Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Mtu akiwa ana smile ni dalili za uwepo wa mawazo mazuri lakini sio mawazo in their own form. Sijui kama unaiona tofauti.
nipe mfano wa hayo mawazo mazuri ambayo mtu yanaweza kumfanya a-smile ?!! (Kumbuka pia mtu akiwa anawaza kunakuwa na fikra / image fulani kichwani mwake ya existance fulani as he/she thinks it exists be it true or false)..

Kwahio kuna vitu abstract na kuwepo kwake haimaanishi kwamba kila kitu kipo sababu tu kuna vitu abstract...
 
Na tunapoelekea kwa sisi binadamu kujiona superior kunapungua kumbe hata huo usuperior wetu haupo kiasi hicho some characteristics tulizodhani tunazo peke yetu hata wanyama wanazo na hata machines zinaweza kuwa programmed kufanya hivyo
Kwahiyo wewe na wanyama mnao utashi sawa?
 
Unachanganya concept na maswali aliyokuuliza muuliza mada...

Kuna kujua outcome kutokana na possible outcomes (hata kwenye mpira kuna draw; win au loose) kila mtu anajua....

Kujua outcome kwamba itakuwa moja bila na ni wewe ndio uliwapanga marefa na kuwapa vidonge vya nguvu baadhi ya wachezaji na baadhi kuwapa vidonge vya uzingizi ni kwamba the match is fixed (pre-arranged) and no matter mtu A atafanya nini lazima outcome itakuwa kama ilivyokuwa fixed..., na kama mchezaji wenu bora atavunjwa mguu lazima ni wewe ulimweka culprit ili amvunje mkuu ili neno litimie....
Sasa kwa Mungu anajua Outcome na wewe una Free Will ya kufanya chochote na chochote unachofanya Mungu anajua kitatokea nini, Hio ni power ya Uungu ndio maana sisi sio Miungu.
Either that how kila kitu ni happenstances na huwezi kujua nini kitakuwa nini na hata kilichotokea sasa ukikirudia tena huenda outcomes zitakuwa tofauti unless otherwise unaplan every move na sio free will ya every moving part....
And Yes Outcome zitakua Tofauti, mfano unapoomba dua unachange destiny yako, mfano mwizi pengine aliandikiwa akamatwe na polisi kesho akamuomba Mungu amsaidie kuiba bila kukamatwa dua ikikubaliwa destiny inabadilika hakamatwi.
Kama kuna vifo vingi Tanzania vya watoto sababu ni wazembe sidhani kama ni wewe ndio uliwapangia wawe wazembe..., au sidhani kama uliona kwamba hii dunia sasa imezidi ngoja nimtengeze hitler ili afanye yake ili neno litimie kwamba mamilioni wafe kipindi hiki sababu kitabu changu kiweze kubalance kama nilivyotabiri watakufa watu kadhaa (na kama sio wewe unaoleta hivyo vifo ni shetani) basi na wewe uliumbe wengine ili wafe ili shetani afanye alichofanya at that instance.... yaani watoto kadhaa wabakwe (sababu tu free will ya mbakaji itimie)
Kwanza Mkuu Mungu hafanyi kitu on Air eti watu wamezidi amtengeneze Hitler, Dunia kila kitu kilishaandikwa na Wino umekauka,

Pia hayo mambo ya vifo kubaka na mambo mengine mabaya ni Mungu ameyaandika ndio, kwako wewe ulieumbwa na Emotion ndio unaya judge kwa Emotion kwa Mungu anaweza kukuua hata mara 100 akafufua na wala usikumbuke kitu.
 
What do you mean...

Unamtengeneza Shetani ambaye unajua kutokana na hii code ya free will atakuja kuasi.., na unaendelea kuweka hio code..., If this is not pre-arranging tell me what is....
Mimi pia huwa najiuliza hilo swali kwanini Mungu alimuumba shetani na kumpa freewill ingawaje alijua (sio kwamba aliprogram) kwamba atakuja kuasi. Hapo kwa maoni yangu kuna hekima ya Mungu iliyopo juu sana ambayo bado hatujaifahamu.

