Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Hii logic ilishakuwa debunked na hii statemnt.

"Who paint the painter?"

Sababu picha imechorwa haimaanishi mchoraji amechorwa.

Sababu binadamu Ametengenezwa haimaanishi Mungu nae Ametengenezwa, Simple Logic.
Sio kila kitu kinachorwa... wengine hawachorwi wala hawajawahi kuchorwa....

Ila kuamini kwamba hii dunia ni so complicated hadi kwamba lazima ilikuwa created na being fulani lazima pia uamini kwamba huyo individual being lazima atakuwa more complicated hence kama complication mean you must be created hence na yeye alikuwa created !!!

And why one creator and not multiple ?!!!!
 
Mfano Utabiri

-kwamba Mtume atawapiga waroma at that time mtume alikuwa na kigenge tu cha watu sembuse jeshi na Roma ni super power ambayo wanajeshi tu wapo in terms of Million. Mfano wake leo hii nitabiri wamakonde wataipiga Usa ina Mashiko right?
Unajua kitu kinaitwa motivation ?!!!! Hata Wayahudi walikuwa wanapigwa sana na warumi miaka nenda rudi na walikuwa na Imani zao kwamba kuna siku atakuja messiah kuwaokoa sasa utasemaje wamakonde watawapiga USA wakati hakuna connection ?!!! Ila mababu zetu walikuwa wanasema kila Siku Kibanga atampiga mkoloni na eventually all empires fall and probability shows wanaowapinga ndio watawaangusha....
Mhhh ebu fafanua hapa na hizo ghorofa refu duniani wanajenga kwamba wenyewe ndio architects au zinajengwa kwao na hao Mabedui kwamba ndio mashindano yamekwisha ? Au kesho wakishindwa tutasema utabiri ulikuwa ni uongo....
Kuna matapeli huyu jamaa (Notradamus) aliitwa the Man who Saw Tommorrow Je na yeye alikuwa Mungu ?
 
Sawa wewe unayemtisha na kumuona duni yeye mwenye mtizamo tofauti na wako huoni kwamba na wewe ni walewale tu, tukiwa na open mind hapa huenda akabadilika akawa kama wewe ukimuonyesha kile unachokiamini wewe kwa mtizamo wake (sio kwa kutumia katiba yako lakini kama the only proof) sababu Katiba yako (Kitabu chako) kwake hakifanyi kazi na hakiamini ukishaamini kitabu hicho basi wewe ni muumini unayehitaji uelewa zaidi
 
If that was the case hakuna watu wangejiua ?!!!, Kuna saa na wakati kujiua ni shortcut yaani mpambano wa kitaa unakuwa mgumu zaidi....

Au hujasikia watu kwenye pain wanaomba wapewe sumu wafe!!!
 
Hakika hakuna haijuaye SIKU wa SAA.
Kunywa Thiodan hapo ya kutosha nina uhakika utajua kifo chako sio saa tu..., bali utakuwa accurate 100 percent in seconds na sio dakika...
 
Mungu anajua kuwa mtu huyu atachagua "A"

Mpaka hapo "A" ishakuwa ni lazima

Kama "A" ishakuwa lazima maana yake huyo mtu hawezi kuchagua vinginevyo

Kama huyo mru hawezi kuchagua vinginevyo, basi hayuko huru.

Hivyo kila kitendo afanyacho, atafanya akiwa hana uhuru

Ili uhuru uwepo inatakiwa kuwa na multiple options ambazo ni possible

Since "A" haiwezi kuepukika maana yake iko fixed, choice kuwa fixed....hakuna uhuru
 
