Jeshi linasimamiwa na raia, liko chini ya utawala wa kiraia.Raia umpe nafasi ya kujadili jeshi ? Raia anajua nini kuhusu jeshi ? Kama mtu huna uelewa na kitu inakuwaje unataka nafasi ya kujadili usichokijua ? Mtu mwenye nafasi ya kujadili ni yule mwenye uelewa wa hicho kinachojadiliwa , kama huna uelewa huwezi kujadili hata kidogo
Labda ungetoa mifano ya maofisa waliotoka kamandi ya anga au navy ambao iliwabidi kuvaa uniform za nchi kavu walipoteuliwa kuwa chief of staff au CDF.Hili naweza jibu ,katika muundo wa jeshi letu kamandi ya nchi kavu ni jeshi mama ,askari yyte bila kujali kamandi yake lazima awe na basic infantry course ,kwaiyo ukishafika hizo position za juu mfano Chief of staff au CDF ceremonial dress ,number 3 ,combat etc utavaa za nchi kavu kama kiwakilishi cha jeshi la nchi kavu kuwa jeshi mama
Kwa vigezo gani?Niwaibie tu siri jeshi la kenya liko vizuri kuliko jamaa wanao tuumiza wananchi
Kwa usahihi ni Basic combat training,Siyo kwamba majeshi yote lazima mjeshi ale kwanza kozi ya infantry?
Sahihi, wanajeshi wote duniani lazima wapate basic combat skills.Mimi tuko tofauti kidogo, kila mtu aspecialize kwake mapema kama majeshi ya wenzetu, unakuta mtu kafanya kozi ya infantry, vifaru , na navy lkn mwisho wa siku anatumia ujuzi mmoja tu, jeshi linakua linaingia gharama kubwa kuwafundisha vitu ambavyo hawavitumiaa.. kuhusu ikitokea umetekwa au pilot kuangukia porini, ukishakua mwanajeshi haijalishi ni airforce , navy au landforce lazima uweze kujua kutumia personal weapon , uwe na uwezo wa kutembea some Kms, uwe na uvumilivu wa kusurvive kwenye harsh environment,, haikuhitaji kuwa askari wa miguu kujua haya mambo.
Utaratibu wa kupokezana ndio mzuri zaidi, una hakikisha mkuu wa majeshi na wakuu wote wa kamandi wanapatikana kwa merit na ndio itaratibu unaotumiwa na nchi nyingi zilizoendelea na ambazo majeshi hayachanganywi sana na siasa.Ule utaratibu kwa upande wangu sio mzuri kwa sababu unamlazimisha Rais kumteua mkuu wa majeshi hata asiyemtaka.
Pia ni rahisi sana watu kufanyiaba hujuma.
Vilevile unaweza sababisha mtu mzuri kukosa nafasi kwa sababu sio zamu ya kamandi yao kutoa CDF.
Yeah, hapa kama kuna ukweli. Maana mpaka kuwa mkuu wa kamandi maana yake vigezo vya kuwa CS au CDF unavyo. Na nadhani katika chaguzi za CDF majina yanapendekezwa kutoka kwa hawa wakuu.Utaratibu wa kupokezana ndio mzuri zaidi, una hakikisha mkuu wa majeshi na wakuu wote wa kamandi wanapatikana kwa merit na ndio itaratibu unaotumiwa na nchi nyingi zilizoendelea na ambazo majeshi hayachanganywi sana na siasa.
Si nilisema hapo juu general mbomaLabda ungetoa mifano ya maofisa waliotoka kamandi ya anga au navy ambao iliwabidi kuvaa uniform za nchi kavu walipoteuliwa kuwa chief of staff au CDF.
