Kwanini mnakubali kuoa/kuolewa na wasiowapenda?

Kwanini mnakubali kuoa/kuolewa na wasiowapenda?

Kupenda mtu forever and for always yahitaji uwe robot mkuu,sio kwa moyo huu huu

Hivi nilivyokua mdogo ulikua unaniambia nini kuhusu ''wali marage'' nikuelewe mzee

siambiliki sisikizi,ndio msosi wangu pendwa enzi hizo,ila sasa hivi swala la ''wali'' ni shida

sitaki kusikia wala kuona wali, "kwanini" msosi unakifu,unakinaisha, naula once kwa miezi.

Binadamu simfananishi na CHAKULA ila mkuu kupenda mtu mmoja milele "sio kwa miaka kadhaa" ila ni "milele" yapasa wote yani "mke na mume" wawe na PHD ya ushawishi wao kwa wao.

Nilikua sielewi maana ya ndoa za mikataba,kama sasa nimeanza kuelewa hivi,hizi viapo za kanisani hizi "mpaka kifo kitutenganishe" my futi... Kifo chenyewe ndio cha kupgana petroli au kuwekeana sumu!

Kuna lile kabila wanasifika kwa kuua waume zao,hivi unafkiri hawa maraia hawakutongozana huko nyuma? walitongozana na wakaoana kwa harusi na sherehe za kukata na shoka.

shida ni nini sasa hadi upendo upotee uliempenda utamani kumpoteza? "vile maviapo ya kanisani" sasa ili litimie andiko "hadi kifo kitutenganishe" basi practical inafanyika kifo kinatokea, Andiko limetimia.

Pendana Mpendanavyo,kuna kuchokana tu "Jamii ianze angalia namna ya kufanya kipindi/wakati ule umefika mmechokana" tusiangalie upande mmoja tu,tuangalie pande zote.

Watu wana fake upendo ili waingie kwenye NDOA tu,you cant realize fake love kama wewe binafsi uko na true love kwa mwenzio, ndio ile wanasema "mapenzi upofu eeh"

Ndoa za mikataba zije tena zije kwa speed,tusidanganywe na ma ahadi ya makanisani, nimejikuta naanza waelewa "waislam" ni kama waliona mbali sana eneo hili la "ndoa"

Sishangai kuona vifo upande wetu wa christians vikitamaradadi,kwanini? ni kwasababu hatujaandaa mikakati ya kumtoa/kumuokoa alie ingia kwenye ndoa yenye upendo FAKE.

LOVE IS UNDEFINED
Likewise man,Mzee wa kukimbia chimbo.I appreciate you 🤜😘😘
 
Tabia za umri na makuzi. Ujue ndoa kwa kiasi fulani naifananisha na shule. Kama tungekuwa na akili za ukubwani wakati ule bado mdogo unaanzishwa shule nakupa hakikia wengi tungeikataa shule.

Siku zote utoto ni UTUMWA

Ujana MASWALI na

Uzee UGONJWA.

Umri wa kuoa / kuolewa mambo mengi yanayohusu ndoa yanakuwa yamejificha , kadiri siku zinavyosonga mbele unagundua kwamba yale meeeengi uliyojiaminisha kuwa yamo kwenye maisha ya ndoa sivyo ilivyo kiuhalisia.

Umejiumbia mumeo / mkeo wa udongo matokeo yake mkikaa pamoja kindoa unagundua kwamba kumbe mvua ikimnyeshea dongo lote linatepeta linaporomoka anabaki ile skeleton na ndio unamuona kwa uhalisia wake.

Lakini kuna kuongopeana sana hasa kama umakini wa kina kumhusu mwenza wako haukufanyika ipasavyo. Mkishaingia kwenye ndoa ndio mnayakunjua makucha kila mmoja anaonekana kwa uhalisia wake.

Uvumilivu ni jela ,ndoa ni furaha
 
Kuna binti mmoja aliniambiaga "naolewa ila mchumba ana sura mbaya yani ni libaya sikuoneshi hata picha" nikabaki 😳😳 sasa kwanini aolewe nae anyway sikumuhoji sababu ya kujitoa muhanga ila walioana.
Umenikumbusha ishu kama hiyo upande WA shemeji zangu....kuna shemeji yangu mmoja alisema aliolewa na mtu asiyempenda na ilifika kipindi alikuwa akiwa bafuni analia....lkn baadae anasema alikuja kumzoea na kumpenda...dah inafikirisha sana!
 
Hivi siku ile unamwoa huyo mwanamke ulijua kabisa kuwa hakupendi ila ukamwoa hivyohiyvo? Kwa sababu zako zipi sijui?

Mfano kwa mwanamke, wengi huingia hawajampenda mwanaume ila sababu zake ni Kuogopa kuchachia home, kuolewa kama mashost zake walio ndoani, kufuata Mali za mwanaume na wengine Ili tu akapate watoto ndani ya ndoa nk.

Mnakaa mnalalamika hapa Wanawake wabinafsi, wachoyo ndugu zangu, tatizo lilianzia kwako. Kuforce mapenzi, kuoa asiyekupenda kwa sababu zako binafsi. MWANAMKE ASIPOKUPENDA USITEGEMEE KUSHIRIKIANA NAWE KWA CHOCHOTE NDANI, Never

Zaidi ataishia kukutesa tu(Swalha&Said) mwisho kuchinjana Kwa usaliti. Pendaneni kwanza tafadhali
Hii hii akili iongelee Ni kwa Nini sie Ni masikini,na Ni kwa Nini tunafanya kazi ambazo hatuzipendi kuliko kuongelea mapenzi,Mana ukiwa na pesa utakuwa unaoa/kuolewa hata Mara kumi Kama wazungu kuwa na talaka Mia sio big deal. Blacks let us not take seriously sex, love, marriage rather than our we should take into consideration our life.

Mtu afanye Nini aliyetaka kuwa daktari sema akawa mwalimu wa bailojia na kemia na ilhali moyo wake upo kutibu wagonjwa.

Remember happiness is constant problem solving in our life. We need to make people be happy and prosperous in their life. Hapa ndipo wazungu wanatuzidiaga Mana wanaicheki mno ku nurture talents za watt wao sema sio tuna nurture suala la sex.

Wale jamaa kufaki one another once in a night halafu kesho mmeshasahauliana Ni ishu ya kawaida. Wapo real mno mapenzi Yana expire ,hata furaha yako ya kumiliki gari ,house,mtt n.k huwa inaisha muda wake unaona Ni kawaida.

Cheki Ile ladha ya kut00mbana first time huwa iko tofauti na incoming days Jamani.
Hata ukinunua gari utaipenda Kama Nini Ila as days goes on una take easy mpaka unaweza ukamuazima mshkaji Ila before hata lift Ni kazi labda utembee viwanja na maeneo mbali2 kisa Cha ego yako inaku drive uonekane na wewe uko juu ya dunia.
 
Back
Top Bottom