Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwani Mungu aliumba Majini Mashetani na watu kwa sababu gani ?
Si ili wamwabudu sasa kwao kumrudia Mungu kama walimkosea kuna shida gani.?
Unaposema kuwa Mungu kaumba majini mashetani na watu ili wamuabudu una maana gani?

Maandiko yanasema kuwa Mungu aliumba Majini na Watu ili wamuabudu. Ushetani ni sifa ambayo kiumbe hujivika nayo baada ya kuja hapa duniani. Ila kila kiumbe kinazaliwa kikiwa safi kabisa,hakina dhambi hata moja ila maisha ya uasi ndio hukipelekea kuwa na sifa ya ushetani.
 
Na predict kesho jua litaonekana kuchomoza duniani.

Kesho jua likichomoza na mimi nitakuwa Mungu?
Utabiri wa aina hiyo haukubadiliki kwasababu hilo ni jambo ambalo linafanyika siku zote

Na usikute umesema hivyo kwa kuzingatia takwimu za TMA ambazo unafahamu ni 75% kutokea

Hata katika betting za mpira kubashiri ushindi kwa timu ambayo ina kikosi kizuri huwa hawatoi odds nyingi kwasababu wanajua asilimia za timu bora kushinda ni nyingi

Ila ukasema unatabiri hattrick kwa golikipa kutoka timu pinzani ambayo haina kikosi bora, hiyo ni superb
 
1. Tafiti yako wapi imesema morality/ innate religion imetoka kwa Mungu?

2. Mimi nimekuweka tafiti zinazosema kwamba morality ni matokeo ya natural evolution, na haihitaji Mungu kuielezea.
tafiti yangu haina mahusiano na unachosema, kitu kinaweza kisiwe na Morality na kikamuamini mungu thats my point, kuna majambazi, wauaji, wanasiasa etc moral ni sifuri ila wanaamini kuhusu mungu, so wewe unaforce as if ni kitu kimoja wakati sio.

kwenye huu utafiti Dr Benett amekuwa specific kabisa na quote

Children’s normally and naturally developing minds make them prone to believe in divine creation and intelligent design. In contrast, evolution is unnatural for human minds; relatively difficult to believe.

Dr Barrett claimed anthropologists have found that in some cultures children believe in God even when religious teachings are withheld from them

so huu utafiti ni CHILD vs God na sio Morality usihamishe magoli, watoto hata ambao toka wamezaliwa hawajawahi kukutana na herufi ya dini still wanadevelop imani kwa mungu, so natural binadamu tukizaliwa tunaamini kuhusu Mungu.

so kama utafiti huu haupo sahihi unao utafiti unao disprove?
 
Utabiri wa aina hiyo haukubadiliki kwasababu hilo ni jambo ambalo linafanyika siku zote

Na usikute umesema hivyo kwa kuzingatia takwimu za TMA ambazo unafahamu ni 75% kutokea

Hata katika betting za mpira kubashiri ushindi kwa timu ambayo ina kikosi kizuri huwa hawatoi odds nyingi kwasababu wanajua asilimia za timu bora kushinda ni nyingi

Ila ukasema unatabiri hattrick kwa golikipa kutoka timu pinzani ambayo haina kikosi bora, hiyo ni superb
Kutabiri kitu halafu kikatokea hakuthibitishi lolote zaidi ya kwamba umetabiri kitu halafu kikatokea.

Kuna wazungu walikuja Africa wakakuta watu hawajui geography, wakatabiri jua litapatwa siku fulani.

Waafrika hawakujua kutabiri kupatwa kwa jua.

Jua lilivyopatwa siku ile waliyotabiri wazungu, wale waafrika wakawaona hawa wazungu ni miungu, wanajua kutabiri jua litapatwa siku gani.

Kumbe ile ilikuwa ni sayansi tu ambayo Waafrika walikuwa hawaijui.
 
tafiti yangu haina mahusiano na unachosema, kitu kinaweza kisiwe na Morality na kikamuamini mungu thats my point, kuna majambazi, wauaji, wanasiasa etc moral ni sifuri ila wanaamini kuhusu mungu, so wewe unaforce as if ni kitu kimoja wakati sio.

kwenye huu utafiti Dr Benett amekuwa specific kabisa na quote





so huu utafiti ni CHILD vs God na sio Morality usihamishe magoli, watoto hata ambao toka wamezaliwa hawajawahi kukutana na herufi ya dini still wanadevelop imani kwa mungu, so natural binadamu tukizaliwa tunaamini kuhusu Mungu.

so kama utafiti huu haupo sahihi unao utafiti unao disprove?
Mtu akisema watoto wanaamini katika Mungu naturally ndiyo uthibitisho kwamba Mungu yupo?

watoto wakila mavi pia utasema mavi ni chakula kizuri kwa sababu watoto wanakula?