Hakuna jambo lenye madhara hapo mbona hata Facebook nishawai mrekebisha yerico Nyerere kwenye post zake alisemaga jeshi letu lina kamandi tatu nikamkatalia na kumpa ufafanuzi wa kina na hao wakuu unaosema tukionana wanabaki kupongeza tu Kwa elimu sahihi nayotoa,, tatizo lako we hujui taarifa zipi zinafaa kuwekwa au kufafanuliwa mitandaoni au zipi hazifai manake hujui lolote kuhusu mambo kama haya ...wew kwako unaona kila kitu ni siriHata kama ni common, lakini una viashiria vya uropokaji na hutoshi kuaminiwa. Your mind is very limited. Wenye akili wameelewa. Bahati mbaya sana humu mnatumia fake name, nina uhakika wakubwa wako wangekufahamu wangekuweka mbali na nyaraka. Labda uwe tu msimamizi wa jiko
Kwani uchaguzi wa CDF unaangalia tu mtu unayemtaka? Kuna mengi mno kupata mkuu wa majeshi siyo kama ambavyo unataka kusema. Sijaandika kukurupukaUle utaratibu kwa upande wangu sio mzuri kwa sababu unamlazimisha Rais kumteua mkuu wa majeshi hata asiyemtaka.
Pia ni rahisi sana watu kufanyiaba hujuma.
Vilevile unaweza sababisha mtu mzuri kukosa nafasi kwa sababu sio zamu ya kamandi yao kutoa CDF.
Sahihi kbsaKwani uchaguzi wa CDF unaangalia tu mtu unayemtaka? Kuna mengi mno kupata mkuu wa majeshi siyo kama ambavyo unataka kusema. Sijaandika kukurupuka
Hili Lipo Wazi KabisaSio kila raia hana uelewa, naamini wapo raia pia wenye uelewa kuliko askari wenyewe.
Mboma pia alikuwa rubani wa Ndege za kivita na mkuu wa kamandi ya Jeshi la anga Kabla kuwa mkuu wa MajeshiMwamnyange kawa mkuu Jkt kabda ya u CDF.
Kwenye mambo ya usalama hakuna uchawa bali kule ni vigezo stahiki ndio vinavyofanya mtu achaguliweKwanza kwa Tanzania, ni vigezo gani hutumika ktk kumteua mtu Mwanajeshi kuwa Mkuu wa Majeshi(CDF)?? Je, uchawa haupo kabisa kwenye vigezo vya kuweza kuteuliwa kuwa CDF hapa Tz?
Jaribu tu kufikiria, kama Paul Makonda na umbumbumbu wake pamoja na uhalifu wake alionao ameweza kuteuliwa kushika nyadhifa kubwa kubwa hapa Tanzania Huku wakiachwa watu wengine wengi ambao ni Wasomi, waadilifu na weledi, Je, inashindikana nini kumteua CDF kwa kufuata utaratibu kama huo ambao unaulalamikia????
Vigezo sio kupokezana tu kama mnapokezana jeneza kwenye msafara viko vingi.Kenya nako Kuna shida.Kuna generali siku za karibuni tu alipelekwa Kongo kwenda kuongoza operation ya Majeshi ya Kenya kupambana na M23 akakimbia vita analalamika kuwa wanataka M23 kumuua akarudi Kenya .Sasa alivyoenda vitani alifikiria Nini kule anaenda kucheza mziki au?Utaratibu wa kupokezana ndio mzuri zaidi, una hakikisha mkuu wa majeshi na wakuu wote wa kamandi wanapatikana kwa merit na ndio itaratibu unaotumiwa na nchi nyingi zilizoendelea na ambazo majeshi hayachanganywi sana na siasa.
Hiv mgambo nayo n kamandi kwanza maana ya kamandi ya jeshi tuna elimu kweli
Mkeremi ni head wa MI na vipi kuhusu Maj. Gen Gaguti?Mfano mwaka 2012 chuo cha NDC kilivyozinduliwa mkuu wake wa kwanza alitokea airforce Charles Lawrence makakala lakini alikuja kupanda cheo na kuwa luteni jenerali lakini sare zake Bado alikuwa anavaa za airforce,ila angeteuliwa kuwa Chief of staff au CDF angebadili sare na kuvaa za land force ambazo ndo kamandi mama ,aliyekuwa Mlinzi wa kikwete kamali kimario baadaye brigedia jenerali yule kamandi yake ni airforce lakini pale alikuwa akivaa barret za land force akiwa nyuma ya raisi,pia brigedia jenerali mkeremi aliyeañza Kwa kikwete 2014 Hadi Kwa magufulini 2018 ni airforce na nilijua baada ya kukutana naye akiwa na cheo cha brigedia jenerali so hapo inamaanisha basic course zake alizobobea kiutendaji vita ni za anga,japo Kwa sasa ni mkuu wa usalama na utambuzi jeshini na sare anavaa za land force