Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki umetishaaaBesty mambo
Likewise man,Mzee wa kukimbia chimbo.I appreciate you š¤ššKupenda mtu forever and for always yahitaji uwe robot mkuu,sio kwa moyo huu huu
Hivi nilivyokua mdogo ulikua unaniambia nini kuhusu ''wali marage'' nikuelewe mzee
siambiliki sisikizi,ndio msosi wangu pendwa enzi hizo,ila sasa hivi swala la ''wali'' ni shida
sitaki kusikia wala kuona wali, "kwanini" msosi unakifu,unakinaisha, naula once kwa miezi.
Binadamu simfananishi na CHAKULA ila mkuu kupenda mtu mmoja milele "sio kwa miaka kadhaa" ila ni "milele" yapasa wote yani "mke na mume" wawe na PHD ya ushawishi wao kwa wao.
Nilikua sielewi maana ya ndoa za mikataba,kama sasa nimeanza kuelewa hivi,hizi viapo za kanisani hizi "mpaka kifo kitutenganishe" my futi... Kifo chenyewe ndio cha kupgana petroli au kuwekeana sumu!
Kuna lile kabila wanasifika kwa kuua waume zao,hivi unafkiri hawa maraia hawakutongozana huko nyuma? walitongozana na wakaoana kwa harusi na sherehe za kukata na shoka.
shida ni nini sasa hadi upendo upotee uliempenda utamani kumpoteza? "vile maviapo ya kanisani" sasa ili litimie andiko "hadi kifo kitutenganishe" basi practical inafanyika kifo kinatokea, Andiko limetimia.
Pendana Mpendanavyo,kuna kuchokana tu "Jamii ianze angalia namna ya kufanya kipindi/wakati ule umefika mmechokana" tusiangalie upande mmoja tu,tuangalie pande zote.
Watu wana fake upendo ili waingie kwenye NDOA tu,you cant realize fake love kama wewe binafsi uko na true love kwa mwenzio, ndio ile wanasema "mapenzi upofu eeh"
Ndoa za mikataba zije tena zije kwa speed,tusidanganywe na ma ahadi ya makanisani, nimejikuta naanza waelewa "waislam" ni kama waliona mbali sana eneo hili la "ndoa"
Sishangai kuona vifo upande wetu wa christians vikitamaradadi,kwanini? ni kwasababu hatujaandaa mikakati ya kumtoa/kumuokoa alie ingia kwenye ndoa yenye upendo FAKE.
LOVE IS UNDEFINED
Dunia imeisha mamiiPole Yao Kwa kweliš„
Kivipi tena rafiki?Rafiki umetishaaa
Mambo mama D
Wat the problem is?Mambo mabayašššš
Wat the problem is?
Ah nakwambia mama huyu shetani ana nguvu sana ata sijui najinasuajeUmeandika mambo meusiiiišš
Ah nakwambia mama huyu shetani ana nguvu sana ata sijui najinasuaje
Nampenda vipi...ni kwamba anatuzidi nguvu sio kwamba twampenda. Tutampendaja wakati anatuelekeza kwenye mautiNa mwenyewe unavyompenda sasaš
Umenikumbusha ishu kama hiyo upande WA shemeji zangu....kuna shemeji yangu mmoja alisema aliolewa na mtu asiyempenda na ilifika kipindi alikuwa akiwa bafuni analia....lkn baadae anasema alikuja kumzoea na kumpenda...dah inafikirisha sana!Kuna binti mmoja aliniambiaga "naolewa ila mchumba ana sura mbaya yani ni libaya sikuoneshi hata picha" nikabaki š³š³ sasa kwanini aolewe nae anyway sikumuhoji sababu ya kujitoa muhanga ila walioana.
Hii hii akili iongelee Ni kwa Nini sie Ni masikini,na Ni kwa Nini tunafanya kazi ambazo hatuzipendi kuliko kuongelea mapenzi,Mana ukiwa na pesa utakuwa unaoa/kuolewa hata Mara kumi Kama wazungu kuwa na talaka Mia sio big deal. Blacks let us not take seriously sex, love, marriage rather than our we should take into consideration our life.Hivi siku ile unamwoa huyo mwanamke ulijua kabisa kuwa hakupendi ila ukamwoa hivyohiyvo? Kwa sababu zako zipi sijui?
Mfano kwa mwanamke, wengi huingia hawajampenda mwanaume ila sababu zake ni Kuogopa kuchachia home, kuolewa kama mashost zake walio ndoani, kufuata Mali za mwanaume na wengine Ili tu akapate watoto ndani ya ndoa nk.
Mnakaa mnalalamika hapa Wanawake wabinafsi, wachoyo ndugu zangu, tatizo lilianzia kwako. Kuforce mapenzi, kuoa asiyekupenda kwa sababu zako binafsi. MWANAMKE ASIPOKUPENDA USITEGEMEE KUSHIRIKIANA NAWE KWA CHOCHOTE NDANI, Never
Zaidi ataishia kukutesa tu(Swalha&Said) mwisho kuchinjana Kwa usaliti. Pendaneni kwanza tafadhali