Walishasema kuwa wao hawana Cha bure (no free lunch) hata kimoja, wewe unataka wasemeje tena hadi uelewe?,

Ukiona wanasema wakujengea wao barabara ujue miongoni mwa mafundi wajenzi wao Kuna mashushu wao wenye kazi maalumu nchini kwako au nchi jirani, humo humo mna wataalam wa miamba, madini wanaochunguza wapi madini yaliko, humohumo una watu wamekuja kuchukua mali zao ambazo walizoacha/walizoficha wakati wa ukoloni, nk. Sio bure, sio huruma, sio msaada.
 
Unapoitaja World Bank, IMF na WTO ni sawa na kuitaja Marekani na Ulaya Magharibi. Kama mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika Tanzania umedhaminiwa na Benki ya dunia maana yake umedhaminiwa na nchi ya Marekani.

Kwanini AU na waafrika wenyewe wameshiñdwa kuudhamini mktano wao?

Are we serious?
Hao AU wanafadhiliwa na whites ili mambo yaende. We unaona muafrika ana jipya?
 
Back
Top Bottom