Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Binadamu ni kiumbe wa mwisho kabisa kuumbwa na Mungu. Kabla ya mwanadamu kuletwa kuishi katika dunia hii walikuwapo majini wakiishi na wao ndio walikuwa watawala, ila walikuja kufanya ufisadi mkubwa na umwagaji wa damu.Mungu alituma jeshi la malaika kuja kuwapiga vita na wengi walikimbilia mapangoni,misituni,majangwani ,baharini na kwenye visiwa. Mungu ndipo aliamua kuumba kiumbe mpya kuja kuwa mtawala/kiongozi katika dunia hii nae si mwingine bali ni mwanadamu. Malaika walistaajabu sana kwanini Mungu anataka kuumba kiumbe mwingine aje kuwa mtawala ardhini wakati majini walishafanya ufisadi na umwagaji wa damu mkubwa.? Mungu aliwajibu kuwa anayajua yale wasiyoyajua.So watulie waone ufundi wake.


Nikijibu swali lako ni kuwa Kifo kililuwapo kabla ya Adam na Mungu alitangulia kuumba Pepo na Moto kabla ya kutuumba . Ilikuwa ikijulikana kuwa kuna siku ya mwisho (Qiyama) ila hakuna anayejua itakuwa lini.

Kwa hiyo Hata Adamu na Hawa wasingekula lile tunda wangekufa tuu?
Si ndio unachojaribu Kueleza hapa?
 
Mtume Muhammadi keshamaliza huo uhasama.

Kwa kufanikiwa kumsilimisha Shetani na kwa sasa Shetani ni Muislamu safi kabisa.

Kwa sasa Allah na Shetani ni marafiki wa kupika na kupakua.
Na wote kwa pamoja wanamswalia mtume na kumtakia rehema.

Kumbukeni Allah aliumba Mtu, Majini na Ibirisi Shetani na viumbe vyote ili vimuabudu.

Tunamshukuru sana m'bora wa mitume kwa kufanikisha hili swala.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa unachekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waambie hao
Ambao hawana msamaha kwa mkosaji.
Nimekuambia ni bora Atheists au Satanist wanasameheana wao kwa wao.
Waislamu wao kwa wao wanachinjana kila kukicha huko kwenye nchi za Kiislamu.

Baada ya Swala wanamwagika kiwanjani kukata vichwa wazinzi na mashoga. Na kukata mikono ya wezi waislamu wenzao.

Huku wengine wakiwa pembeni kushangilia hayo matendo.

Islam is the deadliest religion.
Hata huku kwetu wanalilia Sharia Laws ili wachinje vijana wetu.

Furaha yao ni kuona wanamwaga damu za binadamu wenzao jambo ambalo Mungu mwenyewe halipendi na amri yake inatamka neno moja tu.

USIUE.

Allah anasema UWA.

Bila kupepesa macho wala kuona aibu.
Allah ni Shetani. Yaani Ibirisi mkuu.

Njoeni sasa mnichinje pumbaf zenu.

Bible hiyo inatetea wizi na uuwaj pia mungu kaua watu pia kwenye bible
 
Sahihi kabisa unachosema.

Je hizo Sign zikiwa kwa mamia
Wingi si hoja, wingi hauna influence yeyote ya kufanya madai yanayosemwa na wengi yawe ni kweli

Tuna rekodi za maelfu ya watu kuamini jua linazunguka na kwamba dunia ni bapa

Wingi wao haukuwa na mchango wowote kufanya yale wanayoyawaza yawe kweli
 
Wewe kama hujaelewa maelezo niliyokupa ungefanya kitu simple tu, kaangalie original manuscript na tafsiri za maneno yaliyotumika ili ujiridhishe badala ya kuamua kubisha.

Kufikia hapa tunaweza kukubaliana kutokubaliana kwasababu wewe unao msimamo unaoufuata na mimi ninao wakwangu.
Ungekuwa una hakika sijaelewa usinge ni recommend kuitafuta hiyo original

Bila shaka unafahamu nimeelewa ila umekosa maelezo mazuri ya kufafanua hilo jambo bila kuipinga biblia na bila kuipinga sayansi

Hapo ndio nilipouona mtihani wako

Siku ya 1 hadi ya 3 ziliwezaje kupita bila jua na mwezi kuwepo?