Kwahiyo kimsingi Mungu anafahamu yatakayotokea mbeleni lakini sio necessarily kwamba yanayotokea ni mambo aliyoyapanga.
 
Haya mambo nimekueleza kule mwanzoni, ulikuwa unasoma ili ubishane bila kuelewa?? Nilikuambia shetani alikuwa kwenye spirit world ambayo ni perfect na alifanya dhambi bila kuwa influenced na chochote hivyo hana fursa ya kusamehewa.
Usichanganye mada hili swali langu limekuja baada ya wewe kusema hakuna anayemfahamu Kristo na hakuguswa kwahio kama shetani alimfahamu vipi hakuguswa ? Achana na mambo ya msamaha sababu kama aliguswa asingetenda kosa au hakuwepo wakati shetani anatenda kosa ?

Hapa natumia statement zako mwenyewe sio zangu
 
nipe mfano wa hayo mawazo mazuri ambayo mtu yanaweza kumfanya a-smile ?!! (Kumbuka pia mtu akiwa anawaza kunakuwa na fikra / image fulani kichwani mwake ya existance fulani as he/she thinks it exists be it true or false)..

Kwahio kuna vitu abstract na kuwepo kwake haimaanishi kwamba kila kitu kipo sababu tu kuna vitu abstract...
Ukishaukubali uhalisia wa vitu abstract beyond the five senses basi hauna sababu ya kupinga uwepo wa ulimwengu wa roho.
 
Nani alikwambia Shetani (Shetty) anataka suluhu??🤣🤣🤣

Kimaandiko Shetani alishahukumiwa kitambo ni suala la muda tu Mungu kuja kutekeleza hukumu yake ya kumuondoa huyu kiumbe mtata Shetty

Hivyo hakuna nafasi ya wao kukaa meza moja kupatana

Na ndio maana kwa sasa akijua ana kipindi kifupi anazidi kutaka kuwaangusha watumishi wa Mungu.

Na anachochea kila aina ya uovu na ushenzi ili siku ya hukumu aondoke na wengi
 
nipe mfano wa hayo mawazo mazuri ambayo mtu yanaweza kumfanya a-smile ?!! (Kumbuka pia mtu akiwa anawaza kunakuwa na fikra / image fulani kichwani mwake ya existance fulani as he/she thinks it exists be it true or false)..

Kwahio kuna vitu abstract na kuwepo kwake haimaanishi kwamba kila kitu kipo sababu tu kuna vitu abstract...
Mkuu nime ku quote nikakupa na swali moja ika mpaka sasa hauja ni reply hebu naomba usome post yangu ili twende sawa
 
Usichanganye mada hili swali langu limekuja baada ya wewe kusema hakuna anayemfahamu Kristo na hakuguswa kwahio kama shetani alimfahamu vipi hakuguswa ? Achana na mambo ya msamaha sababu kama aliguswa asingetenda kosa au hakuwepo wakati shetani anatenda kosa ?

Hapa natumia statement zako mwenyewe sio zangu
Wewe mwenyewe tunapokuambia habari za Kristo moyo wako unapata mguso lakini unapuuzia.
 
Unachanganya concept na maswali aliyokuuliza muuliza mada...

Kuna kujua outcome kutokana na possible outcomes (hata kwenye mpira kuna draw; win au loose) kila mtu anajua....

Kujua outcome kwamba itakuwa moja bila na ni wewe ndio uliwapanga marefa na kuwapa vidonge vya nguvu baadhi ya wachezaji na baadhi kuwapa vidonge vya uzingizi ni kwamba the match is fixed (pre-arranged) and no matter mtu A atafanya nini lazima outcome itakuwa kama ilivyokuwa fixed..., na kama mchezaji wenu bora atavunjwa mguu lazima ni wewe ulimweka culprit ili amvunje mkuu ili neno litimie....

