Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Sasa iweje shetani aliyemuasi Mungu ambaye amekosana na Mungu akubali kufanya kazi ya Mungu...
Shetani pale alifanya kazi zake za kuharibu, kuua na kuangamiza. Mungu alimpa ruhusa tu.
 
Muda wote niliokuwa nakueleza ina maana nilikuwa naongea peke yangu kama Joker?

Kama maelezo niliyokupa awali hukuyapa kipaumbele kuyaelewa, nini kinachofanya niamini maelezo unayotaka saizi utayazingatia?
Mbona unazunguka wewe mwenyewe pale mwishoni umesema hata kama hakitayajua mawazo specifically bado sio ushahidi wa kuwepo vitu beyond the physical world
 
Prove kwamba havipo just kindly answe the question
Nimekujibu hivyo kwakua nimeona mwenzetu uko na utaalamu wako wa kuweza kuthibitisha negative na ndio maana nikataka uthibitishe hana uthibitisho ili nijifunze
 
Sasa iweje shetani aliyemuasi Mungu ambaye amekosana na Mungu akubali kufanya kazi ya Mungu...

Na je hio ya Mungu kuweka kishawishi ili ushindwe mpaka umuombe mara kwa mara huoni it goes against characteristics zake ambazo ni mpenda wote na mwenye huruma ? Ingawa kwenye mpenda wote kuna maandiko mengi yanaonyesha favoritism (je hio ni weakness au strength)?

Mvutano wa kihisia unanogesha maisha. Hatuwezi kuwa kama maroboti ndo mana tumepewa kitu cha kutufanya tuwe na mabadiliko ya kihisia. leo una furaha kesho unanuna leo uko peace na mtu kesho mnagombana ilimradi tu maisha yasonge.

Favoritism ni kitu ambacho Mungu ametaka kiwepo ndo mana hata wewe ukija kuwa na watoto kuna mmoja utampenda sana kuliko wote.
 
Imagine umeweza kufanya identification ya mawazo yangu bila kile kifaa chako.😂 Simple proof kwamba yanaexist beyond the five senses.
Sasa kama nimeweza huoni kwamba unazidi kuipa nguvu hoja yangu na kui refute yakwako?

Unajua tumefika umbali wote huu na hakuna sehemu uliyo thibitisha chochote katika madai yako lundo uliyokuja nayo?
 
Mbona unazunguka wewe mwenyewe pale mwishoni umesema hata kama hakitayajua mawazo specifically bado sio ushahidi wa kuwepo vitu beyond the physical world
Tatizo la kusoma hoja kiupembuzi yakinifu ni janga la watu wengi humu jukwaani

Nilichokiandika na hiki ulichokuja kunukuu ni mambo mawili tofauti na hii inaonesha humakiniki na hoja iliyopo usoni mwako unafanya pupa kuijibu ili tu uonekane umeijibu
 
Ushajuliza kwa nini Solar system haijawahi kuwa na makosa yoyote miaka billions of years?

Unajua impact ya dunia hii kusimama kwa sekunde tu nini kitatokea?

Sasa kuhoji uumbaji ni makosa....Shetani si mwqnadamu ni nafsi na Mwenyezi Mungu pia ni nafsi...

Ulimwengu umeubwa kwa Sheria na shetani ana mamlaka kumjaribu mwanadamu that's why wakristo wanaamini Mwenyezi Mungu ikibidi atoe nafsi yake izaliwe kama mwanadamu ili kuvunja nguvu ya shetani..kumbuka shetani anaishi nasi hapa duniani.

Kwa leo panakutosha hapq unless kama una swali zaidi uliza.
 
Mwanzo 1:16-18

Unaelewa ilikuwa inazungumzia kuumbwa kwa nini?
Inazungumzia kuumbwa kwa jua na mwezi. Aliziweka juu katika mbingu (tunayoiita second heaven maana first heaven ni atmosphere) halafu zikatoa mwanga juu ya nchi ambayo tayari alikuwa ameshaiumba lakini ikaingia giza.

16 Mungu akaumba mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.

17 Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
 
Inazungumzia kuumbwa kwa jua na mwezi. Aliziweka juu katika mbingu (tunayoiita second heaven maana first heaven ni atmosphere) halafu zikatoa mwanga juu ya nchi ambayo tayari alikuwa ameshaiumba lakini ikaingia giza.