Elezea hilo jambo kisayansi huku ukiwa ja taadhali ya kutokosoa maandiko ya kitabu chako
 
Wingi si hoja, wingi hauna influence yeyote ya kufanya madai yanayosemwa na wengi yawe ni kweli

Tuna rekodi za maelfu ya watu kuamini jua linazunguka na kwamba dunia ni bapa

Wingi wao haukuwa na mchango wowote kufanya yale wanayoyawaza yawe kweli
Simaanishi wingi wa watu namaanisha wingi wa Signs.

Kuna Signs ngapi kuonesha Jua ni Mungu?

Mfano kama sisi waisilamu
1. Kuna predictions kibao ambazo Mwenyez Mungu amepromise zimetokea, tunaongelea makumi kama sio mamia ya predictions

2. Vitu ambavyo civilization ya nyuma ilikuwa haivijui na ya sasa imeprove kwamba ni kweli

3. Vitu ambavyo vilipotea kwenye Historia na baadae kugunduliwa etc.

Ni vitu ambavyo mwanadamu wa kawaida haviwezi kuvijua 100% bila kukosea.
 
Kuamini creator this is wrong step

Kama unaona ni right step basi unapaswa kuamini na creator wa huyo creator naye yupo

Kusema watoto wanaamini Mungu kwasababu wamezaliwa hivyo huo ni uongo, ila unaweza kuwa sahihi kulingana na muktadha

Kivipi nasema hivyo?

Kwasbabu kwa falsafa za kiislamu wanaamini kilw mtu alizaliwa muislamu, so kama hoja yako iliegemea hapa basi waweza kuwa sahihi katika mjadala na waislamu lakini kauli mbiu hiyo haiwezi kuwa universal.
Hii logic ilishakuwa debunked na hii statemnt.

"Who paint the painter?"

Sababu picha imechorwa haimaanishi mchoraji amechorwa.

Sababu binadamu Ametengenezwa haimaanishi Mungu nae Ametengenezwa, Simple Logic.
 
Simaanishi wingi wa watu namaanisha wingi wa Signs.

Kuna Signs ngapi kuonesha Jua ni Mungu?

Mfano kama sisi waisilamu
1. Kuna predictions kibao ambazo Mwenyez Mungu amepromise zimetokea, tunaongelea makumi kama sio mamia ya predictions

2. Vitu ambavyo civilization ya nyuma ilikuwa haivijui na ya sasa imeprove kwamba ni kweli

3. Vitu ambavyo vilipotea kwenye Historia na baadae kugunduliwa etc.

Ni vitu ambavyo mwanadamu wa kawaida haviwezi kuvijua 100% bila kukosea.
Predictions ya kufata series ya matukio sio kitu cha kushangaza mzee, kitu cha kushangaza iwe ni predictions with exactly informations

Mbona watu wengi wame predict vingi na vimetokea je hao nao tuwaite Mungu?

Mfano mzuri wa prefiction ni huu, Predict sema tarehe fulani , ya mwezi fulani, ya mwaka fulani, saa fulani eneo fulani kuna kitu fulani kitafanyika

Watu watakaa macho sasa kusikilizia hicho kitu kama kitatokea

Hiyo ndio prediction sasa na uiseme hiyo sio kwa kuangalia ra

Sio kutuambia kuwa

Miaka ijayo kutaakuwa na vita, taifa moja litaenda kupigana na taifa lingine

Huu sio ubashiri huu ni uhuni uliowekwa kwa sura nyingine, nani asiyejua kuwa jinsi watu wanavyozidi kuishi maswala ya kigunduzi yanaongezeka?

Unatabiri kusema miaka ya mbeleni kutakuwa na watu wameenda kuishi mars. Huo sio utabiri hizo ni calculation based on record

Sema tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2030 watu wataenda mars kwa kifaa fulani (unakitaja na jina) ili tarehe hiyo ikifika watu wakuone muongo

Sio unakuja na backup hutaji tarehe ili hata ulicho tabiti kksipotokea tushindwe kukushika uongo
 
Ndio maana wametumia watoto kwenye Household za dini na Household zisizo na dini. Mtoto wako kiranga ambaye kwako hujamfundisha kuhusu dini akionesha kuwa interested na mungu bila kufundishwa kuhusu Mungu hio haitokani na Practical realities za Maisha.

Mimi nimeleta utafiti, vyema na wewe unijibu kwa utafiti, maana ningekueleza blah blah ungesema haijakuwa proved.