Mungu haui watu.
Bali anawachukua na kuwa weka katika hatua nyingine.
Okay anawachukuaje kwa magonjwa usiku wakilala au anashuka na kunyofoa roho zao anawachukuaje tafadhali nieleweshe....
Mi ugomvi wangu ni hii imani ambayo watu wenye dhambi wanawaua watu wengine wenye dhambi kwa kisingizio cha wamemkosea Mungu.
Kwahio hawa wanaowauwa nani anawachukua ni Mungu anayewapeleka katika hatua nyingine ? au hawa wanaowauwa ndio wanachukuliwa..., yaani kuua na kuchukuliwa kuna tofauti ?
Hakuna Binadamu ambaye hatendi dhambi ndio maana Mungu katoa fursa ya kutubu kwake na ameahidi kusamehe.
Ingawa hii Shetani hakupewa ?
Kuchinja binadamu mwenza kwa kisingizio cha dini ni vitendo vya kishirikina kabisa.

Mungua ashatoa amri USIUE.
Ila ukiua si anakufa na kama siku zake hazijafika wewe usingemuua nini kingemuua Covid ?
 
Kwahio in Short dhambi kubwa kuliko zote kwa Imani yao ni wale wanaoamini Mungu Tofauti na unayemwamini wewe ?

Au sijakupata vema ?
 
Kunywa Thiodan hapo ya kutosha nina uhakika utajua kifo chako sio saa tu..., bali utakuwa accurate 100 percent in seconds na sio dakika...
watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa
 
Kwahio Dhambi / Ouvu uliumbwa kabla ya Shetani ? , Nani aliumba huu Uovu ?
Kwenye hii vita ya mbingu malaika walikuwa wanakufa au wanapigwa vipi ? yaani ushindi kwenye hii vita ulikuwaje unaumia / unatoka damu unakufa au ? yaani ushindi ulikuja vipi
Okay sawa kwahio hata kama hatukujua kama mwanadamu atasamehewa basi huwezi kujua huenda Shetani huko mbeleni na yeye akapata msamaha ....
Wakati anamuumba Binadamu nadhani walipangia furaha ya milele ila happenstance ya dhambi ikafanya wapewe adhabu kwahio huenda kuna happestances nyingine au kama mnavyosema huenda siku/ miaka kwenye bible haimaanishi siku au miaka yetu huenda milele sio milele
Anyway asante kwa kujaribu kuelezea sababu according to Imani yako ila Shetani kutokupewa msamaha wakati na yeye anakosea kama Binadamu inaondosha ile Justice ambayo The Almighty tunajua kwamba anayo
 
You're making a grave mistake kwa kudhani kwamba utashi wa mwanadamu umeumbwa mithili ya utendaji wa saa ama mashine ama roboti. Uelewa wako wa free will ni duni sana.

Twende pole pole....

aliyepanga all the moving parts yaani kama umetengeneza saa

Kama tungeumbwa mfano wa robots, hakuna dhambi ambayo ingetokea kwa malaika wala mwanadamu, kwa sababu hakuna ambaye miongoni mwao angekuwa na uhuru wa kufanya kadiri ya misukumo ya fikra zake.

huwezi kusema mshale mkubwa una free will ya kusogea au hapana

Kwa hiyo tambua kwamba uwepo wa dhambi duniani ni ushahidi mkubwa beyond reasonable doubt kwamba mwanadamu ni free will living being.

Sasa swali Mungu ni mtengenezaji wa hatua zote hizo au ni mtazamaji na anajua kutokana na hizo movement kama mimi na wewe tunavyojua kutokana na the actual design?!!!!

kwahio my destiny was determined by your design.....
 
watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa
Huenda Babu zako wakasema kile tulichopigania na kufa ili tubaki na Imani zetu hawa waliokuja kututawala sasa hivi wanafanya kwa urahisi sana (kwahio our fight was wasted)

Sio Busara kuona mtizamo wa mwingine ni inferior kuliko wako tena ukizingatia ni Imani na sio factual things
 
Tulia mkuu wacha wenge
 

Hakuna uhusiano wowote kati ya KUJUA kwa Mungu na MAAMUZI ambayo mtu fulani ataweza kuyafanya baadaye. Hizi ni variables mbili zisizotegemeana (independent variables).