16 Mungu akaumba mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.

17 Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
Ambapo ilikuwa ni siku ya ngapi hiyo ambapo jua na mwezi vinaumbwa?
 
Sasa kama nimeweza huoni kwamba unazidi kuipa nguvu hoja yangu na kui refute yakwako?

Unajua tumefika umbali wote huu na hakuna sehemu uliyo thibitisha chochote katika madai yako lundo uliyokuja nayo?
Kwahiyo sasa hivi unakubali mawazo yanaexist in their own form beyond the five senses?
 
Pia kumbuka kuna Miungi wengine ambao wana nguvu na wanatenda miujiza pia kwa wawaaminio...refer kwa Nabii Elia alivyotaka kuwaaminisha watu ni Mungu yupo anastqhili kuabudiwa.

So Ulimwengu umeubwa kwa sheria ambazo mwanadamu ni vigumu mno kuiIjua zote.
 
Kwahiyo sasa hivi unakubali mawazo yanaexist in their own form beyond the five senses?
Kwani mwanzo nilikuwa najadiliana na nani kupitia hiyo ID Excute?

Probably mko shared watu zaidi ya mmoja inawezekana niliyemjibu alikuwa mwingine
 
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli na kwamba habari za kuwepo kwake si stories za kutungwa na watu tu?
Mungu ametupa Sign za uwepo wake, kutokana na Kitabu changu ninachokiamini. Pia kuna Tafiti mbalimbali zinazokazia.

Anasema Mtume wetu Muhammad (S.A.W) kwamba watu wote wamezaliwa katika Natural state ya kumuamini mungu ila ni Society ndio zinawafundisha vyengine ie Atheist, hili linatiliwa mkazo na tafiti mbalimbali duniani

1. Utafiti wa Innate Religion.
Kila mtoto anaezaliwa anaamini kuhusu Supernatural being, watoto wote wanakuwa na Dini asili ya kuamini mungu na Atheism inafundishwa.

Utafiti huu umefanywa Oxford University, Researcher 57 wamehusika maeneo tofauti 40 katika nchi 20 sehemu zote zenye dini na wasio na dini na zote zime conclude watoto wanazaliwa wakiamini Mungu na maisha baada ya Dunia


2. Tunamuogopa mungu hata kama akili zetu haziamini.

Utafiti mwengine very interesting even Atheist ambao hawaamini mungu miili yao ina wa betray, walichukuliwa Atheist 13 wakapewa maneno ya mabaya dhidi ya Mungu japo akili zao zipo sawa Ngozi zao zilikuwa zinaonesha uoga.


Ulifanya University of Helsinki Finland.


We examined whether atheists exhibit evidence of emotional arousal when they dare God to cause harm to themselves and their intimates. In Study 1, the participants (16 atheists, 13 religious individuals) read aloud 36 statements of three different types: God, offensive, and neutral. In Study 2 (N = 19 atheists), 10 new stimulus statements were included in which atheists wished for negative events to occur. The atheists did not think the God statements were as unpleasant as the religious participants did in their verbal reports. However, the skin conductance level showed that asking God to do awful things was equally stressful to atheists as it was to religious people and that atheists were more affected by God statements than by wish or offensive statements. The results imply that atheists' attitudes toward God are ambivalent in that their explicit beliefs conflict with their affective response

So mkuu Kumuamini Mungu ni natural miili yetu ipo programmed kuamini hilo na dalili zipo wazi.
 
Labda urudie kusoma utaelewa.
Ambapo sijaelewa ni wapi?

Umeyajibu maswali haya?

Kanuni za logical consistency zinaoneshaje uwepo wa Mungu? Mungu yupi? Unathibitishaje hilo? Uthibitisho wako una uthabiti gani?
 
Kwani mwanzo nilikuwa najadiliana na nani kupitia hiyo ID Excute?

Probably mko shared watu zaidi ya mmoja inawezekana niliyemjibu alikuwa mwingine
Jibu swali usizunguke zunguke mbona maswali yako nayajibu?
 
Siku ya nne
Na ili upate siku ni lazima dunia ijizungushe katikati ya jua na mwezi

Biblia imasema jua na mwezi viliumbwa siku ya 4

Kisayandi hiyo imekaaje?

Hizo siku 4 ziliwezaje kupita?
 
Back
Top Bottom