Huo ni utafiti Multi country, Nchi 20 si jambo dogo. Je kuna utafiti unasema otherwise kama ndio ni upi?
Mtoto wangu akionesha interest za kutaka kumjua James Bond kwa sababu mimi nina movies nyingi sana za James Bond, hilo linamaanisha James Bond yupo kweli?

Una prove vipi hiyo unayoiita "innate religion" inatoka kwa Mungu na si natural morality tu?



 
Kama "Mwana wa Mungu, na Mungu Yesu Kristo" na "Allah" kwa nguvu nasifa wanazodaiwa kuwa nazo, wangeamua kumshughulikia huyo anayeitwa "shetani", basi kusingekuwa na haja ya hizi dini.
 
Mungu ametupa Sign za uwepo wake, kutokana na Kitabu changu ninachokiamini. Pia kuna Tafiti mbalimbali zinazokazia.

Anasema Mtume wetu Muhammad (S.A.W) kwamba watu wote wamezaliwa katika Natural state ya kumuamini mungu ila ni Society ndio zinawafundisha vyengine ie Atheist, hili linatiliwa mkazo na tafiti mbalimbali duniani

1. Utafiti wa Innate Religion.
Kila mtoto anaezaliwa anaamini kuhusu Supernatural being, watoto wote wanakuwa na Dini asili ya kuamini mungu na Atheism inafundishwa.

Utafiti huu umefanywa Oxford University, Researcher 57 wamehusika maeneo tofauti 40 katika nchi 20 sehemu zote zenye dini na wasio na dini na zote zime conclude watoto wanazaliwa wakiamini Mungu na maisha baada ya Dunia


2. Tunamuogopa mungu hata kama akili zetu haziamini.

Utafiti mwengine very interesting even Atheist ambao hawaamini mungu miili yao ina wa betray, walichukuliwa Atheist 13 wakapewa maneno ya mabaya dhidi ya Mungu japo akili zao zipo sawa Ngozi zao zilikuwa zinaonesha uoga.


Ulifanya University of Helsinki Finland.


We examined whether atheists exhibit evidence of emotional arousal when they dare God to cause harm to themselves and their intimates. In Study 1, the participants (16 atheists, 13 religious individuals) read aloud 36 statements of three different types: God, offensive, and neutral. In Study 2 (N = 19 atheists), 10 new stimulus statements were included in which atheists wished for negative events to occur. The atheists did not think the God statements were as unpleasant as the religious participants did in their verbal reports. However, the skin conductance level showed that asking God to do awful things was equally stressful to atheists as it was to religious people and that atheists were more affected by God statements than by wish or offensive statements. The results imply that atheists' attitudes toward God are ambivalent in that their explicit beliefs conflict with their affective response

So mkuu Kumuamini Mungu ni natural miili yetu ipo programmed kuamini hilo na dalili zipo wazi.
Hiyo research ya Finland, mwanamme rijali mikidinda kwa kuwa nimemuangalia Zena, mwanamke mzuri wa kuchorwa, mwenye maumbile ya kuvutia , kwenye gazeti la SANI, hilo linamaanisha huyo katuni Zena ni mtu kweli?
 
Predictions ya kufata series ya matukio sio kitu cha kushangaza mzee, kitu cha kushangaza iwe ni predictions with exactly informations

Mbona watu wengi wame predict vingi na vimetokea je hao nao tuwaite Mungu?

Mfano mzuri wa prefiction ni huu, Predict sema tarehe fulani , ya mwezi fulani, ya mwaka fulani, saa fulani eneo fulani kuna kitu fulani kitafanyika

Watu watakaa macho sasa kusikilizia hicho kitu kama kitatokea

Hiyo ndio prediction sasa na uiseme hiyo sio kwa kuangalia ra

Sio kutuambia kuwa

Miaka ijayo kutaakuwa na vita, taifa moja litaenda kupigana na taifa lingine

Huu sio ubashiri huu ni uhuni uliowekwa kwa sura nyingine, nani asiyejua kuwa jinsi watu wanavyozidi kuishi maswala ya kigunduzi yanaongezeka?

Unatabiri kusema miaka ya mbeleni kutakuwa na watu wameenda kuishi mars. Huo sio utabiri hizo ni calculation based on record

Sema tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2030 watu wataenda mars kwa kifaa fulani (unakitaja na jina) ili tarehe hiyo ikifika watu wakuone muongo

Sio unakuja na backup hutaji tarehe ili hata ulicho tabiti kksipotokea tushindwe kukushika uongo
Na predict kesho jua litaonekana kuchomoza duniani.

