Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 332
- 549
- Thread starter
- #21
unamaanisha nini fafanua kaka jambaziUnao, Ila ni negative.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamaanisha nini fafanua kaka jambaziUnao, Ila ni negative.
umeniconfuse bro hii damu kali ndio vp vp inakuwa?au imechanganyika na haya makonyagi🙄Una damu kali
vinaitwaje hivi vinasaba nivitafute google ama kuna kipimo cha kupima ili kujua kiranga?Kuna wakati nilisoma utafiti kuhusu sex workers wa Nairobi waliokuwa wanajamiana bila kinga na hawakupata HIV.
Ikawa inasemwa kwamba kuna watu wana vinasaba (genes) vinavyowafanya wasipate maambukizi.
Labda na wewe una vinasaba hivyo.
Utakufa na hiyo chanjo yako ya zama za mawe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mnachanja chanjo ya awali wakati wenzenu wapo chanjo ya tano.Nisikitika sana mpaka leo Hatujui kisa kidogo kama chako. Wasomi na wanasayansi wetu wanasubiri kuteuliwa tu. HIV na Malaria tumewaachia wazungu waumize vichwa, walete majibu za tafiti zao na tiba pia. Swala lako kama ni kweli basi, tungekuona ukitumika katika tafiti. Ngoja tumwachie MUNGU NI MWEZA WA YOTE. Ujanja ni kuchanjwa corona ipo. Umechanja lakini?
Swala langu ni la kweli mkuu.Nisikitika sana mpaka leo Hatujui kisa kidogo kama chako. Wasomi na wanasayansi wetu wanasubiri kuteuliwa tu. HIV na Malaria tumewaachia wazungu waumize vichwa, walete majibu za tafiti zao na tiba pia. Swala lako kama ni kweli basi, tungekuona ukitumika katika tafiti. Ngoja tumwachie MUNGU NI MWEZA WA YOTE. Ujanja ni kuchanjwa corona ipo. Umechanja lakini?
Moja yavyo, mutation yake, imeandikwa hapa na jarida la Nature, lakini hivi ni kwa wazungu zaidi.vinaitwaje hivi vinasaba nivitafute google ama kuna kipimo cha kupima ili kujua kiranga?
🤣🤣...Umetisha sana, unasoma tu Heading kuokoa mudaHupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Huku ndio kusoma kichwa Cha habari na kukoment! Huwezi kunyamanza Kama huna Cha kuandikaHupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Huna akiliItoshe kusema wakati wa kupata haujafika...
Sababu kama yako, ilifanya nikafeli sana enzi za sekondari. Kukurupuka.Hupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Huna akili
Hupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Wewe ndio hujaelewa hoja hapo jiongezeUmekurupuka kucomment.
Wewe huna akili unaishije kwa kukurupuka, jiongeze aisee utafeli, mwanaume mzima unakurupukaSababu kama yako, ilifanya nikafeli sana enzi za sekondari. Kukurupuka.
[emoji23][emoji23][emoji23]scan reading unaijua, wewe title tu inatosha kuliko kujichosha na long paragraphs, hafu kwanini wewe usi comment unachokijua Sasa mfyuuuHuku ndio kusoma kichwa Cha habari na kukoment! Huwezi kunyamanza Kama huna Cha kuandika
Wewe si uandike ulichoelewa mkuu, acheni viherehereUmesoma vizuri maelezo yake?