Either that how kila kitu ni happenstances na huwezi kujua nini kitakuwa nini na hata kilichotokea sasa ukikirudia tena huenda outcomes zitakuwa tofauti unless otherwise unaplan every move na sio free will ya every moving part....

Kama kuna vifo vingi Tanzania vya watoto sababu ni wazembe sidhani kama ni wewe ndio uliwapangia wawe wazembe..., au sidhani kama uliona kwamba hii dunia sasa imezidi ngoja nimtengeze hitler ili afanye yake ili neno litimie kwamba mamilioni wafe kipindi hiki sababu kitabu changu kiweze kubalance kama nilivyotabiri watakufa watu kadhaa (na kama sio wewe unaoleta hivyo vifo ni shetani) basi na wewe uliumbe wengine ili wafe ili shetani afanye alichofanya at that instance.... yaani watoto kadhaa wabakwe (sababu tu free will ya mbakaji itimie)
Chukulia wewe ni mwalimu na unafundisha darasa lenye wanafunzi 10 unajitahidi kwa kila hali kuwaelewesha kadiri ya uwezo wako humpunji yyte kati yao ila kuna wanafunzi wawili ambao huwa hawahudhurii darasani na hata mitihani ya kujipima hawafanyi kiufupi ni watukutu.

Siku ya mtihani imefika na wewe ndiyo msimamizi wa holi hilo la mitihani na wanafunzi wote 10 wamejipanga kwenye nafasi zao kikamilifu wanafanya mitihani .
Kama ilivyo kawaida wakati unapita pita ukapita karibu na wanafunzi wale watukutu wawili ulipochungulia kwenye mitihani yao ukaona wamejibu uongo kwa asilimia 70% na kama wakikusanya hiyo mitihani basi watafeli je?

a).Wewe kama mwalimu utaacha kuwasaidia ili ulaumiwe kwa sababu ya makosa ya kujitakia ya hao wanafunzi licha ya juhudi zako?

b).utawasaidia hao wanafunzi wawili ili wafaulu lakini hapo hapo iwe haujafanya usawa maana haujasaidia darasa zima?
 
Sasa kwa Mungu anajua Outcome na wewe una Free Will ya kufanya chochote na chochote unachofanya Mungu anajua kitatokea nini, Hio ni power ya Uungu ndio maana sisi sio Miungu.
Kwamba njoo kwangu takupa peremende, kuwa neutral usiende popote takuchoma moto maisha yako yote nenda kwa yule takuchoma moto !!, And you call that free will ?!! Hio huku duniani tunaita Intimidation.....

Pia hata sisi tunajua ukipanda mchicha utavuna mchicha na sio bangi ila what makes us kupanda au kutokupanda !! na kama tangia tunakuwa coded inajulikana hatutapanda na yule atapanda what is difference from his coding different to mine ?