Kesho jua likichomoza na mimi nitakuwa Mungu?
 
Kwa hiyo Hata Adamu na Hawa wasingekula lile tunda wangekufa tuu?
Si ndio unachojaribu Kueleza hapa?
Yes wangekufa ...kwasababu kifo kiliumbwa kabla ya kuumbwa kwa viumbe. Hata malaika pia watakufa licha ya kuwa wao wamepewa umri mrefu sana kuliko viumbe wengine but when their appointed time come ,they will die. Nothing will remain but Al mighty GOD
 
Sahihi kabisa unachosema.

Je hizo Sign zikiwa kwa mamia
Kuna wakati watu wengi waliamini jua linazunguka dunia.

Je, hilo lilifanya kuwa jua linazunguka dunia kweli?

The truth is not democratic useme kwamba watu wengi tukisema jua linazunguka dunia, basi itakuwa kweli jua linazunguka dunia.
 
Predictions ya kufata series ya matukio sio kitu cha kushangaza mzee, kitu cha kushangaza iwe ni predictions with exactly informations

Mbona watu wengi wame predict vingi na vimetokea je hao nao tuwaite Mungu?

Mfano mzuri wa prefiction ni huu, Predict sema tarehe fulani , ya mwezi fulani, ya mwaka fulani, saa fulani eneo fulani kuna kitu fulani kitafanyika

Watu watakaa macho sasa kusikilizia hicho kitu kama kitatokea

Hiyo ndio prediction sasa na uiseme hiyo sio kwa kuangalia ra

Sio kutuambia kuwa

Miaka ijayo kutaakuwa na vita, taifa moja litaenda kupigana na taifa lingine

Huu sio ubashiri huu ni uhuni uliowekwa kwa sura nyingine, nani asiyejua kuwa jinsi watu wanavyozidi kuishi maswala ya kigunduzi yanaongezeka?

Unatabiri kusema miaka ya mbeleni kutakuwa na watu wameenda kuishi mars. Huo sio utabiri hizo ni calculation based on record

Sema tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2030 watu wataenda mars kwa kifaa fulani (unakitaja na jina) ili tarehe hiyo ikifika watu wakuone muongo

Sio unakuja na backup hutaji tarehe ili hata ulicho tabiti kksipotokea tushindwe kukushika uongo
Mfano Utabiri

-kwamba Mtume atawapiga waroma at that time mtume alikuwa na kigenge tu cha watu sembuse jeshi na Roma ni super power ambayo wanajeshi tu wapo in terms of Million. Mfano wake leo hii nitabiri wamakonde wataipiga Usa ina Mashiko right?

-utabiri wa kwamba Mabedui watashindana kujenga Maghorofa marefu Duniani. Mfano wake leo nitabiri Wamasai watashinda kujenga maghorofa marefu duniani ina mashiko pia? Hawa mabedui kwa maelfu ya miaka wanachunga tu kondoo huko jangwani na Ngamia ila ghalfla tu within short time Burj Khalifa, Milad, princess, clock towers etc zote zipo huko.

Kuna tabiri kibao nyengine zinatajwa wazi wazi hakuna fumbo lolote

 
Mtume Muhammadi keshamaliza huo uhasama.

Kwa kufanikiwa kumsilimisha Shetani na kwa sasa Shetani ni Muislamu safi kabisa.

Kwa sasa Allah na Shetani ni marafiki wa kupika na kupakua.
Na wote kwa pamoja wanamswalia mtume na kumtakia rehema.

Kumbukeni Allah aliumba Mtu, Majini na Ibirisi Shetani na viumbe vyote ili vimuabudu.

Tunamshukuru sana m'bora wa mitume kwa kufanikisha hili swala.
Kama kawaida yenu enyi mliokufuru, kufanya kejeli dhidi ya waliomuamini Mungu. Hamna jambo jipya mtakuja kulifanya ambalo baba zenu waliowatangulia ktk kukufuru hawakulifanya. Huwa mnarudi yale yale ila karibu mtakuja jua. Mwanadamu umri wako ni mchache sana.
 
Mtoto wangu akionesha interest za kutaka kumjua James Bond kwa sababu mimi nina movies nyingi sana za James Bond, hilo linamaanisha James Bond yupo kweli?

Una prove vipi hiyo unayoiita "innate religion" inatoka kwa Mungu na si natural morality tu?



So unakubali kumuamini mungu ni morality?
 
Back
Top Bottom