Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Jeshi linasimamiwa na raia, liko chini ya utawala wa kiraia.
 
Labda ungetoa mifano ya maofisa waliotoka kamandi ya anga au navy ambao iliwabidi kuvaa uniform za nchi kavu walipoteuliwa kuwa chief of staff au CDF.
 
Sahihi, wanajeshi wote duniani lazima wapate basic combat skills.
 
Utaratibu wa kupokezana ndio mzuri zaidi, una hakikisha mkuu wa majeshi na wakuu wote wa kamandi wanapatikana kwa merit na ndio itaratibu unaotumiwa na nchi nyingi zilizoendelea na ambazo majeshi hayachanganywi sana na siasa.
 
Utaratibu wa kupokezana ndio mzuri zaidi, una hakikisha mkuu wa majeshi na wakuu wote wa kamandi wanapatikana kwa merit na ndio itaratibu unaotumiwa na nchi nyingi zilizoendelea na ambazo majeshi hayachanganywi sana na siasa.
Yeah, hapa kama kuna ukweli. Maana mpaka kuwa mkuu wa kamandi maana yake vigezo vya kuwa CS au CDF unavyo. Na nadhani katika chaguzi za CDF majina yanapendekezwa kutoka kwa hawa wakuu.
 
Hakuna jambo lenye madhara hapo mbona hata Facebook nishawai mrekebisha yerico Nyerere kwenye post zake alisemaga jeshi letu lina kamandi tatu nikamkatalia na kumpa ufafanuzi wa kina na hao wakuu unaosema tukionana wanabaki kupongeza tu Kwa elimu sahihi nayotoa,, tatizo lako we hujui taarifa zipi zinafaa kuwekwa au kufafanuliwa mitandaoni au zipi hazifai manake hujui lolote kuhusu mambo kama haya ...wew kwako unaona kila kitu ni siri

Unachobaki ni kuleta ramli tu mara una viashiria vya uropokaji mara sijui nin ,ukiulizwa kosa liko wapi huna cha kusema, haya mambo hata kwenye majarida ya jeshi yapo ni free knowledge ambayo mtu yyte akijua ni muhimu manake pia inagusa history ya jeshi... Ungekuwa unajua Siri za jeshi ni zipi na zinahusisha nin usingekuwa unaishi Kwa kuogopa na basi ungekaa kimya na kunipongeza navyotoa ufafanuzi kuliko kudhiirisha level ya ujinga wako kama unavyofanya....
 
Kwani uchaguzi wa CDF unaangalia tu mtu unayemtaka? Kuna mengi mno kupata mkuu wa majeshi siyo kama ambavyo unataka kusema. Sijaandika kukurupuka
 
Kwenye mambo ya usalama hakuna uchawa bali kule ni vigezo stahiki ndio vinavyofanya mtu achaguliwe
 
Utaratibu wa kupokezana ndio mzuri zaidi, una hakikisha mkuu wa majeshi na wakuu wote wa kamandi wanapatikana kwa merit na ndio itaratibu unaotumiwa na nchi nyingi zilizoendelea na ambazo majeshi hayachanganywi sana na siasa.
Vigezo sio kupokezana tu kama mnapokezana jeneza kwenye msafara viko vingi.Kenya nako Kuna shida.Kuna generali siku za karibuni tu alipelekwa Kongo kwenda kuongoza operation ya Majeshi ya Kenya kupambana na M23 akakimbia vita analalamika kuwa wanataka M23 kumuua akarudi Kenya .Sasa alivyoenda vitani alifikiria Nini kule anaenda kucheza mziki au?

Mkuu wa Majeshi huchaguliwa pia Kwa kuangalia uwezo wake kivita je alishawahi ongoza operation ngapi za kivita na zikafanikiwa? Kwenye eneo lake? Kuna vyeo aweza panda Kwa kikawaida tu kuwa umefanya kazi miaka hii na kuhudhuria Kozi au elimu shika.Cheo .Mkuu wa majeshi CV yake kivita lazima ionyeshe mafanikio ndani na nje ya nchi anayaweza ? Umetumwa kupambana na M23 ,operation za Jeshi sijui Dafur Nk .Historia Yako kivita ikoje eneo lako la ubobezi liwe anga,ardhini,military intelligence,baharini nk kivita ukoje? Mfano nilisoma mahali Kuna makamanda wa kamandi walishawahi twangana ngumi na mwenzie wa kamandi ya anga na majini baada ya kikosi Cha majini kufanya vibaya vita ya Uganda na Tanzania kikosi kilazamishwa na majeshi ya Idd Amin Cha majini sababu ya utendaji mbovu vitani wa kamandi ya majini ziwa Victoria walipokuwa wakivuka kukabili majeshi ya Uganda yaliyovamis Tanzania na kumpa kazi ngumu ya ziada kamanda wa Anga kufanya kazi extra kuokoa jahazi

Yule kamanda wa kamandi ya majini ilibidi aondolewe vitani arudishwe kambini.Suala Sio tu ukuu wa kamandi

Pia Kuna swala la umri Unakuta mkuu mwingine wa kamandi umri unemtupa mkono anafikia ku kustaafu

Wengine Kwa kuona uzito wa hiyo kazi hugoma.Mkuu wa Majeshi Hana muda wa kulala akiwa mdogo mno sababu ni mkuu wa Majeshi yote yawe polisi,JWtZ,Usalama wa Taifa nk na wote hueakilisha ripoti kwake Kila siku na muda wowote kukiwa na swala lazima atafute Kwa maamuzi na maelekezo yake
Ndiko.maana sio rahisi Kumkuta mkuu wa Majeshi wa Tanzania mnene ila wale wa chini yake waweza Kuta wako wanene wengi tu
 
Mkeremi ni head wa MI na vipi kuhusu Maj. Gen Gaguti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…