Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimpenda wakati huna hela anakukimbia ukiwa na hela anafuata pesa tu ila hakupendi mbona umeongea vitu viwili tofauti ambavyo vipo kwa watu tofauti na sio mtu mmoja.Hivi siku ile unamwoa huyo mwanamke ulijua kabisa kuwa hakupendi ila ukamwoa hivyohiyvo? Kwa sababu zako zipi sijui?
Mfano kwa mwanamke, wengi huingia hawajampenda mwanaume ila sababu zake ni Kuogopa kuchachia home, kuolewa kama mashost zake walio ndoani, kufuata Mali za mwanaume na wengine Ili tu akapate watoto ndani ya ndoa nk.
Mnakaa mnalalamika hapa Wanawake wabinafsi, wachoyo ndugu zangu, tatizo lilianzia kwako. Kuforce mapenzi, kuoa asiyekupenda kwa sababu zako binafsi. MWANAMKE ASIPOKUPENDA USITEGEMEE KUSHIRIKIANA NAWE KWA CHOCHOTE NDANI, Never
Zaidi ataishia kukutesa tu(Swalha&Said) mwisho kuchinjana Kwa usaliti. Pendaneni kwanza tafadhali
Hakuna mwanamume atakaye mwacha mwanamke mtii.Hii sentensi huwa siielewagi
Inawaumiza sana😥Ila mi nachojua wanaume hawaangalii I love you nyingi, wanachukulia utii ndo upendo....na Sisi wanawake tukiwa tunataka ndoa tunajua kuigiza mashaallah....kila unaloambiwa unatii, wao wanachukulia unawapenda....So tunawaconfuse hawa Kaka zetu.
Wanatafunwa kweli,wanakunjwa style zote na hutoa miguno ya kike yote.Washenzi hawaMwanaume akiingiliwa nyuma hiyo ni shida Kubwa sana, maana asili ya mwanaume ni kuingilia sio kuingiliwa, ukiona mwanaume anaingiliwa nyuma hesabu hakuna mwanaume hapo, ila ni mfano wa mwanaume Beesmom
Ngoja nikuulize ikiwa akawa yupo vizuri kwenye sex anakulizisha na pia anakuonesha upendo kwa kiwango Cha juu ila tu ana sura mbaya vipi utampenda au hautampenda?Sijui sababu zinakua nini hadi kujivika bomu hivo