Naweza kukwambia kwamba kuna majambazi yamekuwa majizi kutokana na happenstance fulani katika maisha yao huenda kudhulumiwa au chuki iliyotokana na kitu fulani kwahio wanachotenda leo ni ile incidence kwahio kama ni Mungu ndio alipanga hipo incidence na alijua hio incidence itatokea ndio yale yale ya kujaribiana kwa kuambiana umtoe sadaka mwanao....
And Yes Outcome zitakua Tofauti, mfano unapoomba dua unachange destiny yako, mfano mwizi pengine aliandikiwa akamatwe na polisi kesho akamuomba Mungu amsaidie kuiba bila kukamatwa dua ikikubaliwa destiny inabadilika hakamatwi.
Kama ilijulikana kwamba a day before nitaomba dua basi that outcome was not even there in the first place unless otherwise nimecreate that outcome au that outcome was created in that instance..., ni kama mfano wangu wa kucheza mpira kama mimi huwa nafunga magoli dakika za 80 alafu chizi akanivunja mguu dakika ya sabini huwezi kusema kutokufunga kwangu kumesababishwa na mimi bali na kitu ambacho kipo beyond my capacity to change it...
Kwanza Mkuu Mungu hafanyi kitu on Air eti watu wamezidi amtengeneze Hitler, Dunia kila kitu kilishaandikwa na Wino umekauka,
So all these Covid Ukimwi slavery, marginalization ya African Countries ni Mungu alikuwa anaandika maisha ya wanadamu wake ?, By the way mambo ya Gharika, Kukasirika kwamba binadamu wameasi kwanini alikasirika wakati alishaandika au hio page iliandikwa baadae ?
Pia hayo mambo ya vifo kubaka na mambo mengine mabaya ni Mungu ameyaandika ndio, kwako wewe ulieumbwa na Emotion ndio unaya judge kwa Emotion kwa Mungu anaweza kukuua hata mara 100 akafufua na wala usikumbuke kitu.
Tuna neno pia hapa duniani la kutokuwa na emotions kwa matukio kama hao..., Again that is weakness na sio strength at all na kukumbuka au kutokukumbuka haimaanishi the deed was good
 
Nashukuru maana nimeelewa kwamba haufahamu chanzo cha uhai isipokuwa haukubaliani na kile ambacho wengine tunakikubali.
Asante.

Zaidi, suala la msingi zaidi si mimi nakubaliana na nini au sikubaliani na nini.

Siongelei habari zangu tu. Mimi kama mimi ni mtu tu, naweza kukosea.

Sipendi unijadili mimi, napenda ujadili umakini wa hoja. Kwa kuiangalia hoja, si kwa kuniangalia mimi.

Hizi hoja ninazozisema zilikuwapo kabla sijazaliwa, na zitaendelea kuwepo hata nikifa.
Kwa hivyo, naomba tujadili hoja, tusijadili mtu.

Naongelea fact, kwa mujibu wa kanuni za logical consistency.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu ambao watu wake ambao inadaiwa anawapenda sana wanaweza kupata tabu sana, hawezi kuwepo, kwa sababu kuwepo Mungu huyo ni logical contradiction.

Mimi sijawahi kusema najua chanzo cha maisha, hiyo si hoja niliyoileta.

Mimi hoja yangu ni kwamba, Mungu hayupo, dhana ya uwepo wake ina logical contradiction sawasawa na kusema kuna mtoto wa miezi sita leo ambaye ni mama mzazi wa mtu wa miaka 30 leo.

Ni logical contradiction kama kusema kwamba katika Euclidean geometry kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara.

Ni logical contradiction kama kusema square root ya 2 ni 10.

Habari ya uhai umeanza vipi, katika mjadala wa kuwepo Mungu, ni logical non sequitur.
 
Kwamba njoo kwangu takupa peremende, kuwa neutral usiende popote takuchoma moto maisha yako yote nenda kwa yule takuchoma moto !!, And you call that free will ?!! Hio huku duniani tunaita Intimidation.....

Pia hata sisi tunajua ukipanda mchicha utavuna mchicha na sio bangi ila what makes us kupanda au kutokupanda !! na kama tangia tunakuwa coded inajulikana hatutapanda na yule atapanda what is difference from his coding different to mine ?

Naweza kukwambia kwamba kuna majambazi yamekuwa majizi kutokana na happenstance fulani katika maisha yao huenda kudhulumiwa au chuki iliyotokana na kitu fulani kwahio wanachotenda leo ni ile incidence kwahio kama ni Mungu ndio alipanga hipo incidence na alijua hio incidence itatokea ndio yale yale ya kujaribiana kwa kuambiana umtoe sadaka mwanao....