Unaelewa katika logic kuna fallacy inaitwa argument from nature/ appeal to nature?

nature.PNG



 
That is not how debunk works

Tunaweza kusema hivyo hivyo hata kwa vitu vingine ambavyo hautakuwa tayari kukubali kuwa havijaumbwa

Naweza kusema ulimwengu hauna chanzo, kuhoji chanzo cha ulimwengu unakuwa unafanya kosa la kuuliza mchoraji wa mchoro amechorwa na nani.

Utakubali?

Kama jibu litakuwa ni kinyume basi lazima tukubaliane dhana ya painter ni mbinu ya kukimbia uwajibikaji wa kujibu hoja
moja ya sifa ya Mungu hafanani na Chochote, na sababu akili ya mwandamau haiwezi mfananisha Mungu na chochote huwezi ku explain atleast kwa kutumia akili zetu. so kama Mungu ametengenezwa tayari huyo sio Mungu ameshakosa hio sifa.
 
Mtu akisema watoto wanaamini katika Mungu naturally ndiyo uthibitisho kwamba Mungu yupo?

watoto wakila mavi pia utasema mavi ni chakula kizuri kwa sababu watoto wanakula?

Unaelewa katika logic kuna fallacy inaitwa argument from nature/ appeal to nature?

View attachment 2394081


so kifupi huna tafiti ya kudisprove, wasalimie.
 
Mfano Utabiri

-kwamba Mtume atawapiga waroma at that time mtume alikuwa na kigenge tu cha watu sembuse jeshi na Roma ni super power ambayo wanajeshi tu wapo in terms of Million. Mfano wake leo hii nitabiri wamakonde wataipiga Usa ina Mashiko right?

-utabiri wa kwamba Mabedui watashindana kujenga Maghorofa marefu Duniani. Mfano wake leo nitabiri Wamasai watashinda kujenga maghorofa marefu duniani ina mashiko pia? Hawa mabedui kwa maelfu ya miaka wanachunga tu kondoo huko jangwani na Ngamia ila ghalfla tu within short time Burj Khalifa, Milad, princess, clock towers etc zote zipo huko.

Kuna tabiri kibao nyengine zinatajwa wazi wazi hakuna fumbo lolote

Kila kitu kinakuwa na viashiria, mtume inawezekana alikuwa weak katika wakati ule ila juhudi zake za kuniimarisha kujiandaa kuwa threat zilionekana mapema.

Mtabiri kusema mtume atakuja kuwapiga waroma wakati dalili za kujifua, na uhasama kati yake na waroma zilionekana mapema, hiyo haifanyi story iwe ya kushangaza.

Mtabiri katumia statistic kwamba kila kitu kinapita njia hii

Huu ni utabiri wa kawaida na unafanywa na watu wengi, na wengine hata hawasikiki kwasbabu sio big issue

Ila kama alisema tarehe fulani ya mwezi fulani na mwaka fulani saa fulani na kweli siku hiyo aliyoisema jambo hilo likatokea hapo naweza kulichukulia jambo hilo kwa kustaajabisha
 
moja ya sifa ya Mungu hafanani na Chochote, na sababu akili ya mwandamau haiwezi mfananisha Mungu na chochote huwezi ku explain atleast kwa kutumia akili zetu. so kama Mungu ametengenezwa tayari huyo sio Mungu ameshakosa hio sifa.
Sifa ya kutofanana na chochote hata kisichopo nacho kina sifa hiyo hiyo

Hata visivyopo navyo ni ngumu kueleza kwa akili ya watu kwasababu havipo

Sasa utajuaje kama kutoelezeka kwa Mungu hakuchangiwi na kutokuwepo kwake?
 
Kila kitu kinakuwa na viashiria, mtume inawezekana alikuwa weak katika wakati ule ila juhudi zake za kuniimarisha kujiandaa kuwa threat zilionekana mapema.