Mungu ana uwezo wa kusafiri kwenda mbele kiwakati na kuona mapema jinsi watu watakavyofanya maamuzi yao kwa utashi wao binafsi na kushuhudia matendo yao ya baadaye.

Matendo hayo hayatokani na Mungu per se, bali ni yaleyale kadiri ya utashi na maamuzi ya mwanadamu aliyeumba kwa uhuru wa kuchagua apendavyo.

God can see the future and the past events just as clearly as if they were happening at the present moment, right now before His very eyes. He has the ability to travel ahead in time, just as He can travel back into the past. As a matter of fact, He doesn't have to travel, for everything past, present and future is spread open before Him. His ability is not limited by space or time.

Again, the foreknowledge of God doesn't' translate into His predestination ama predetermination.
 
You're making a grave mistake kwa kudhani kwamba utashi wa mwanadamu umeumbwa mithili ya utendaji wa saa ama mashine ama roboti. Uelewa wako wa free will ni duni sana.
Kwahio kwa mfano wangu huo hapo juu conclusion yako ni kwamba nimefananisha saa / mashine na mtu ?

Hayo ya kuumbwa ni another argument altogether ambayo sitaki kuingia sababu hio ni Imani yako
Kama tungeumbwa mfano wa robots, hakuna dhambi ambayo ingetokea kwa malaika wala mwanadamu, kwa sababu hakuna ambaye miongoni mwao angekuwa na uhuru wa kufanya kadiri ya misukumo ya fikra zake.
Again tarudia mfano wangu wa saa kivingine..., Kwamba mshale mkubwa unafanya vile kwa kutegemea gears na connections za mishale mingine..., Kwahio kama Mungu aliumba mtu A na B na kumuekea coding zote na anajua kabisa mtu A atafanya nini hii ni Pre-written hata kabla hajazaliwa sasa huyu mtu A akataka kuua watoto wa mtu B iliyosababisha mtu B kutenda dhambi ya kumuua (usiue) mtu A ili asiue watoto wake..., unaweza kusema vipi Aliyetengeneza hawa hawa hausiki kwenye haya matukio ?

B kwenye free will huwezi kusema mtu kapewa chaguo la kuchagua either shetani au Mungu wakati anaambiwa akichagua shetani atachomwa milele na akichagua mungu ataishi milele kwa raha mustarehe (hio ni intimidation) na chaguo hilo ni la kushinikizwa....

Sasa kama wewe kwenye mfano wangu wa kukwambia kwamba ukifananisha mtabiri ambaye sio aliyetengeneza mvua radi na jua..., na Mungu ambaye ametengeneza hivyo vitu ni tofauti umetoa conclusion kwamba nafananisha binadamu na saa all I can say ni kwamba huenda tukakesha hapa....
Kwa hiyo tambua kwamba uwepo wa dhambi duniani ni ushahidi mkubwa beyond reasonable doubt kwamba mwanadamu ni free will living being.
And How is That......., Kwamba chagua dhambi nikuchome, au nichague mimi nisikuchome !!!!, Pili katika chaguzi zako nimeweka vikwazo ambavyo vitapelekea ugumu wa kunichagua ?
 
Wewe hujui kitu kuhusu maandiko!! Naona umenukuu andiko kutoka ktk kumbukumbu la torati ila nikikupa maandiko yahusuyo sheria kwenye biblia yako utageuka na kuyakataa kwamba yamepitwa na wakati.
Maandiko yana wakati, Yaani Expiry Date ?

Haya ya sasa yata-expire lini ?
 
Kwahio huenda baada ya kuchomwa moto kwa karne kadhaa ataomba msamaha na all will be well ?, Au huo moto unavumilika ? Yaani kusema naomba unisamehe ni vigumu kuliko kuvumilia moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…