Kama ilijulikana kwamba a day before nitaomba dua basi that outcome was not even there in the first place unless otherwise nimecreate that outcome au that outcome was created in that instance..., ni kama mfano wangu wa kucheza mpira kama mimi huwa nafunga magoli dakika za 80 alafu chizi akanivunja mguu dakika ya sabini huwezi kusema kutokufunga kwangu kumesababishwa na mimi bali na kitu ambacho kipo beyond my capacity to change it...

So all these Covid Ukimwi slavery, marginalization ya African Countries ni Mungu alikuwa anaandika maisha ya wanadamu wake ?, By the way mambo ya Gharika, Kukasirika kwamba binadamu wameasi kwanini alikasirika wakati alishaandika au hio page iliandikwa baadae ?

Tuna neno pia hapa duniani la kutokuwa na emotions kwa matukio kama hao..., Again that is weakness na sio strength at all na kukumbuka au kutokukumbuka haimaanishi the deed was good
Mkuu hausomi kabisa post zangu anyway i will wait
 
Asante.

Zaidi, suala la msingi zaidi si mimi nakubaliana na nini au sikubaliani na nini.

Siongelei habari zangu tu. Mimi kama mimi ni mtu tu, naweza kukosea.

Sipendi unijadili mimi, napenda ujadili umakini wa hoja. Kwa kuiangalia hoja, si kwa kuniangalia mimi.

Hizi hoja ninazozisema zilikuwapo kabla sijazaliwa, na zitaendelea kuwepo hata nikifa.
Kwa hivyo, naomba tujadili hoja, tusijadili mtu.

Naongelea fact, kwa mujibu wa kanuni za logical consistency.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu ambao watu wake ambao inadaiwa anawapenda sana wanaweza kupata tabu sana, hawezi kuwepo, kwa sababu kuwepo Mungu huyo ni logical contradiction.

Mimi sijawahi kusema najua chanzo cha maisha, hiyo si hoja niliyoileta.

Mimi hoja yangu ni kwamba, Mungu hayupo, dhana ya uwepo wake ina logical contradiction sawasawa na kusema kuna mtoto wa miezi sita leo ambaye ni mama mzazi wa mtu wa miaka 30 leo.

Ni logical contradiction kama kusema kwamba katika Euclidean geometry kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara.

Ni logical contradiction kama kusema square root ya 2 ni 10.

Habari ya uhai umeanza vipi, katika mjadala wa kuwepo Mungu, ni logical non sequitur.
Lets use logic shall we?

Logicaly if A =B na B=C that means A=C hivyo kama
Nyama ni source ya protein na maharage pia ni source ya protein hii ina maanisha nyama ni maharage?

Are they logicaly consistency?
 
Halafu logical consistency yenyewe unayotaka itumike kukujibu ina flows nyingi tu naweza ku prove hapa na sidhani kama njia zenye flows kama hizo zinaweza ku prove chochote do you want proof?
Ku prove ni nini?

Unamaanisha logical consistency ina flows au ina flaws?

Kama logical consistency ina flows au flaws, hilo lina prove nini? Lina prove Mungu yupo au hayupo?

Unaelewa kwamba logical consistency kuw ana flows au flaws nyingi haimaanishi kwamba haiwezi kutumiwa?

Unaweza kutuonesha hizo flows au flaws za logical consistency?

Unaelewa kwamba hata kuandika tu hapa JF huwezi kuandika bila kutumia logical consistency?
 
Ku prove ni nini?

Unamaanisha logical consistency ina flows au ina flaws?

Kama logical consistency ina flows au flaws, hilo lina prove nini? Lina prove Mungu yupo au hayupo?

Unaelewa kwamba logical consistency kuw ana flows au flaws nyingi haimaanishi kwamba haiwezi kutumiwa?

Unaweza kutuonesha hizo flows au flaws za logical consistency?