Mtabiri kusema mtume atakuja kuwapiga waroma wakati dalili za kujifua, na uhasama kati yake na waroma zilionekana mapema, hiyo haifanyi story iwe ya kushangaza.

Mtabiri katumia statistic kwamba kila kitu kinapita njia hii

Huu ni utabiri wa kawaida na unafanywa na watu wengi, na wengine hata hawasikiki kwasbabu sio big issue

Ila kama alisema tarehe fulani ya mwezi fulani na mwaka fulani saa fulani na kweli siku hiyo aliyoisema jambo hilo likatokea hapo naweza kulichukulia jambo hilo kwa kustaajabisha
ngoja nikuulize swali probability ya

1. wamakonde kupigana vita na USA na kuwashinda
2. baada ya hivyo vita wapigane na China washinde
3. baada ya Hapo wapigane na Urusi wawashinde

leo hii mtu akiclaim hivyo na ikatokea ni kawaida?
 
so kifupi huna tafiti ya kudisprove, wasalimie.
Sijakupa tafiti tu, nimekupa mpaka tafiti ya tafiti Meta.

Imekusanya tafiti kibao.

Tatizo, unajua kusoma kw aufahamu? Au unaacha emotions za kidini zikuendeshe katika mjadala wa tafiti za kisayansi?

Wewe tafiti yako imeanzia kwenye logical fallacy ya appeal to nature, yani ilipoanzia tu ni kwenye fallacy ya appeal to nature, kwa hivyo, chochote kitakachofuatia hapo kimeanzia kwenye fallacy.

nature.PNG
 
Sifa ya kutofanana na chochote hata kisichopo nacho kina sifa hiyo hiyo

Hata visivyopo navyo ni ngumu kueleza kwa akili ya watu kwasababu havipo

Sasa utajuaje kama kutoelezeka kwa Mungu hakuchangiwi na kutokuwepo kwake?
sababu claim zake na sign zake zinatokea kila siku? vitu ambavyo kikawaida ni hakuna binadamu ameweza fanya toka kuumbwa kwa ulimwengu?
 
Sijakupa tafiti tu, nimekupa mpaka tafiti ya tafiti Meta.

Imekusanya tafiti kibao.

Tatizo, unajua kusoma kw aufahamu? Au unaacha emotions za kidini zikuendeshe katika mjadala wa tafiti za kisayansi?

Wewe tafiti yako imeanzia kwenye logical fallacy ya appeal to nature, yani ilipoanzia tu ni kwenye fallacy ya appeal to nature, kwa hivyo, chochote kitakachofuatia hapo kimeanzia kwenye fallacy.

View attachment 2394101
usijali mkuu, naomba wapelekee OXford hii hoja yako, umedisprove tafiti yao iliocost 1.9M, wamepoteza zaidi ya bilioni 4 bure, wajinga kweli.
 
usijali mkuu, naomba wapelekee OXford hii hoja yako, umedisprove tafiti yao iliocost 1.9M, wamepoteza zaidi ya bilioni 4 bure, wajinga kweli.
Mimi sijadiliani na Oxford, najadiliana na wewe, labda wewe wapelekee hao Oxford unaowaona ama Mungu wako hawawezi kukosea, ama wewe huwezi kuwanukuu nje ya muktadha wao.

Nina wasiwasi kama unajua kusoma kwa ufahamu na kutafsiri tafiti kwa kina.

Ndiyo maana ukiona tafiti inayosema kwamba watoto wanaonekana kuamini Mungu yupo naturally, unatafsiri huo kama ushahidi kwamba Mungu yupo.

Bila kujua kwamba inawezekana kabisa watoto wakaamini Mungu yupo bila Mungu kuwepo.

Au watoto wanaweza kuamini kwamba wanamuangalia mtu tofauti wanapojiangalia kwenye kioo, bila ya huyo mtu tofauti kuwepo.

Hujui hata kutafsiri hizo tafiti unazozileta hapa.
 
ngoja nikuulize swali probability ya

1. wamakonde kupigana vita na USA na kuwashinda
2. baada ya hivyo vita wapigane na China washinde
3. baada ya Hapo wapigane na Urusi wawashinde

leo hii mtu akiclaim hivyo na ikatokea ni kawaida?
Kila kitu kipo kwenye calculation

Inaweza ika sound absurd kwako kwasababu hujafanya utafiti kujua nini kinapelekea mtabiri kumpa advantage mmakonde

Maybe mchina na mmarekana kupitia migogoro yao watajikuta wameingia kwenye vita ya muda mrefu itakayo maliza silaha zao na resources

Vita ambayo ikawafanya wakose chakula na kuntegemea mmakonde ambaye shughuli ya kilimo inafanya vizuri kwasababu hakuna vita?

Vipi kama chakula hicho mmakonde anakitoa kwa kutegemea kitu kingine in return na kutokana na vita wanajikuta hawana cha kumlipa na kuingia kwenye mzigo mkubwa wa madeni?

Vipi katika hicho kipindi mmakonde aka take advantage ya kujiimarisha kwasbabu ana muda, resources za kujinoa kijeshi nk?

Ukiyajua hayo mapema bado utaona jambo hilo ni utabiri wa kushtua au ni kitu ambacho kinapita kwenye reli tu?
 
Kwani haiwezekani kwa mtu kuwa mtu wa hasira hasira, mtu mgomvi mgomvi, mtu mwenye matatizo ya akili yanayomfanya asijali morality, matatizo yaliyo katika level ya genetics, kumrithisha mtoto wake matatizo hayo hayo ya kutojali morality kwa kupitia hizo genetics?

Hujui kwamba matatizo mengine ya morality yanaendana na matatizo ya magonjwa ya akili, ambayo yanarithishwa kama vile unavyoweza kurithi magonjwa mengine kama kisukari, sickle cell etc?
What has morality to do with it?
Kuna watu wana matatizo ya akili ya kucheka cheka mda wote, wengine wanakuwa violent, wengine wanakuwa peaceful lakini hayo yote ni irrelevant tukija kwenye issue ya morality.
Lets understand what morality is kwanza...Morality is a set of CODES of conduct ambazo zina govern right from wrong.
Key word hapo ni Code...it means ni principles ESTABLISHED not inherited...Hizi codes zinaweza kuwa established na individual au jamii and they can change with time(refer issue ya ushoga)..... it means morality sio universal.
Morality inatengenezwa na jamii kupitia phylosophy, relogion au culture.
So kitu kinaweza kuwa moral katika jamii hii na kuwa immoral katika jamii nyingine, vile vile kitu kinaweza kuwa moral kichwani mwa huyu na kikawa immoral kichwani kwa mwingine.

Kwahyo kama ipo jamii ambayo kwao kuua ni moral basi it is Moral to them, who are we ro judge?
Ndomaana kuna jamii za canibals wanakula watu and its moral to them.

So by that definition of morality, Hakuna kitu kama inherited morality.
Huwezi kuinherit sense ya haki za ushoga na haki za wanawake, these things are established.
Morality is established.
Eg. In Middle east, it's immoral mwanamke kuonesha nywele wakati hapa bongo tunaachia tu.
So mtu anaweza kumrithisha kupitia DNA mwanae sense ya kufunika kichwa?
 
What has morality to do with it?
Kuna watu wana matatizo ya akili ya kucheka cheka mda wote, wengine wanakuwa violent, wengine wanakuwa peaceful lakini hayo yote ni irrelevant tukija kwenye issue ya morality.
Lets understand what morality is kwanza...Morality is a set of CODES of conduct ambazo zina govern right from wrong.
Key word hapo ni Code...it means ni principles ESTABLISHED not inherited...Hizi codes zinaweza kuwa established na individual au jamii and they can change with time(refer issue ya ushoga)..... it means morality sio universal.
Morality inatengenezwa na jamii kupitia phylosophy, relogion au culture.
So kitu kinaweza kuwa moral katika jamii hii na kuwa immoral katika jamii nyingine, vile vile kitu kinaweza kuwa moral kichwani mwa huyu na kikawa immoral kichwani kwa mwingine.

Kwahyo kama ipo jamii ambayo kwao kuua ni moral basi it is Moral to them, who are we ro judge?
Ndomaana kuna jamii za canibals wanakula watu and its moral to them.

So by that definition of morality, Hakuna kitu kama inherited morality.
Huwezi kuinherit sense ya haki za ushoga na haki za wanawake, these things are established.
Morality is established.
Eg. In Middle east, it's immoral mwanamke kuonesha nywele wakati hapa bongo tunaachia tu.
So mtu anaweza kumrithisha kupitia DNA mwanae sense ya kufunika kichwa?
Kwa hivyo kama morality si universal, inatengenezwa na jamii tu, morality ya hiyo jamii haiwezi kuvunjwa na kichaa kwa sababu huyo kichaa hajali hiyo morality?