Unaelewa kwamba hata kuandika tu hapa JF huwezi kuandika bila kutumia logical consistency?
lets try this

Kama nyama ni source ya protein na maharage pia ni source ya protein that means nyama ni maharage?

Are they logicaly consistent?
 
Chukulia wewe ni mwalimu na unafundisha darasa lenye wanafunzi 10 unajitahidi kwa kila hali kuwaelewesha kadiri ya uwezo wako humpunji yyte kati yao ila kuna wanafunzi wawili ambao huwa hawahudhurii darasani na hata mitihani ya kujipima hawafanyi kiufupi ni watukutu.
Mimi kama mwalimu au mimi ambaye niliwatengeneza hao wanafunzi na kuwapa na kujua kwamba watakuwa watukutu sababu majibu ya hayo maswali yatakuwa tofauti kulingana na mimi ni nani ?
Siku ya mtihani imefika na wewe ndiyo msimamizi wa holi hilo la mitihani na wanafunzi wote 10 wamejipanga kwenye nafasi zao kikamilifu wanafanya mitihani .
Kama ilivyo kawaida wakati unapita pita ukapita karibu na wanafunzi wale watukutu wawili ulipochungulia kwenye mitihani yao ukaona wamejibu uongo kwa asilimia 70% na kama wakikusanya hiyo mitihani basi watafeli je?

a).Wewe kama mwalimu utaacha kuwasaidia ili ulaumiwe kwa sababu ya makosa ya kujitakia ya hao wanafunzi licha ya juhudi zako?
Kwa code za ualimu takuwa kuwasaidia hapo takuwa sijawasaidia sababu mtihani ni preparation ya next level na sababu sio mimi ninayepanga next level kuwapitisha hapa huenda usiwe msaada; pia kazi yangu kwa hio siku sio kusaidia wanafunzi kudanganya bali kuwasimamia wasidanganye
b).utawasaidia hao wanafunzi wawili ili wafaulu lakini hapo hapo iwe haujafanya usawa maana haujasaidia darasa zima?
moja darasa zima haliitaji msaada pili tachokifanya hapo kitategemea circumstances kama ni mtihani wa life or death kwamba kila anayefeli anapigwa kitanzi basi nitawasaidia
 
Shetani yupo kutimiza mipango ya Mungu. Ndo mana waislam wanasema kila binadamu ana jini lake ambalo kapewa na Mungu ili linamshawishi atende mabaya.

Mtu pekee anaeweza kumzidi nguvu huyo jini ni mtu anaefanya ibada sana.

Kwa kifupi tunaweza kusema the devil works for God.
Screenshot_20221021-181459~2.jpg
 
Mimi kama mwalimu au mimi ambaye niliwatengeneza hao wanafunzi na kuwapa na kujua kwamba watakuwa watukutu sababu majibu ya hayo maswali yatakuwa tofauti kulingana na mimi ni nani ?

Kwa code za ualimu takuwa kuwasaidia hapo takuwa sijawasaidia sababu mtihani ni preparation ya next level na sababu sio mimi ninayepanga next level kuwapitisha hapa huenda usiwe msaada; pia kazi yangu kwa hio siku sio kusaidia wanafunzi kudanganya bali kuwasimamia wasidanganye

moja darasa zima haliitaji msaada pili tachokifanya hapo kitategemea circumstances kama ni mtihani wa life or death kwamba kila anayefeli anapigwa kitanzi basi nitawasaidia
😂😂😂 utasaidia deppending on circumstance that means hautokuwa fair kwa sababu haujawasaidia na wengine pia right?

Don't ever try to questin God if you can't even answer a simple question you want logic i gave you one now unajikanyaga have a good day.
 
Umeandika sana japo sijaona sehemu umeeleza nini hasa ni chanzo cha life force ndani ya mwanadamu.
Chanzo cha life force kwenye any living thing ni Nini? au na Yenyewe ina Roho / Nafsi ?
 
Back
Top Bottom