Kama jamii ina moral code inayokataza kuua, lakini kuna kichaa ambaye ana matatizo ya genetics, kicha kiko genetically, hajali hiyo moral code, naye akamzaa kichaa aliyemritisha kutojali huko hiyo moral code genetically, hapo huwezi kuona kwamba kutojali hiyo collective moral code kumerithishwa genetically?
 
Kutabiri kitu halafu kikatokea hakuthibitishi lolote zaidi ya kwamba umetabiri kitu halafu kikatokea.

Kuna wazungu walikuja Africa wakakuta watu hawajui geography, wakatabiri jua litapatwa siku fulani.

Waafrika hawakujua kutabiri kupatwa kwa jua.

Jua lilivyopatwa siku ile waliyotabiri wazungu, wale waafrika wakawaona hawa wazungu ni miungu, wanajua kutabiri jua litapatwa siku gani.

Kumbe ile ilikuwa ni sayansi tu ambayo Waafrika walikuwa hawaijui.
Namimi hakuna sehemu nimesema utabiri unaotokea unathibitisha chochote

Zaidi nimeongelea madai yanayodaiwa kama utabiri kuyaongelea kiukubwa kama njia ya kuthibitisha jambo jingine kuwa sio sawa.

Nikatoa na mfano, kuwa kama hayo madai ya kiutabiri ndio hoja ya kuthibitisha habari za Mungu basi ilipaswa walau yaje yakiwa na full informations

Kama bible imeandikwa karne ya kwanza basi tabiri zake zilipaswa kuambatana na saa, tarehe, mwezi na mwaka wa tukio husika ili ikitokea watu watoe kongole kwa Mungu
 
Mimi sijadiliani na Oxford, najadiliana na wewe, labda wewe wapelekee hao Oxford unaowaona ama Mungu wako hawawezi kukosea, ama wewe huwezi kuwanukuu nje ya muktadha wao.

Nina wasiwasi kama unajua kusoma kwa ufahamu na kutafsiri tafiti kwa kina.

Ndiyo maana ukiona tafiti inayosema kwamba watoto wanaonekana kuamini Mungu yupo naturally, unatafsiri huo kama ushahidi kwamba Mungu yupo.

Bila kujua kwamba inawezekana kabisa watoto wakaamini Mungu yupo bila Mungu kuwepo.

Au watoto wanaweza kuamini kwamba wanamuangalia mtu tofauti wanapojiangalia kwenye kioo, bila ya huyo mtu tofauti kuwepo.

Hujui hata kutafsiri hizo tafiti unazozileta hapa.
ulitakiwa ulete hoja hii na sio uongo wa mwanzo na kuhamisha magoli, sijasema kama hii hoja inathibitisha Mungu yupo bali hii utafiti unathibitisha kauli ya Mtume kwamba binadamu wote tunazaliwa tukimuamini mungu ila makuzi yetu ndio yanatubadilisha, kasome vizuri comment ya mwanzo kabisa ulio ni quote.

na nimetoa hoja kwangu mimi naaamini Mungu yupo kwa Collection ya hizo Signs, kuna signs nyingi zisizo na idadi hii ikiwa moja wapo.
 
Namimi hakuna sehemu nimesema utabiri unaotokea unathibitisha chochote

Zaidi nimeongelea madai yanayodaiwa kama utabiri kuyaongelea kiukubwa kama njia ya kuthibitisha jambo jingine kuwa sio sawa.

Nikatoa na mfano, kuwa kama hayo madai ya kiutabiri ndio hoja ya kuthibitisha habari za Mungu basi ilipaswa walau yaje yakiwa na full informations

Kama bible imeandikwa karne ya kwanza basi tabiri zake zilipaswa kuambatana na saa, tarehe, mwezi na mwaka wa tukio husika ili ikitokea watu watoe kongole kwa Mungu
Kama Mungu anaweza kutabiri, kwa nini tunaambiwa mara alikasirika, mara alitaka kughairi uumbaji akaleta gharika.

Ina maana alishindwa kutabiri au vipi?
 
Back
Top Bottom